Je, shinikizo kutoka nje linahitajika ili pawepo Tume Huru ya Uchaguzi?

Ni dhahiri kwamba Tume Ya Uchaguzi iliyopo si tume huru kama misingi ya chaguzi za kidemokrasia inavyohitaji...
Sisi mlikuwa mnarukaruka kama vyura, hata kabla ya matokeo mmeanza kulialia kama vifaranga. Hapa kazi tu!
 
Kipigo kipo pale pale mpaka sasa zimeshafika 77% kwa jemedari letu jiwe lililoimara kuliko mawe mengine yote kwa mwendo huu. Safari hii wa kwanza atabaki wa kwanza.
 
hata mm hili ndio naliona tofauti na hapo hamna kitu aisee
 
nonsence [emoji706][emoji706]
 
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
The Hague
The MIGA....

 
Hizi ndio akili ambazo serikali inatumia fedha zake kuzipa elimu,

Yaani kila Jambo wanategemea msaada toka kwa wazungu.

Elimu bure inazalisha takataka kama wewe hapo, serikali ya chama chako kila siku kukinga bakuli kupokea misaada ya wazungu halafu wewe unashindia porojo hapa!
 
Wabongo tunategemewa sana kukombolewa. This is part of the problem. Vinchi vidogo kama Malawi vinaleta mabadiliko yanayohitaji wao wenyewe. Sisi tunataka Wazungu waje watusaidie! Tumeona Wapinzani wana support kiasi gani wakati wa kampeni. Hao watu wote wakiungana, kweli tume katiba mpya haitokuja?
No need msukumo wa nje sisi wenyewe ndani tutalibeba hili usitegemee mtu akufanyie kazi ya kukukomboa
 
Lakini kumbuka vikwazo nivyakwetu wote wa Tz sio wao. Na je hiyo Tume huru ikiundwa alafu bado ccm wakashinda tutakuwa tumebakiza kisingizio gani kingine?
 
Hizi ndio akili ambazo serikali inatumia fedha zake kuzipa elimu,

Yaani kila Jambo wanategemea msaada toka kwa wazungu.

Hata nchi za kusini mwa Afrika zilitutegemea sisi, na mataifa yenye nia njema ili kujikomboa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…