Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Badda ya ajali ya leo 26-07-2022 huko Mtwara Shule nyingi sana zimepanga kuwapeleka wanafunzi study tour mikoa tofauti tofauti. Maandalizi na usafiri wanataka kutumia ni school bus ect
Binafsi nazipinga hizi safari maana madereva wa magari ya shule hawaja zoea long safari Ni hatari hizi sa safari
Safari zilizopangwa mwezi huu wa likizo mpaka kipindi cha sensa zifutwe, madereva kama ni muhimu wachukuliwe wenye uzoefu na kujua barabara husika.
Watoto wahnaanza mapenzi kwenye the so called study tour na mambo mengine machafu.
Binafsi nazipinga hizi safari maana madereva wa magari ya shule hawaja zoea long safari Ni hatari hizi sa safari
Safari zilizopangwa mwezi huu wa likizo mpaka kipindi cha sensa zifutwe, madereva kama ni muhimu wachukuliwe wenye uzoefu na kujua barabara husika.
Watoto wahnaanza mapenzi kwenye the so called study tour na mambo mengine machafu.