Je, sifa anazopewa Kafulila zina ukweli wowote?

Je, sifa anazopewa Kafulila zina ukweli wowote?

amani iwe kwenu,

Kwa wale wote mliowahi kuwa karibu na David Kafulila kwa nyakati na sehemu tofauti tofauti nje na ndani ya siasa mtusaidie kujibu maswali haya,

1. Je, ni kweli kwamba huyu David Kafulila anachukia rushwa kwa moyo wake wote na kwanguvu zake zote kama tunavyoambiwa?

2. Je, ni kweli kwamba David Kafulila hajawahi kupiga dili lolote la pesa tangu akiwa Mbunge, RAS, RC na sasa PPP-Center kama tunavyoambiwa?

3. Je, ni kweli kwamba David Kafulila alikataa zaidi ya TZS 3bilioni za Tegeta Escrow mwaka 2014 kama tunavyoambiwa?

4. Je, ni kweli kwamba David Kafulila anauchukia Ufisadi na Mafisadi toka ndani ya moyo wake kama tunavyoambiwa?

5. Je, ni kweli kwamba David Kafulila hajawahi kuhusishwa kabisa na kashfa zozote za rushwa au ufisadi kipindi chote Cha utumishi wake Serikalini kama tunavyoambiwa?

6. Je, ni kweli kwamba David Kafulila alirudisha chenji ya TZS 2 bilíoni kutoka katika TZS 6 bilioni alizopewa kujenga Makao Makuu ya Mkoa wa Songwe kwa BOQ ile ile kama tunavyoambiwa?

7. Je, ni kweli David Kafulila alipoteza ndoa yake na Jesca Kishoa kwa sababu ya maisha duni ya Kizalendo anayoishi kama tunavyoambiwa?


Comments ziwe fupifupi

Mwandishi amesahau swali muhimu zaidi kuliko yote:

8. Je, ni kweli kwamba David Kafulila anayo akili timamu inayomwezesha kufanya uchambuzi na usanisi wa kirazini kuhusu masuala mbalimbali ya kisiasa, kijamii na kiuchumi, na hivyo kuwa ndani ya kundi la watu wanaoitwa wajasiriadola mahiri?

Na kutokana na historia yake ninayoifahamu jawabu langu ni ndiyo.
 
Mwandishi amesahau swali muhimu zaidi kuliko yote:

8. Je, ni kweli kwamba David Kafulila anayo akili timamu inayomwezesha kufanya uchambuzi na usanisi wa kirazini kuhusu masuala mbalimbali ya kisiasa, kijamii na kiuchumi, na hivyo kuwa ndani ya kundi la watu wanaoitwa wajasiriadola mahiri?

Na kutokana na historia yake ninayoifahamu jawabu langu ni ndiyo.
Je, ni raia?
 
anyway, Kafulila yuko poa, nadhani moja ya jambo analotakiwa fanya kwa sasa ni kuachana na siasa za JF na kujikita na ubunifu huko PPP. aone wenzake waliopo TIC & TPSF wanapiga kazi zinaonekana, yeye anapiga domo na sio kazi.

Nakushauri Kafulila fanya ubunifu kwa nafasi uliyonayo, jitangaze kwa mazuri unayoyafanya kwenye hiyo nafasi na sio propaganda hizi za JF. Watu hawatokukumbuka kwa hizi propaganda.
 
anyway, Kafulila yuko poa, nadhani moja ya jambo analotakiwa fanya kwa sasa ni kuachana na siasa za JF na kujikita na ubunifu huko PPP. aone wenzake waliopo TIC & TPSF wanapiga kazi zinaonekana, yeye anapiga domo na sio kazi.

Nakushauri Kafulila fanya ubunifu kwa nafasi uliyonayo, jitangaze kwa mazuri unayoyafanya kwenye hiyo nafasi na sio propaganda hizi za JF. Watu hawatokukumbuka kwa hizi propaganda.
Kwani hapa Jf anajijadili au wanamjadili?
 
amani iwe kwenu,

Kwa wale wote mliowahi kuwa karibu na David Kafulila kwa nyakati na sehemu tofauti tofauti nje na ndani ya siasa mtusaidie kujibu maswali haya,

1. Je, ni kweli kwamba huyu David Kafulila anachukia rushwa kwa moyo wake wote na kwanguvu zake zote kama tunavyoambiwa?

2. Je, ni kweli kwamba David Kafulila hajawahi kupiga dili lolote la pesa tangu akiwa Mbunge, RAS, RC na sasa PPP-Center kama tunavyoambiwa?

3. Je, ni kweli kwamba David Kafulila alikataa zaidi ya TZS 3bilioni za Tegeta Escrow mwaka 2014 kama tunavyoambiwa?

4. Je, ni kweli kwamba David Kafulila anauchukia Ufisadi na Mafisadi toka ndani ya moyo wake kama tunavyoambiwa?

5. Je, ni kweli kwamba David Kafulila hajawahi kuhusishwa kabisa na kashfa zozote za rushwa au ufisadi kipindi chote Cha utumishi wake Serikalini kama tunavyoambiwa?

6. Je, ni kweli kwamba David Kafulila alirudisha chenji ya TZS 2 bilíoni kutoka katika TZS 6 bilioni alizopewa kujenga Makao Makuu ya Mkoa wa Songwe kwa BOQ ile ile kama tunavyoambiwa?

7. Je, ni kweli David Kafulila alipoteza ndoa yake na Jesca Kishoa kwa sababu ya maisha duni ya Kizalendo anayoishi kama tunavyoambiwa?


Comments ziwe fupifupi
Ngoja tuone
 
Ni yaleyale ya kununua wapiga debe
Hakuna mtanganyika aliaminika hapendi Wala hali rushwa kama Mr Clean'3",lakini tuambiwa kwa 70.m tu alimiliki "Kiwira Coal mine".mwache huyu anapishana tu na bomba la ufissdi,hutaamini siku akiingiza kichwa,itakuwa kama ile story ya Mbuni.
 
Hakuna mtanganyika aliaminika hapendi Wala hali rushwa kama Mr Clean'3",lakini tuambiwa kwa 70.m tu alimiliki "Kiwira Coal mine".mwache huyu anapishana tu na bomba la ufissdi,hutaamini siku akiingiza kichwa,itakuwa kama ile story ya Mbuni.
Tanzania inamambo mengi sana ngoja tuone hiyo 2030
 
Mwandishi amesahau swali muhimu zaidi kuliko yote:

8. Je, ni kweli kwamba David Kafulila anayo akili timamu inayomwezesha kufanya uchambuzi na usanisi wa kirazini kuhusu masuala mbalimbali ya kisiasa, kijamii na kiuchumi, na hivyo kuwa ndani ya kundi la watu wanaoitwa wajasiriadola mahiri?

Na kutokana na historia yake ninayoifahamu jawabu langu ni ndiyo.
🤣🤣🤣
 
amani iwe kwenu,

Kwa wale wote mliowahi kuwa karibu na David Kafulila kwa nyakati na sehemu tofauti tofauti nje na ndani ya siasa mtusaidie kujibu maswali haya,

1. Je, ni kweli kwamba huyu David Kafulila anachukia rushwa kwa moyo wake wote na kwanguvu zake zote kama tunavyoambiwa?

2. Je, ni kweli kwamba David Kafulila hajawahi kupiga dili lolote la pesa tangu akiwa Mbunge, RAS, RC na sasa PPP-Center kama tunavyoambiwa?

3. Je, ni kweli kwamba David Kafulila alikataa zaidi ya TZS 3bilioni za Tegeta Escrow mwaka 2014 kama tunavyoambiwa?

4. Je, ni kweli kwamba David Kafulila anauchukia Ufisadi na Mafisadi toka ndani ya moyo wake kama tunavyoambiwa?

5. Je, ni kweli kwamba David Kafulila hajawahi kuhusishwa kabisa na kashfa zozote za rushwa au ufisadi kipindi chote Cha utumishi wake Serikalini kama tunavyoambiwa?

6. Je, ni kweli kwamba David Kafulila alirudisha chenji ya TZS 2 bilíoni kutoka katika TZS 6 bilioni alizopewa kujenga Makao Makuu ya Mkoa wa Songwe kwa BOQ ile ile kama tunavyoambiwa?

7. Je, ni kweli David Kafulila alipoteza ndoa yake na Jesca Kishoa kwa sababu ya maisha duni ya Kizalendo anayoishi kama tunavyoambiwa?


Comments ziwe fupifupi


My role model
 
Back
Top Bottom