Je siku hizi watu hawafufuki kama zamani, au hatuna imani?

Je siku hizi watu hawafufuki kama zamani, au hatuna imani?

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Eliya alifufua
Elisha alifufua
Yesu alifufua
Paulo alifufua
Petro alifufua.

Watumishi wote wamepewa amri sio ombi "Kufufua".

Kipindi cha nyuma Askofu Gwajima alijitahidi kuonyesha nia bila matunda dhahiri.

Sasa watumishi, walokole, wasabato,wakatoliki,mashehe, watambikaji inakuaje mnakaa kimya wakati wananchi tunaona viongozi wa muhimu wanatutoka wakati tunawahitaji na nyie mko kimya?

Tatizo nini watumishi. Kama mmeshindwa kutii amri ya Yesu ya kufufua basi mtubatize basi sisi wafilisti tufanye hiyo kazi.

Nawaza nikiwa hapa kwenye kijiwe cha kahawa baada ya kulewa chai za wazee.
 
Teknolojia inaondoa uongo uongo, kuna siku hata stori za dini na uchawi zitaisha kabisaa..

Umesahau zile stori za zamani jini mrefu kaonekana bondeni kavaa kanzu...
Hahahaha
Kuna mdau aliona mtu kabeba mfuko wa simenti usiku akatoka nduki akisema ameona mtu hana kichwa anatembea.

Hizo swaga za jini chooni, ulikuwa ujima
 
Pale akifa unaemdai..😂
Walai namfufua tumalizane.

Ngoja waje mitume na manabii.
Wakikili kudhindwa watukabidhi mimbali wafilisti tumalize kazi.

Tumechoka kuwa na theolojia na maneno yasiyo na mashiko
 
Huamini kama jiwe amekwenda
Sasa hivi naamini ila siku ya kwanza sikuamini.

Ila sisikii hata nabii kuzungumzia kubadili matokeo.

Je wanakaidi amri ya masihi waliyopewa kufufua
 
Eliya alifufua
Elisha alifufua
Yesu alifufua
Paulo alifufua
Petro alifufua.

Watumishi wote wamepewa amri sio ombi "Kufufua".

Kipindi cha nyuma Askofu Gwajima alijitahidi kuonyesha nia bila matunda dhahiri.

Sasa watumishi, walokole, wasabato,wakatoliki,mashehe, watambikaji inakuaje mnakaa kimya wakati wananchi tunaona viongozi wa muhimu wanatutoka wakati tunawahitaji na nyie mko kimya?

Tatizo nini watumishi. Kama mmeshindwa kutii amri ya Yesu ya kufufua basi mtubatize basi sisi wafilisti tufanye hiyo kazi.

Nawaza nikiwa hapa kwenye kijiwe cha kahawa baada ya kulewa chai za wazee.
Unaweza kuthibitisha walifufuka?
 
Hahahaha
Kuna mdau aliona mtu kabeba mfuko wa simenti usiku akatoka nduki akisema ameona mtu hana kichwa anatembea.

Hizo swaga za jini chooni, ulikuwa ujima
Umeme umesaidia maana shetani anapenda giza.
 
Back
Top Bottom