Saint_Mwakyoma
JF-Expert Member
- Jun 8, 2019
- 865
- 1,208
Karibuni wana jukwaa tukumbushane tukio hili ambalo ni gumu kusahaulika kwenye maisha ya mtu. Pia, kuonyesha utofauti wa aina ya utongozaji wa zamani na sasa [emoji23][emoji23]
Dhumuni la uzi huu ni kufurahi pamoja na kuondoa mawazo yasiyo msingi.
Karibuni Sana[emoji120]
Dhumuni la uzi huu ni kufurahi pamoja na kuondoa mawazo yasiyo msingi.
Karibuni Sana[emoji120]