Saint_Mwakyoma
JF-Expert Member
- Jun 8, 2019
- 865
- 1,208
- Thread starter
- #41
Funguka kipangaaaNilitumia kadi ya mpiga kura kumtia mrembo nyavuni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Funguka kipangaaaNilitumia kadi ya mpiga kura kumtia mrembo nyavuni.
Sawa bintiIla kwenye hio picha siyo moshi, ni Arusha
tuambie mjumbe usiwe mbnafsi shea nasi ilkuaje huyo mshikaji kamilki hilo paja😂😂😂Naendelea kusoma comments..wajumbe mnakaribishwa.
😂😂😂Poa mkuu....nilidhani ulinikaribisha kutongoza nimeshadelete mtongozo niliorusha PM.
Nyota mbili luteniWanasema hata uwe kauzu vipi huwezi kujamba wakati unatongoza,, ila mimi nilijamba aiseh Nashukuru ilikua in silence mode halafu haikunuka kabisa [emoji23][emoji28][emoji1]
Tupo school hapo, kuna demu ana asili ya kiarabu jina lake Latifa. Huyu mtoto tulikutana kwenye mchezo wa volleyball. Yeye na wenzake walikua hawajui so wakawa wananyanyasika sana. Mzee mzima nikawa nawatetea lakini sababu kubwa ni huyu Latifa.
Katika kujali kwangu mtoto akatokea kunielewa. Lakini mzee mzima nilikua mgumu (hip hop) sana. Kitu pekee nilikua nawaza wakati huo ni kupiga chetezo kanisani na kuishabikia Man u ya Sir Alex.
Washkaji wananiambia dogo anakuelewa lakini me sina habari domo lote limejaa gundi. Kiukweli nilikua nampenda lakini nikitaka niende nafikiria hadhi yangu na uzuri wake + mabishoo wa shule wanaomtongoza basi naishia kukata tamaa, kifupi nilijidharau sababu she was so hot shule nzima.
Wanangu wakaona isiwe tabu maana wameni push wapi nimegoma wakaamua wanisakizie. Siku moja mapindi yameisha tupo free, jamaa angu mmoja akamfuata mtoto akaja nae mimi nilikua sina habari. Ghafla nikashangaa mtoto huyu hapa, jamaa nae alivyo na mbwembwe akamwambia Latifa naomba umsikilize kwa makini ndugu yangu huyu mpe nafasi usije ukamuua bure halafu akasepa.
Huku nyuma akaacha kivumbi na hapo sasa ndo ilikua balaa, mapigo ya moyo yakaanza kwenda faster, kiswahili kikageuka kingereza [emoji23] kikawa hakipandi kabisa ni kama nacho kilikuja na meli. Na mtoto alivyokua anajiamini muda wote ananiangalia usoni, ukicheki macho meupe kama Selena Gomez, basi mimi nguvu ndo zikawa zinaniisha kabisa kilichofuatia hapo mpaka leo nikikumbuka hua nacheka sana
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
AsantePoa mdada... unatabasamu nzuri.
io period waweza ambiwa manzi al qhaid ukabaisha kisa kati😃😃😃😃Ahahahahaa
😂😂😂😂😂tuambie mjumbe usiwe mbnafsi shea nasi ilkuaje huyo mshikaji kamilki hilo paja😂😂😂
na ukatoka nduki mchomok ka usain bolt😆😆😆Nilitetemeka sana, mate yalichemka sana mdomoni
Nilimwaga noti Kama mwendawazimuEnhee! Wewe kwako mzee ilkuaje[emoji2960]
Nilimwambia akinikubali basi nitamkabidhi kadi yangu ya kupigia kura.Funguka kipangaaa
au bado ujakutana wape nafasi mabaharia 😁😁😁😁😁😂😂😂😂😂
Nyie leteni tu zenu Mimi nimechagua kuwa ndugu msomaji..
😂😂😂 we Dada una roho mbaya sana hata kama ilikuwa ni utoto "Unaipeleka barua kwa mama ako huku unalia kama msiba kisa umetongozwa" 🙂🙂🙂 ni uzandiki wa hali ya juuNakumbuka nikiwa standard six kuna kamkaka sijui nikaite katoto maana wote tulikua na miaka 11, yaan alikua kila nikimuangalia ananikonyeza bas mimi nikawa sipendi yan.
Siku akajiloga akaniandikia barua ya kunitongoza yaan nliipeleka moja kwa moja kwa mama angu huku nalia kilio kama kuna msiba[emoji1][emoji1].. naulizwa shida nini apo siwez hata kuongea, nkaelezea hadi ya kukonyezwa darasani.. basi mama angu akaniambia twende tumfuate kwao maana alikua ni jirani tu..
Aisee yule mtoto alipigwa na kaka ake hatari, na ndio ilikua mara yake ya mwisho kunisemesha... Ht nikikutana nae leo hii huwa hawez hata kunisalimia, mimi nikimuona huwa natamani kucheka[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
We nilikua naogopa mimi[emoji1][emoji23][emoji23][emoji23] we Dada una roho mbaya sana hata kama ilikuwa ni utoto "Unaipeleka barua kwa mama ako huku unalia kama msiba kisa umetongozwa" [emoji846][emoji846][emoji846] ni uzandiki wa hali ya juu
Visichana vya zamani ilikuwa kawaida yao hiyo. Halafu ukikomaa nacho baadae unakila.😂😂😂 we Dada una roho mbaya sana hata kama ilikuwa ni utoto "Unaipeleka barua kwa mama ako huku unalia kama msiba kisa umetongozwa" 🙂🙂🙂 ni uzandiki wa hali ya juu
Jamani jamani moderator wakiona neno kimasihara watachoma bhana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kujilia kimasihara.......[emoji28]