Brinna_Mercy
Senior Member
- Sep 11, 2020
- 179
- 456
We ni nani[emoji1][emoji1][emoji1]Kama unasoma chuo Moshi we dada nakufahamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ni nani[emoji1][emoji1][emoji1]Kama unasoma chuo Moshi we dada nakufahamu
Mungu anakuona kwa ulicho nifanyia[emoji23][emoji23]We ni nani[emoji1][emoji1][emoji1]
Wewe acha izo basi... Nilifanya nini tena?Mungu anakuona kwa ulicho nifanyia[emoji23][emoji23]
[emoji23]kua na amani nimekisia tuuh,usije ukabadili I'dWewe acha izo basi... Nilifanya nini tena?
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji23]kua na amani nimekisia tuuh,usije ukabadili I'd
Kwa iyo saiv una miaka 24Yan mambo ya mwaka 2007 uko anayabeba mpaka leo hii[emoji1][emoji1]
NdioKwa iyo saiv una miaka 24
Mazingira ya picha yako yanakutambulisha sana[emoji1][emoji1][emoji1]
Enhee! Wewe kwako mzee ilkuaje[emoji2960]Mazingira ya picha yako yanakutambulisha sana
Ila kwenye hio picha siyo moshi, ni ArushaMazingira ya picha yako yanakutambulisha sana
Niruhusu nije inbxNdio
Nilitumia kadi ya mpiga kura kumtia mrembo nyavuni.Karibuni Wana jukwaa tukumbushane tukio hili ambalo ni gumu kusahaulika kwenye maisha ya mtu.
Pia kuonyesha utofauti wa aina ya utongozaji wa zamani na sasa [emoji23][emoji23]
Dhumuni la uzi huu ni kufurahi pamoja na kuondoa mawazo yasiyo msingi. Karibuni Sana[emoji120]
Kutongoza?Naendelea kusoma comments..wajumbe mnakaribishwa.
[emoji1][emoji1][emoji1]Kutongoza?
Mambo mkuu![emoji1][emoji1][emoji1]
Poa tu.. vipi kaka?Mambo mkuu!
Poa mdada... unatabasamu nzuri.Poa tu.. vipi kaka?
Hapana..kuelezea venye mlifeel siku ya kwanza mnatongoza.😊Kutongoza?
Poa mkuu....nilidhani ulinikaribisha kutongoza nimeshadelete mtongozo niliorusha PM.Hapana..kuelezea venye mlifeel siku ya kwanza mnatongoza.[emoji4]