Je, siku ya kwanza kutongoza/kutongozwa ilikuwaje?

nikiipokea Kama sijakuelewa nakujibu ukiendelea ndo figisu zinaanza Sasa.
Umenikumbusha secondary nilikuwa msoma barua mzuri nikiagizwa kupeleka na wakigombana lazima nikapatanishe .
 
nikiipokea Kama sijakuelewa nakujibu ukiendelea ndo figisu zinaanza Sasa.
Umenikumbusha secondary nilikuwa msoma barua mzuri nikiagizwa kupeleka na wakigombana lazima nikapatanishe .
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ wakati huo unajiona wewe koffi anan
 
mkuu acha kabisa nilikuwa na couple moja hiyo naimiliki Yani wakitaka kuonana me naenda kushtua haooo wanaenda engo zao hukoo.

Nimemiss shule kwakweli
jamaa akiwa mtu wa ligi unapata wakati mgumu sana kama msuluhishaji😁😁😁
 
Shukuru Mungu tu hukukutana na akina Mwajuma au Asha ndala ndefu mkuu! hao watoto wenye majina ya Latifa ni wavumilivu harufu ya ushuzi aliisikia sema aliamua kuvunga tu!
 
Nikaaanza kumkwepa kila ninapomuona naona aibu namkimbia, , bwana bwana weee siku moja huyuu hapa macho kwa macho, anataka jibu lake aseee sio kwa jasho lilee .....nilikuja kumkubalia badaee sanaa
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
 
Nikaaanza kumkwepa kila ninapomuona naona aibu namkimbia, , bwana bwana weee siku moja huyuu hapa macho kwa macho, anataka jibu lake aseee sio kwa jasho lilee .....nilikuja kumkubalia badaee sanaa
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ulipata kuelewa jambo lake vyema au ulizingua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…