Je Simba itafanikiwa kuwa top 5 katika ubora msimu huu ranking ya CAF?

Je Simba itafanikiwa kuwa top 5 katika ubora msimu huu ranking ya CAF?

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Wazee wa vichaka hauwasikii tena wakiongelea habari za kubeba mafyekeo. Kelele zilikuwa kwa ajili ya kujaza watu uwanjani, zoezi ninalosikia halikufanikiwa. Wamekwenda machakani, wamekuta vyura wenzao wamezaliana, zoezi likasitishwa.

Tuachane na hayo, turudi kwenye mada kuu.

Simba ina nafasi ya kubeba ndoo ya CAF Shirikisho msimu huu wa 2024-25. Ikifanikiwa hilo inaenda kuwa top 5 katika orodha ya ubora Afrika au kwa kimombo, "ranking".

Simba ikiwa bingwa inaweza kushika nafasi ya 3 iwapo mambo haya yatatokea -
Mamelodi isifike nusu fainali halafu TP Mazembe wala Zamalek wasifike fainali. Haya yote yanawezekana kutokana na ushindani katika mashindano yao na ubora wa wapinzani wao.

Esperance asipovuka kwenda robo fainali, Simba ina nafasi ya kuwa hata nafasi ya 2 iwapo itabeba ndoo. Hii ni ngumu kutokana na performance ya Esperance ya miaka ya karibuni lakini nataka sana Utopolo waendelee kutufanyia kazi hizi chafu kama walivyotufanyia msimu uliopita kwa CRB. Yanga wamekuwa kama watumwa wa Simba katika mashindano ya kimataifa, tunamtuma tu, embu kamuondoe yule ili tusogee juu kidogo na wenyewe kwa raha zao wanaifanya kazi kwa weledi.

Nipo hapa nampigia Motsepe awapange Yanga katika kundi moja na Esperance au Mamelodi, wampunguze mmoja halafu na yeye robo fainali atupiliwe mbali arudi kucheza na Dodoma Jiji.
 
Wazee wa vichaka hauwasikii tena wakiongelea habari za kubeba mafyekeo. Kelele zilikuwa kwa ajili ya kujaza watu uwanjani, zoezi ninalosikia halikufanikiwa. Wamekwenda machakani, wamekuta vyura wenzao wamezaliana, zoezi likasitishwa.

Tuachane na hayo, turudi kwenye mada kuu.

Simba ina nafasi ya kubeba ndoo ya CAF Shirikisho msimu huu wa 2024-25. Ikifanikiwa hilo inaenda kuwa top 5 katika orodha ya ubora Afrika au kwa kimombo, "ranking".

Simba ikiwa bingwa inaweza kushika nafasi ya 3 iwapo mambo haya yatatokea -
Mamelodi isifike nusu fainali halafu TP Mazembe wala Zamalek wasifike fainali. Haya yote yanawezekana kutokana na ushindani katika mashindano yao na ubora wa wapinzani wao.

Esperance asipovuka kwenda robo fainali, Simba ina nafasi ya kuwa hata nafasi ya 2 iwapo itabeba ndoo. Hii ni ngumu kutokana na performance ya Esperance ya miaka ya karibuni lakini nataka sana Utopolo waendelee kutufanyia kazi hizi chafu kama walivyotufanyia msimu uliopita kwa CRB. Yanga wamekuwa kama watumwa wa Simba katika mashindano ya kimataifa, tunamtuma tu, embu kamuondoe yule ili tusogee juu kidogo na wenyewe kwa raha zao wanaifanya kazi kwa weledi.

Nipo hapa nampigia Motsepe awapange Yanga katika kundi moja na Esperance au Mamelodi, wampunguze mmoja halafu na yeye akutane na Al Ahly robo fainali atupiliwe mbali arudi kucheza na Dodoma Jiji.
Kichaka kitafyekwa utake usitake labda tu uendelee kujifariji, unakumbuka kabla ya juzi mlikuwa mnaizidi yanga point ngapi na sasa mnaizidi point ngapi? Mlikuwa juu kwa point 8, vipi kwa sasa mna point ngapi? Ni 29 kwa 30.5 unapataje ujasiri wa kusema kichaka akitafyekwa? Ungekuwa na timu inayojielewa tungekubaliana na wewe but timu yako Haina ata uhakika wa kushika nafasi ya 3 kwenye kundi lenu ata kama ayajapangwa, tunachokiona na mlivyocheza dhidi ya timu dhaifu Ile ni dalili tosha ata nafasi ya 3 amtoipata, alafu yanga anapambana kivyake kwa ubora wake na standard yake aliyoiweka akusaidii wewe na timu yako bali utasukumizwa uko chini na utafunga mdomo wako rasmi, na kwa taarifa yako yanga atakuwa kwenye pot no 2 kulingana na point zao walivyofuzu ili uendelee kuleta porojo zako nyingine;

Yanga
Belouzdad
Raja Casablanca
Pyramid

Aya kazi kwako!
 
Kichaka kitafyekwa utake usitake labda tu uendelee kujifariji, unakumbuka kabla ya juzi mlikuwa mnaizidi yanga point ngapi na sasa mnaizidi point ngapi? Mlikuwa juu kwa point 8, vipi kwa sasa mna point ngapi? Ni 29 kwa 30.5 unapataje ujasiri wa kusema kichaka akitafyekwa? Ungekuwa na timu inayojielewa tungekubaliana na wewe but timu yako Haina ata uhakika wa kushika nafasi ya 3 kwenye kundi lenu ata kama ayajapangwa, tunachokiona na mlivyocheza dhidi ya timu dhaifu Ile ni dalili tosha ata nafasi ya 3 amtoipata, alafu yanga anapambana kivyake kwa ubora wake na standard yake aliyoiweka akusaidii wewe na timu yako bali utasukumizwa uko chini na utafunga mdomo wako rasmi, na kwa taarifa yako yanga atakuwa kwenye pot no 2 kulingana na point zao walivyofuzu ili uendelee kuleta porojo zako nyingine;

Yanga
Belouzdad
Raja Casablanca
Pyramid

Aya kazi kwako!
Mzee unaongea kwa uchungu sana,,, hicho kichaka si mfyeke kama mnaweza si kuleta porojo porojo nyingi ,,simba hii baba mpka fainali hamna wakutuzuia shirisho labd kidogo zamalek ,,kabla ya jana mlimsifia sana al ahly tripol sa hz mnamruka tena,,,utopongo bwana mnalilia mkae juu ya simba kirahis tu,,
 
Mzee unaongea kwa uchungu sana,,, hicho kichaka si mfyeke kama mnaweza si kuleta porojo porojo nyingi ,,simba hii baba mpka fainali hamna wakutuzuia shirisho labd kidogo zamalek ,,kabla ya jana mlimsifia sana al ahly tripol sa hz mnamruka tena,,,utopongo bwana mnalilia mkae juu ya simba kirahis tu,,
Simba hii haiwezi kuvuka makundi labda kama Kundi linatoa timu tatu.
 
TUKIWAKI mapema kabisa kabla hata ya kuchezwa hatua ya makundi, Yanga hakumsaidia mtu bali kajisaidia yeye mwenyewe na manufaa yake yameonekana, kutoka kupangiwa wakina Pyramids, Al Hilal, Al Merreikh, n.k hadi kupangiwa wakina Vital 'O' hayo ndio faida yake.
Tuupe muda utoe majibu
 
TUKIWAKI mapema kabisa kabla hata ya kuchezwa hatua ya makundi, Yanga hakumsaidia mtu bali kajisaidia yeye mwenyewe na manufaa yake yameinekana, kutoka kupangiwa wakina Pyramids, Al Hilal, Al Merreikh, n.k hadi kupangiwa wakina Vital 'O'hayo ndio faida yake.
Tuupe muda utoe majibu
Kumbe kuna faida kwenye hizi ranking, mbona mlikuwa mnatuuliza tuna kombe gani na kutuita mwakarobo?

Bado hamjaonja Radha ya kuwa juu kwenye ranking maana bado mnaanza hatua za "awali awali". Usidhani upotoshaji uliotaka kuufanya sijaushtukia.
 
FB_IMG_17270655274210065.jpg
 
Ikiwa simba unayo izungumzia ndio hii!
Nikujibu kwamba kitu chanamna hiyo hakipo kabisa hata top7 futa wazo hilo.
 
Kumbe kuna faida kwenye hizi ranking, mbona mlikuwa mnatuuliza tuna kombe gani na kutuita mwakarobo?
Kuitwa mwakarobo nadhani ni mambo ya utani na imetokana na kila msimu kuishia hatua hiyo hiyo hakuna kusonga hatua nyingine zaidi ya hapo.
Ranking ina faida, na faida yake ni kupata upendeleo wa mambo mbalimbali kwenye mashindano ya CAF kama vile kupangwa na vibonde, kuanza ugenini na ikitokea timu zinazoshiriki michuano zipo pungufu basi ile idadi iliyopelea hupata upendeleo wa kuanzia raundi inayofuata.

Zile ni kauli ni za kujenga japo ni kejeli lakini ni moja ya kauli za kuhamasisha kupambana zaidi ili kumuumbua mtu. Mfano mdogo tu Yanga ilikejeliwa sana kuhusu kimataifa kuwa ni vihande wana zaidi ya miaka mitano hawajakanyaga hatua ya makundi mashindano ya CAF lakini kilichofanyika ni kuonesha mpira wa Africa kuwa Yanga ni nani, unaona wanajipanga wanaingia fainali CAFCC na msimu unaofuata wanaendeleza muendelezo mzuri kwa kucheza robo fainali ya CAFCL na kuishia robo fainali kwa maamuzi ya utata. Msimu huu Yanga wapo tena makundi CAFCL ni muendelezo kwao. Maneno ya kejeli yanaweza kujenga kama utaamua kuyachukua na kutaka kuwaonesha waliyokudharau kuwa unaweza.
 
Kuitwa mwakarobo nadhani ni mambo ya utani na imetokana na kila msimu kuishia hatua hiyo hiyo hakuna kusonga hatua nyingine zaidi ya hapo.
Ranking ina faida, na faida yake ni kupata upendeleo wa mambo mbalimbali kwenye mashindano ya CAF kama vile kupangwa na vibonde, kuanza ugenini na ikitokea timu zinazoshiriki michuano zipo pungufu basi ile idadi iliyopelea hupata upendeleo wa kuanzia raundi inayofuata.

Zile ni kauli ni za kujenga japo ni kejeli lakini ni moja ya kauli za kuhamasisha kupambana zaidi ili kumuumbua mtu. Mfano mdogo tu Yanga ilikejeliwa sana kuhusu kimataifa kuwa ni vihande wana zaidi ya miaka mitano hawajakanyaga hatua ya makundi mashindano ya CAF lakini kilichofanyika ni kuonesha mpira wa Africa kuwa Yanga ni nani, unaona wanajipanga wanaingia fainali CAFCC na msimu unaofuata wanaendeleza muendelezo mzuri kwa kucheza robo fainali ya CAFCL na kuishia robo fainali kwa maamuzi ya utata. Msimu huu Yanga wapo tena makundi CAFCL ni muendelezo kwao. Maneno ya kejeli yanaweza kujenga kama utaamua kuyachukua na kutaka kuwaonesha waliyokudharau kuwa unaweza.
Sawa. Pamoja na utani ningependa kuona Yanga wanaisifia Simba pale inapofanya vizuri. Mkizidisha utani wa aina hii inakuwa kama mna nongwa na wivu dhidi ya mafanikio ya wengine wakati mafanikio hayo ndiyo yanawasukuma nyie kufanikiwa. Mbadilike katika hilo.
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Kichaka kitafyekwa utake usitake labda tu uendelee kujifariji, unakumbuka kabla ya juzi mlikuwa mnaizidi yanga point ngapi na sasa mnaizidi point ngapi? Mlikuwa juu kwa point 8, vipi kwa sasa mna point ngapi? Ni 29 kwa 30.5 unapataje ujasiri wa kusema kichaka akitafyekwa? Ungekuwa na timu inayojielewa tungekubaliana na wewe but timu yako Haina ata uhakika wa kushika nafasi ya 3 kwenye kundi lenu ata kama ayajapangwa, tunachokiona na mlivyocheza dhidi ya timu dhaifu Ile ni dalili tosha ata nafasi ya 3 amtoipata, alafu yanga anapambana kivyake kwa ubora wake na standard yake aliyoiweka akusaidii wewe na timu yako bali utasukumizwa uko chini na utafunga mdomo wako rasmi, na kwa taarifa yako yanga atakuwa kwenye pot no 2 kulingana na point zao walivyofuzu ili uendelee kuleta porojo zako nyingine;

Yanga
Belouzdad
Raja Casablanca
Pyramid

Aya kazi kwako!
Yanga inaisaidia Simba si kwa kupenda ila kwa kuwa imekuwa mtumwa wake. Ndiyo mahesabu yalivyo hivyo, hamna la kufanya. Kwa jinsi mnavyopambana, Simba inafaidika indirectly.
 
Ikiwa simba unayo izungumzia ndio hii!
Nikujibu kwamba kitu chanamna hiyo hakipo kabisa hata top7 futa wazo hilo.
Simba imeingia katika mashindano haya ikiwa ya 6, sioni ugumu wala ajabu wa kupanda nafasi moja au mbili juu.
 
Wazee wa vichaka hauwasikii tena wakiongelea habari za kubeba mafyekeo. Kelele zilikuwa kwa ajili ya kujaza watu uwanjani, zoezi ninalosikia halikufanikiwa. Wamekwenda machakani, wamekuta vyura wenzao wamezaliana, zoezi likasitishwa.

Tuachane na hayo, turudi kwenye mada kuu.

Simba ina nafasi ya kubeba ndoo ya CAF Shirikisho msimu huu wa 2024-25. Ikifanikiwa hilo inaenda kuwa top 5 katika orodha ya ubora Afrika au kwa kimombo, "ranking".

Simba ikiwa bingwa inaweza kushika nafasi ya 3 iwapo mambo haya yatatokea -
Mamelodi isifike nusu fainali halafu TP Mazembe wala Zamalek wasifike fainali. Haya yote yanawezekana kutokana na ushindani katika mashindano yao na ubora wa wapinzani wao.

Esperance asipovuka kwenda robo fainali, Simba ina nafasi ya kuwa hata nafasi ya 2 iwapo itabeba ndoo. Hii ni ngumu kutokana na performance ya Esperance ya miaka ya karibuni lakini nataka sana Utopolo waendelee kutufanyia kazi hizi chafu kama walivyotufanyia msimu uliopita kwa CRB. Yanga wamekuwa kama watumwa wa Simba katika mashindano ya kimataifa, tunamtuma tu, embu kamuondoe yule ili tusogee juu kidogo na wenyewe kwa raha zao wanaifanya kazi kwa weledi.

Nipo hapa nampigia Motsepe awapange Yanga katika kundi moja na Esperance au Mamelodi, wampunguze mmoja halafu na yeye robo fainali atupiliwe mbali arudi kucheza na Dodoma Jiji.
unaota sana utakojoa bure hapo,yanga atakutana na mmoja tu kwenye kundi lake kati ya esperance,mamelodi,ahly na maembe na kama unataka mamelodi,mazembe na zamaleki wasifike fainali basi ombea tu wakutane na yanga kitu ambacho ndo hutaki kabisa sikia,kwahiyo kolo jishikilie hapo ulipo kwa sababu nyuma ub#o#o# mbele ub#o#o# ukitikisika tu vimeingia vyote
 
unaota sana utakojoa bure hapo,yanga atakutana na mmoja tu kwenye kundi lake kati ya esperance,mamelodi,ahly na maembe na kama unataka mamelodi,mazembe na zamaleki wasifike fainali basi ombea tu wakutane na yanga kitu ambacho ndo hutaki kabisa sikia,kwahiyo kolo jishikilie hapo ulipo kwa sababu nyuma ub#o#o# mbele ub#o#o# ukitikisika tu vimeingia vyote
Petro katolewa katika haya mahesabu ila hajatolewa na Yanga kwa hiyo hata hao Esperance na Mamelodi wanaweza kutolewa hata na timu nyingine. Ninachotaka ni kuona Yanga ndiyo inafanya hiyo kazi bila kupenda wala kutaka ya kuipaisha Simba ili tuwacheke zaidi.
 
Back
Top Bottom