Je Simba itafanikiwa kuwa top 5 katika ubora msimu huu ranking ya CAF?

Je Simba itafanikiwa kuwa top 5 katika ubora msimu huu ranking ya CAF?

Kauli imebadili kutoka kufika makundi sasa imekua robo
Wanabadilikabadilika hadi kinyonga anawaonea wivu. Sasa hivi hawaongelei tena kufyeka kichaka, wanatuuliza kwani tuna point ngapi, hahahah
 
Wanabadilikabadilika hadi kinyonga anawaonea wivu. Sasa hivi hawaongelei tena kufyeka kichaka, wanatuuliza kwani tuna point ngapi, hahahah
Sasa kama ulikuwa na point 39, sasa hivi unazo 30.5 mwenzako anazo 29, hapo bado unapata ujasiri wa kuongea, kichaka unaona kitaendelea akuwepo?
 
Wazee wa vichaka hauwasikii tena wakiongelea habari za kubeba mafyekeo. Kelele zilikuwa kwa ajili ya kujaza watu uwanjani, zoezi ninalosikia halikufanikiwa. Wamekwenda machakani, wamekuta vyura wenzao wamezaliana, zoezi likasitishwa.

Tuachane na hayo, turudi kwenye mada kuu.

Simba ina nafasi ya kubeba ndoo ya CAF Shirikisho msimu huu wa 2024-25. Ikifanikiwa hilo inaenda kuwa top 5 katika orodha ya ubora Afrika au kwa kimombo, "ranking".

Simba ikiwa bingwa inaweza kushika nafasi ya 3 iwapo mambo haya yatatokea -
Mamelodi isifike nusu fainali halafu TP Mazembe wala Zamalek wasifike fainali. Haya yote yanawezekana kutokana na ushindani katika mashindano yao na ubora wa wapinzani wao.

Esperance asipovuka kwenda robo fainali, Simba ina nafasi ya kuwa hata nafasi ya 2 iwapo itabeba ndoo. Hii ni ngumu kutokana na performance ya Esperance ya miaka ya karibuni lakini nataka sana Utopolo waendelee kutufanyia kazi hizi chafu kama walivyotufanyia msimu uliopita kwa CRB. Yanga wamekuwa kama watumwa wa Simba katika mashindano ya kimataifa, tunamtuma tu, embu kamuondoe yule ili tusogee juu kidogo na wenyewe kwa raha zao wanaifanya kazi kwa weledi.

Nipo hapa nampigia Motsepe awapange Yanga katika kundi moja na Esperance au Mamelodi, wampunguze mmoja halafu na yeye robo fainali atupiliwe mbali arudi kucheza na Dodoma Jiji.
Chezeni mpira punguzeni tararira aka hesabu feki. Mkifika fainali ndo tutaongea.
 
Sasa kama ulikuwa na point 39, sasa hivi unazo 30.5 mwenzako anazo 29, hapo bado unapata ujasiri wa kuongea, kichaka unaona kitaendelea akuwepo?
Mara haujui point, mara unataja point, tukuelewe vipi sasa?
 
Chezeni mpira punguzeni tararira aka hesabu feki. Mkifika fainali ndo tutaongea.
Watu wanadanganya ila namba hazidanganyi hata siku moja. Simba imefika namba 6 bila kuchukua ubingwa wa Afrika na ni miaka zaidi ya 30 toka imecheza fainali. Sasa hivi inajenga kikosi cha kusumbua kwa miaka 5 ijayo, we hauogopi?
 
Simba haishiriki kwa ajili ya nafasi. Hizo nafasi zinakuja zenyewe tu baada ya kufanya vizuri
Na kufanya vizuri ni mpaka uwe na timu Bora sio Bora timu ndio nafasi zitakuja na sio kwa kupiga ramli au kwa bahati nasibu!
 
Na kufanya vizuri ni mpaka uwe na timu Bora sio Bora timu ndio nafasi zitakuja na sio kwa kupiga ramli au kwa bahati nasibu!
Wakati kwa miaka 3 sasa mnasema Simba ni mbovu ilisogea hadi nafasi ya 6 katika kipindi hicho hicho, sasa hatujui hiko kigezo cha ubora ni kipi kingine.
 
Na kufanya vizuri ni mpaka uwe na timu Bora sio Bora timu ndio nafasi zitakuja na sio kwa kupiga ramli au kwa bahati nasibu!
Inatgemeana na mpinzani. Kuna timu ya Tanzania imeshinda 6-0. Esperance ya Tunisia imeshinda 8-0. Zote hizi zimekutana na timu za Ethiopia na Somalia. Lakini Petro Atletico ya Angola AS Vita ya DRC na Al Ahly Tripoli ya Libya zimeondolewa kwa kuwa zilikutana na wapinzani wengine wakali.
 
Inatgemeana na mpinzani. Kuna timu ya Tanzania imeshinda 6-0. Esperance ya Tunisia imeshinda 8-0. Zote hizi zimekutana na timu za Ethiopia na Somalia. Lakini Petro Atletico ya Angola AS Vita ya DRC na Al Ahly Tripoli ya Libya zimeondolewa kwa kuwa zilikutana na wapinzani wengine wakali.
🤣🤣Mpinzani mkali ndio uyo wa Libya tuliyemuona au Kuna Libya nyingine?
 
🤣🤣Mpinzani mkali ndio uyo wa Libya tuliyemuona au Kuna Libya nyingine?
Ndio huyu ambaye usajili wa mchezaji wake mmoja ni bajeti ya usajili wa wachezaji wote wa Yanga akiwemo Kagoma
 
Wazee wa vichaka hauwasikii tena wakiongelea habari za kubeba mafyekeo. Kelele zilikuwa kwa ajili ya kujaza watu uwanjani, zoezi ninalosikia halikufanikiwa. Wamekwenda machakani, wamekuta vyura wenzao wamezaliana, zoezi likasitishwa.

Tuachane na hayo, turudi kwenye mada kuu.

Simba ina nafasi ya kubeba ndoo ya CAF Shirikisho msimu huu wa 2024-25. Ikifanikiwa hilo inaenda kuwa top 5 katika orodha ya ubora Afrika au kwa kimombo, "ranking".

Simba ikiwa bingwa inaweza kushika nafasi ya 3 iwapo mambo haya yatatokea -
Mamelodi isifike nusu fainali halafu TP Mazembe wala Zamalek wasifike fainali. Haya yote yanawezekana kutokana na ushindani katika mashindano yao na ubora wa wapinzani wao.

Esperance asipovuka kwenda robo fainali, Simba ina nafasi ya kuwa hata nafasi ya 2 iwapo itabeba ndoo. Hii ni ngumu kutokana na performance ya Esperance ya miaka ya karibuni lakini nataka sana Utopolo waendelee kutufanyia kazi hizi chafu kama walivyotufanyia msimu uliopita kwa CRB. Yanga wamekuwa kama watumwa wa Simba katika mashindano ya kimataifa, tunamtuma tu, embu kamuondoe yule ili tusogee juu kidogo na wenyewe kwa raha zao wanaifanya kazi kwa weledi.

Nipo hapa nampigia Motsepe awapange Yanga katika kundi moja na Esperance au Mamelodi, wampunguze mmoja halafu na yeye robo fainali atupiliwe mbali arudi kucheza na Dodoma Jiji.
Ni mwendo wa roho mbaya tu
 
Kumbuka shirikisho timu kali ziko nne tu na Simba ndio miongoni mwao,hivyo group lake atapangwa na vibonde
Kuna timu moja ina jina gumu kutoka South Africa.. aisee mziki wake sio wa kawaida
 
Nakubaliana na wewe. Nimezitaja tu ili tusione kuwa safari itakuwa ya mserereko kama hawa wazee wa Vital'O, CBE, Monastir, Marumo na Rivers.
Monastri mtue hapo kama kweli unaongelea mpira
 
Back
Top Bottom