Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Hamna timu mle muzeye.Watu wanadanganya ila namba hazidanganyi hata siku moja. Simba imefika namba 6 bila kuchukua ubingwa wa Afrika na ni miaka zaidi ya 30 toka imecheza fainali. Sasa hivi inajenga kikosi cha kusumbua kwa miaka 5 ijayo, we hauogopi?