Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,248 Reaction score 13,244 Sep 24, 2024 #61 SAYVILLE said: Watu wanadanganya ila namba hazidanganyi hata siku moja. Simba imefika namba 6 bila kuchukua ubingwa wa Afrika na ni miaka zaidi ya 30 toka imecheza fainali. Sasa hivi inajenga kikosi cha kusumbua kwa miaka 5 ijayo, we hauogopi? Click to expand... Hamna timu mle muzeye.
SAYVILLE said: Watu wanadanganya ila namba hazidanganyi hata siku moja. Simba imefika namba 6 bila kuchukua ubingwa wa Afrika na ni miaka zaidi ya 30 toka imecheza fainali. Sasa hivi inajenga kikosi cha kusumbua kwa miaka 5 ijayo, we hauogopi? Click to expand... Hamna timu mle muzeye.
SAYVILLE JF-Expert Member Joined Mar 25, 2010 Posts 7,895 Reaction score 12,975 Jan 18, 2025 Thread starter #62 Hii sasa ndiyo tathmini ya kisomi isiyo na mihemko siyo kama wale wengine kwenye ule uzi, wanaota vitu visivyo na uhalisia.
Hii sasa ndiyo tathmini ya kisomi isiyo na mihemko siyo kama wale wengine kwenye ule uzi, wanaota vitu visivyo na uhalisia.