Je Simba itafanikiwa kuwa top 5 katika ubora msimu huu ranking ya CAF?

Watu wanadanganya ila namba hazidanganyi hata siku moja. Simba imefika namba 6 bila kuchukua ubingwa wa Afrika na ni miaka zaidi ya 30 toka imecheza fainali. Sasa hivi inajenga kikosi cha kusumbua kwa miaka 5 ijayo, we hauogopi?
Hamna timu mle muzeye.
 
Hii sasa ndiyo tathmini ya kisomi isiyo na mihemko siyo kama wale wengine kwenye ule uzi, wanaota vitu visivyo na uhalisia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…