Karibuni jangwani university of football managementMkuu sisi kama makolo tushajifumza tayari. Hapa tulikua tunamliza mambo fulani kuyaweka sawasawa kwa ajili ya kuja kula pindi kama wale wakongo. Jiandaeni kutupokea tunavutiwa sana na nyie
AahaaaaTunakoelekea mpinzani wa Yanga atakuwa ni Azam Fc, halafu Simba wapinzani wake wakuu watakuwa ni Mashujaa, Kagera Sugar, na Prisons.