Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Hapa miaka ya karibuni kumeibuka upinzani mkubwa wa kisoka kati ya Azam na Yanga kiasi Kwamba derby ya watani imekuwa Haina mvuto kisa Simba kuonekana underdog but currently mzizima derby (Yanga na Azam) ndio hatari zaid
Je Simba tunajifunza Nini
a) sisi Simba ni level ya Al ahly.....japo tumeangukia looser cup [emoji23][emoji23]
b) Tuendelee kujitafuta ,.....tutajipata miaka ya mbele...Kwan tumeshinda robo final nyingi [emoji23][emoji23]
C) Hatumtaki mangungu [emoji23][emoji23]
d) Yote sawaaaa,[emoji23][emoji23]
Je Simba tunajifunza Nini
a) sisi Simba ni level ya Al ahly.....japo tumeangukia looser cup [emoji23][emoji23]
b) Tuendelee kujitafuta ,.....tutajipata miaka ya mbele...Kwan tumeshinda robo final nyingi [emoji23][emoji23]
C) Hatumtaki mangungu [emoji23][emoji23]
d) Yote sawaaaa,[emoji23][emoji23]