Yuda Legacy
JF-Expert Member
- Jun 21, 2023
- 778
- 2,764
Aliamriwa amsaidie, akakubali kumsaidia.Maana huwa tunaambiwa alimsaidia je alimsaidia au aliamriwa
Angekataaje Sasa kama alipewa amri?Aliamriwa amsaidie, akakubali kumsaidia.
Angeweza pia kukataa
Alishurutishwa na askari wa Kirumi.Bwana Yesu asifiwe kwa wajuzi na wasomi wa Mambo ya Rohoni kama kichwa cha habari kinavyo uliza.
Je kosa la simoni mkirene (Simone of cyrene) ni lipi haswa au alibeba msalaba ule kwa kupenda tu kumsaidia Yesu kristo.?
Maana huwa tunaambiwa alimsaidia je alimsaidia au aliamriwa
View attachment 3061154
Na ww Tunga yako tuone itaishia wapStori za kusadikikaa hziiii ...
Akatae hajipendi? πππAliamriwa amsaidie, akakubali kumsaidia.
Angeweza pia kukataa
Nan kakuambia hakubarikiwa au ulitaka ampe na tuzo apige na picha?Na hakubarikiwa kwa kazi aliyofanya, ila yule malaya aliyemfuta Yesu miguu alisemehewa dhambi.
Ubaguzi tu
Siwezi Tunga uongo wakuwahadaa watu waishi Kwa mashakaa mkuuu..Na ww Tunga yako tuone itaishia wap
Hakutenda kosa,Alikua Mtu Mweusi,Askari walipomuona kwa sababu ya Rangi yake ya ngozi kua black wakamuamrisha abebe msalaba amsaidie Mweusi Mwenzake ambae ni Yesu kristoBwana Yesu asifiwe kwa wajuzi na wasomi wa Mambo ya Rohoni kama kichwa cha habari kinavyo uliza.
Je kosa la simoni mkirene (Simone of cyrene) ni lipi haswa au alibeba msalaba ule kwa kupenda tu kumsaidia Yesu kristo.?
Maana huwa tunaambiwa alimsaidia je alimsaidia au aliamriwa
View attachment 3061154
Basi waache wanaoamini uongo waendelee kiambini kwan ww inakupunguzia nnSiwezi Tunga uongo wakuwahadaa watu waishi Kwa mashakaa mkuuu..
Cjasema inanipunguzia ktu mkuu Wala kuniongeaaBasi waache wanaoamini uongo waendelee kiambini kwan ww inakupunguzia nn
Basi huna sababu ya kuwafuatilia watu wasiokuwa na effect kwakoCjasema inanipunguzia ktu mkuu Wala kuniongeaa