edon66
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 2,907
- 9,135
Hata mm naonaaBasi huna sababu ya kuwafuatilia watu wasiokuwa na effect kwako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mm naonaaBasi huna sababu ya kuwafuatilia watu wasiokuwa na effect kwako
Kwani kila amri ni lazima uikubali? Mbona kuna mitume wengi tu pamoja na watakatifu wa Mungu waliuawa kwa kukataa amri?Angekataaje Sasa kama alipewa amri?
Kwani kila amri ni lazima uikubali? Mbona kuna mitume wengi tu pamoja na watakatifu wa Mungu waliuawa kwa kukataa amri?Angekataaje Sasa kama alipewa amri?
Kwa hiyo putin ndio reference yako?Hakutenda kosa,Alikua Mtu Mweusi,Askari walipomuona kwa sababu ya Rangi yake ya ngozi kua black wakamuamrisha abebe msalaba amsaidie Mweusi Mwenzake ambae ni Yesu kristo
Kwa hio aliamriwa kwa kua alifanana nae rangi ya ngozi yake
Yesu kristo alikua ni Mweusi,hii imefichwa muda mrefu, Rais Putin kuna nyaraka aliziweka wazi ya michoro ya Yesu inayothibitisha kua alikua Mweusi
Israel mpk leo black Wapo wengi tu na wengine wapo mpk jeshini
View attachment 3061186
Sasa Putin na wewe nani anajua?Kwa hiyo putin ndio reference yako?
kwa hali ile angepata wapi nguvu za kymbariki? ila hata lissu hajawahi mshukuru alitetoa ndege yake impeleke nairobiNa hakubarikiwa kwa kazi aliyofanya, ila yule malaya aliyemfuta Yesu miguu alisemehewa dhambi.
Ubaguzi tu