poposindege
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 453
- 175
Kama kicha cha habari kinavyouliza je inawezekana?
Kwa bahati mbaya simu yangu katika kubonyeza bonyeza nikafanya Factory Reset na ndani kuna vitu muhimu sana na sikuwahi kufanya Backup ya chochote.
Kwa mwenye uelewa wowote anisaidie tafadhali
Kwa bahati mbaya simu yangu katika kubonyeza bonyeza nikafanya Factory Reset na ndani kuna vitu muhimu sana na sikuwahi kufanya Backup ya chochote.
Kwa mwenye uelewa wowote anisaidie tafadhali