CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Wakuu.
Kuna suala linaniumiza sana Kichwa.
Mwaka 1996 Inaasemekana papa JOHN PAUL II
Alikanyaga Ardhi ya Tanzania na Kupiga MAGOTI na kuibusu?
1. Hiki kitu hakijawahi kufanya na papa yoyote JE Kuna nini Ardhi ya Tanzania?
2. Kipi kimejificha Ambacho sisi hatukijui?
3. JE Tanzania inashirikiana na VATCAN kuidhirimu CONGO?
4Nyerere Alifanya nini kwenye Ardhi ya Tanzania?
5. Upo ulikuwa msimamo wa Nyerere kuhusu dhambi na Druma zinaziendelea Congo
Hao Marais woote WANAPENDA kutawala mataifa Mengine kwanini wapite Tanzania????.
Kuna suala linaniumiza sana Kichwa.
Mwaka 1996 Inaasemekana papa JOHN PAUL II
Alikanyaga Ardhi ya Tanzania na Kupiga MAGOTI na kuibusu?
1. Hiki kitu hakijawahi kufanya na papa yoyote JE Kuna nini Ardhi ya Tanzania?
2. Kipi kimejificha Ambacho sisi hatukijui?
3. JE Tanzania inashirikiana na VATCAN kuidhirimu CONGO?
4Nyerere Alifanya nini kwenye Ardhi ya Tanzania?
5. Upo ulikuwa msimamo wa Nyerere kuhusu dhambi na Druma zinaziendelea Congo
Hao Marais woote WANAPENDA kutawala mataifa Mengine kwanini wapite Tanzania????.