Hebu mwacheni auguze kisukari chake Jamani hata hiyo 2025 kuikanyaga tu itakua Bahati!Nimejaribu kufuatilia msimamo wa Job Ndugai ni kama wa JPM, ni mzalendo na hapendi Nchi kuombaomba misaada au kukopa sana kutoka nje, badala anapenda kujitegemea. Natafakari kama CCM itampitisha kugombea Urais 2025, je ana sifa ya kuwa Rais wa Tanzania?
DuuhHebu mwacheni auguze kisukari chake Jamani hata hiyo 2025 kuikanyaga tu itakua Bahati!
Duh! Ayubu huyu huyu mgogo aliyemchabanga mpinzani wake Kwa bakora?Nimejaribu kufuatilia msimamo wa Job Ndugai ni kama wa JPM, ni mzalendo na hapendi Nchi kuombaomba misaada au kukopa sana kutoka nje, badala anapenda kujitegemea. Natafakari kama CCM itampitisha kugombea Urais 2025, je ana sifa ya kuwa Rais wa Tanzania?
Kuugua siyo kufa kama ilivyo kutongiza si kuoa.Anaweza kutoboa tu.Ila aache kuchapa wwnzake na fimbo hadi wanazimia.Hebu mwacheni auguze kisukari chake Jamani hata hiyo 2025 kuikanyaga tu itakua Bahati!
Mkuu jifunze kuchagua maneno ya kutumia... Itakusaidia siku moja.Hebu mwacheni auguze kisukari chake Jamani hata hiyo 2025 kuikanyaga tu itakua Bahati!
Wazalendo wanaojiongezea marupurupu kibao na wanaojiwekea kinga za kutoshitakiwa tunao wengi sana !!Nimejaribu kufuatilia msimamo wa Job Ndugai ni kama wa JPM, ni mzalendo na hapendi Nchi kuombaomba misaada au kukopa sana kutoka nje, badala anapenda kujitegemea. Natafakari kama CCM itampitisha kugombea Urais 2025, je ana sifa ya kuwa Rais wa Tanzania?
Kweli hana mpinzani? Umejua je? Kwani Mgombea ameshachaguliwa Chamani?Wazalendo wanaojiongezea marupurupu kibao na wanaojiwekea kinga za kutoshitakiwa tunao wengi sana !!
Mama mpaka 2030 hana mpinzani Chamani labda Upinzani wafanye Surprises !!
Kanuni na tamaduni zao zipo hivyo ! Huchapishwa fomu moja tu !!Kweli hana mpinzani? Umejua je? Kwani Mgombea ameshachaguliwa Chamani?
Kwa hali halisi ilivyo utaratibu huo hautabadilika?Kanuni na tamaduni zao zipo hivyo ! Huchapishwa fomu moja tu !!
Lakini hakubaliani na DP World na hapendi Nchi kuombaomba misaada au kukopa sana kutoka nje.hana uzalendo wowote, uzalendo sio kuvaa scarf za bendera, wazalendo ni wale ambao hata kampuni za bima haziwataki, waliorindimisha mizinga kwenye nchi za maadui, wakalala nje kwenye maji. Uzalendo sio kujisema mimi mzalendo sisi ndio tunawajua wazalendo wa nchi hii. Hao wanaoenda india kwa bili fake wana uzalendo gani!
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
He will be even lucky to touch 2025... thats all.Mkuu jifunze kuchagua maneno ya kutumia... Itakusaidia siku moja.