Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
Ni yeye Job Kazi.
keshapita uyo✔🏃🏃🏃
keshapita uyo✔🏃🏃🏃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afadhali ingekuwa bakora, lile lilikuwa rungu.Duh! Ayubu huyu huyu mgogo aliyemchabanga mpinzani wake Kwa bakora?
Huna adabu.Hebu mwacheni auguze kisukari chake Jamani hata hiyo 2025 kuikanyaga tu itakua Bahati!
Mbinu zote za kuiba kura zitathibitiwa kwa uhakika 2025. Waliokuwa wanatumiwa kuiba kura wameona madhara yake baada ya uchaguzi wa 2020.Atagombea kwa chama kipi?
Hata akipitia PPT Maendeleo lkn je, tume ile ya mfukoni mwa Samia itamuacha apate ushindi ama itatumia vinegi kupora ushindi??
Mwisho, Ndugai siyo spika mstaafu. Ni spika aliyevuliwa uspika kwa kusema "ipo siku nchi itapigwa mnada hii".
Kwani Katiba ya CCM ina kanuni hizo?Kanuni na tamaduni zao zipo hivyo ! Huchapishwa fomu moja tu !!
LABDA AANZISHE CHAMA CHAKENimejaribu kufuatilia msimamo wa Job Ndugai ni kama wa JPM, ni mzalendo na hapendi Nchi kuombaomba misaada au kukopa sana kutoka nje, badala anapenda kujitegemea. Natafakari kama CCM itampitisha kugombea Urais 2025, je ana sifa ya kuwa Rais wa Tanzania?
Hahaha 🤣Afadhali ingekuwa bakora, lile lilikuwa rungu.
Kuna watoto humu wanajilazimisha kulala kwa kuchelewa kama watu wakubwa, matokeo yake ndo haya kutuletea vitu vya ajabu ajabu kama hiki. Ndugai awe Raisi?!!!!!!!!!!!!
Ni tz tu kila mtu anajiona anafaa kuwa rais, by the way ,ccm inaenda kufutika kama uchaguzi utafanyikaNimejaribu kufuatilia msimamo wa Job Ndugai ni kama wa JPM, ni mzalendo na hapendi Nchi kuombaomba misaada au kukopa sana kutoka nje, badala anapenda kujitegemea. Natafakari kama CCM itampitisha kugombea Urais 2025, je ana sifa ya kuwa Rais wa Tanzania?
Takataka yule. Hata ubunge aliupaya kibahati tu. Na ameshasema ana file milembeNimejaribu kufuatilia msimamo wa Job Ndugai ni kama wa JPM, ni mzalendo na hapendi Nchi kuombaomba misaada au kukopa sana kutoka nje, badala anapenda kujitegemea. Natafakari kama CCM itampitisha kugombea Urais 2025, je ana sifa ya kuwa Rais wa Tanzania?
Mtu asiyejiamini ni rahisi sana kuuza nchi akiwa Rais. Ndugai kama angekuwa anajiamini baada ya kutamka kuwa " Samia kukopa kopa sana atakuja uza nchi" alitakiwa akomae na msimamo wake na sio tena kwenda kumuangukia mama Abdul!!! Kitendo cha kwenda kuomba samahani kilimvunjia heshima mbele ya wananchi hivyo he is not electable as President!!Kuugua siyo kufa kama ilivyo kutongiza si kuoa.Anaweza kutoboa tu.Ila aache kuchapa wwnzake na fimbo hadi wanazimia.
Hakuna mwenye ubavu wa kumpinga Mwenyekiti wa Chama ambaye pia ndiye Amiri jeshi Mkuu 😅🙏 !Kwani Katiba ya CCM ina kanuni hizo?
Labda mwenyewe aamue hivyo !! Na si vinginevyo !!Kwa hali halisi ilivyo utaratibu huo hautabadilika?
Uamiri Jeshi mkuu ni kwenye majeshi na wakati wa vita,Hakuna mwenye ubavu wa kumpinga Mwenyekiti wa Chama ambaye pia ndiye Amiri jeshi Mkuu 😅🙏 !
Jifunze kuweka akiba ya maneno utakuja kunishukuru.Hebu mwacheni auguze kisukari chake Jamani hata hiyo 2025 kuikanyaga tu itakua Bahati!