Je, Spika Ndugai asaidiwe kisaikolojia au aachwe?

Hakujiandaa
 
Wanasema tusihangaike naye kuna maono juu yake yatatimia baada ya muda mfupi
 
Kwani hao wabunge wasipokuwepo bungeni ww unapata faida gani?

Kitu gani kinaongezeka?

Au na ww ni kama wale viongozi wako ambao walishawaweka wake zao na wale wanawake ambao walishalipa milion kumi kumi?

Ww ni mmoja kati ya hao wabunge nini? Maana hii mada huwa inakukwaza sana. Kwani kuna ulazima gani wa ww kuwepo huko bungeni?
 
tushaanza kampeni tayari - ya kumtangaza jamaa kama maajabu ya dunia !! watu waje wamshuhudie ni kivutio kingine kipya cha utalii wa ndani na nje ya nchi.
 
Ww ni mmoja kati ya hao wabunge nini? Maana hii mada huwa inakukwaza sana. Kwani kuna ulazima gani wa ww kuwepo huko bungeni?

Ulazima upo mkubwa tu
Kwani wasipokuwepo ww unadhirika na nn?
 
aachwe, ni pyschological healing.
 
Sijui kama mwana sheria mkuu wa serikali ana fanya kazi yake sahihi hapo bungeni
Angekuwa ana mshauri Ndugai kuhusu sheria za nchi na utii wa katiba, Ndugai hange fanya huu uharo anao fanya
Kwa kifupi huyu mwanasheria anaingia kwenye kundi la covid.
Nashauri kabla Mh Rais hajachukua hatua ya kuingilia kati huu mgogoro kati ya bunge na Chadema, aondoke kwanza na mwanasheria wa serikali.
 
Ndugai endelea kupiga spana hizi nyumbu hadi akili iingie vema.
Kwahiyo Mama Samia aliyesema kuwa mijadala ya wabunge haina afya kwa taifa naye ni nyumbu aliyepigwa spana na Ndugai?
 
Kwani hao wabunge wasipokuwepo bungeni ww unapata faida gani?

Kitu gani kinaongezeka?

Au na ww ni kama wale viongozi wako ambao walishawaweka wake zao na wale wanawake ambao walishalipa milion kumi kumi?
Hili ndilo tatizo la kuwazia kupitia mlango wa fahamu wa nyuma.
Yaan ww unaona kawaida tu watu 19 ambao hawana sifa ya ubunge kulipwa tsh 11 per month. Kwa nn hizo pesa zisisaidie wahitaji ? Bora zinunue madawa wagonjwa wapate kupona.
 
Hivi sasa Watanzania kuongozwa na viongozi wagonjwa si jambo la ajabu tena. Ingawa tumebahatika kuondokana na moja, wengi bado wametamalaki.

Ndugai ni mgonjwa na hilo kila mtu analifahamu. Ugonjwa wake si siri na hilo kila moja analifahamu. Cha kujiuliza ni watanzania tumefikaje hapa.

Kama tuliweza kuvumilia hali hiyo kwa miaka mitano, tusife moyo. Ipo siku tutaamka na kukuta maombi yetu yamejibiwa hivyo tusikate tamaa.

Katiba ya nchi ina uwezo wa kujilinda na inapochokozwa inajibu mapigo. Wote waliojaribu kuisigina Katiba kwa namna yoyote ile, walilipa kwa namna fulani.
 
****** is a lost cause. HAIWEZEKANI tena kumleta kwenye ubinadamu. Kwanza ni mtaalamu wa wanyama pori by profession hivyo amezoea kuona wanyama wakitafuna wanyama wenzao (cannibalism).

Pili VVU vimekamata ubongo, ni Mungu atende kama alivyotenda kwa Mwendazake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…