Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
HakujiandaaNimefanya magazijuto, wapi! Nikarudia hesabu za chekechea, wapi! Nikasema nijaribu primary, wapi! Kwa ufupi huo mnyumbulisho sijauelewa kabisa.
Anaposema jumla ya wajumbe ilikua 30 na alipata zote, inamaana TAL alipata zero. Unapomuwekea jamaa 24 na yeye akapata 30 ni kusema jumla ya wajumbe ilikua 54.
Lazima kuna mtu hasemi ukweli hapo.
Bora amerudi kule 'alikonywea sumu' akafie huko.Wajumbe 30
Tundu Lissu 24
Mimi kura zote (30)
Wamemchoka, nasikia wameomba Waongezewe nguvu kutoka Lutindi Mental Health Hospital ya Korogwe TangaDaktari wake pale mirembe apigiwe simu....
Ukimtegemea shetani hayo ndio matatizo yake, hata data zinakuwa za uongo!Wajumbe 30
Tundu Lissu 24
Mimi kura zote (30)
Msamehe bure mkuu, hana ubongo wa kumuwezesha kujibu hoja.Ona huyu kenge nae, jibu hoja wewe ndezi
Kwani hao wabunge wasipokuwepo bungeni ww unapata faida gani?
Kitu gani kinaongezeka?
Au na ww ni kama wale viongozi wako ambao walishawaweka wake zao na wale wanawake ambao walishalipa milion kumi kumi?
tushaanza kampeni tayari - ya kumtangaza jamaa kama maajabu ya dunia !! watu waje wamshuhudie ni kivutio kingine kipya cha utalii wa ndani na nje ya nchi.Ndugai tatizo lake jingine anajisahau.Yeye ni speaker wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania.Siyo speaker wa ccm.Aache mambo ya kujibishana kichama chama,Chadema wakiamua kufanya naye bifu kibinafsi,itashusha heshima yake katika jamii.Ukibeep watu wanakupigia.Chadema inawafuasi wengi,kwenye kampeni za Lisu mwaka jana inazihirisha hilo.Wakiamua wafanye naye beef hatobaki salama.Kwanza hata Bungeni chadema hawapo,yeye angekomaa na kutoa umasikini kwa watanzania.Siyo mabeef.
Yeye kapewa zamana ya uongozi afanye kazi,hasa ya kuwatoa umasikini uliopitiliza kwa wananchi wa jimbo lake la Kongwa
Ww ni mmoja kati ya hao wabunge nini? Maana hii mada huwa inakukwaza sana. Kwani kuna ulazima gani wa ww kuwepo huko bungeni?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Daktari wake pale mirembe apigiwe simu....
aachwe, ni pyschological healing.Dunia kuna vituko sana, Moja ya vituko vinapatikana Bungeni vikiongozwa na Job Ndugai. Huyu Ndugai anajulikana kama mheshimiwa Spika.
Leo Ndugai ametumia dakika nyingi Bungeni akitaka kutetea legacy yake na kujifananisha na Spika Marehamu Samwel Sitta, Ndugai anaumia na kukwazika sana kwanini watu walimuheshimu Samwel Sitta na kuheshimu Bunge la tisa la Samwel Sitta.
Ndugai amejitahidi kulia na kubembeleza kwa wabunge kuwa naye atajitahidi kuandika mambo aliyoyafanya ili watu wamuelewe, Je mbona Samwel Sitta hajaandika popote legacy yake lakini anakumbukwa.
Ndugai ni moja ya Spika atakaye Kumbukwa kwa maovu na ukatili wa hali ya juu kinyume na mwanadamu wa kawaida.
Ndugai asipojirekebisha ataunganishwa na mwendazake kama watu walioharibu Uchumi wa nchi mpaka kufika ukuaji wa asilimia 4% ambao watu wengi wamepoteza ajira.
Ndugai atakumbukwa kama mtu asiyekuwa na busara na Hekima kwa maamuzi yake yaliyoharibu Taifa.
Maamuzi ya kupitisha sheria uchwara kama za uhujumu Uchumi ili kumfurahisha mwendazake, Bila aibu Ndugai anashawishi sheria hizi sasa ziletwe Bungeni tena baada ya kuona upepo umekaa hovyo.
Ndugai ameshiriki kupitisha sheria za mifuko ya jamii kandamizi ili kuwaumiza wastaafu, Mifuko ya jamii iliunganishwa na pesa kufilisiwa kwa kisingizio zinajenga miradi, Leo Mama Samia anapata wakati mgumu sana.
Ndugai atakumbukwa kama mtu aliyegeuza Bunge genge la watu wasiojielewa ambao kazi yake imekuwa kuzurula na mwendazake kila kona wakati wa kuzindua miradi, Ndugai alipokea maagizo hata ya kuwanyima stahiki zake wabunge kama Tundu Lissu.
Ndugai Leo amepoteza muda kujibu hoja za Nape kwa aibu kubwa, Ndugai bado haamini kama Mwendazake hayupo alishatangulia, Nina uhakika kauli ya Nape kuwa wabunge wale 19 na chadema wapo pale sio kihalali angetamka wakati ule Ndugai angemfukuza Nape Bungeni ili kumfurahisha Mwendazake.
Hawa ni viongozi wa kitaifa lakini mwisho wa siku wataandikwa kwenye historia kama moja ya watu pekee kutokea Tanzania walioendesha nchi kama gari bovu isiyokuwa na sheria, kanuni na taratibu.
Hakika Ndugai atatumia muda mwingi kutetea legacy yake huku akisahau legacy inajitetea yenyewe.
Pole Sana Mheshimiwa Ndugai, Tafuta mwalimu wa Saikolojia aliyekufunza ukatili hayupo tena.
Kwahiyo Mama Samia aliyesema kuwa mijadala ya wabunge haina afya kwa taifa naye ni nyumbu aliyepigwa spana na Ndugai?Ndugai endelea kupiga spana hizi nyumbu hadi akili iingie vema.
Hili ndilo tatizo la kuwazia kupitia mlango wa fahamu wa nyuma.Kwani hao wabunge wasipokuwepo bungeni ww unapata faida gani?
Kitu gani kinaongezeka?
Au na ww ni kama wale viongozi wako ambao walishawaweka wake zao na wale wanawake ambao walishalipa milion kumi kumi?
Ulazima upo mkubwa tu
Kwani wasipokuwepo ww unadhirika na nn?
****** is a lost cause. HAIWEZEKANI tena kumleta kwenye ubinadamu. Kwanza ni mtaalamu wa wanyama pori by profession hivyo amezoea kuona wanyama wakitafuna wanyama wenzao (cannibalism).Dunia kuna vituko sana, Moja ya vituko vinapatikana Bungeni vikiongozwa na Job Ndugai. Huyu Ndugai anajulikana kama mheshimiwa Spika.
Leo Ndugai ametumia dakika nyingi Bungeni akitaka kutetea legacy yake na kujifananisha na Spika Marehamu Samwel Sitta, Ndugai anaumia na kukwazika sana kwanini watu walimuheshimu Samwel Sitta na kuheshimu Bunge la tisa la Samwel Sitta.
Ndugai amejitahidi kulia na kubembeleza kwa wabunge kuwa naye atajitahidi kuandika mambo aliyoyafanya ili watu wamuelewe, Je mbona Samwel Sitta hajaandika popote legacy yake lakini anakumbukwa.
Ndugai ni moja ya Spika atakaye Kumbukwa kwa maovu na ukatili wa hali ya juu kinyume na mwanadamu wa kawaida.
Ndugai asipojirekebisha ataunganishwa na mwendazake kama watu walioharibu Uchumi wa nchi mpaka kufika ukuaji wa asilimia 4% ambao watu wengi wamepoteza ajira.
Ndugai atakumbukwa kama mtu asiyekuwa na busara na Hekima kwa maamuzi yake yaliyoharibu Taifa.
Maamuzi ya kupitisha sheria uchwara kama za uhujumu Uchumi ili kumfurahisha mwendazake, Bila aibu Ndugai anashawishi sheria hizi sasa ziletwe Bungeni tena baada ya kuona upepo umekaa hovyo.
Ndugai ameshiriki kupitisha sheria za mifuko ya jamii kandamizi ili kuwaumiza wastaafu, Mifuko ya jamii iliunganishwa na pesa kufilisiwa kwa kisingizio zinajenga miradi, Leo Mama Samia anapata wakati mgumu sana.
Ndugai atakumbukwa kama mtu aliyegeuza Bunge genge la watu wasiojielewa ambao kazi yake imekuwa kuzurula na mwendazake kila kona wakati wa kuzindua miradi, Ndugai alipokea maagizo hata ya kuwanyima stahiki zake wabunge kama Tundu Lissu.
Ndugai Leo amepoteza muda kujibu hoja za Nape kwa aibu kubwa, Ndugai bado haamini kama Mwendazake hayupo alishatangulia, Nina uhakika kauli ya Nape kuwa wabunge wale 19 na chadema wapo pale sio kihalali angetamka wakati ule Ndugai angemfukuza Nape Bungeni ili kumfurahisha Mwendazake.
Hawa ni viongozi wa kitaifa lakini mwisho wa siku wataandikwa kwenye historia kama moja ya watu pekee kutokea Tanzania walioendesha nchi kama gari bovu isiyokuwa na sheria, kanuni na taratibu.
Hakika Ndugai atatumia muda mwingi kutetea legacy yake huku akisahau legacy inajitetea yenyewe.
Pole Sana Mheshimiwa Ndugai, Tafuta mwalimu wa Saikolojia aliyekufunza ukatili hayupo tena.
Unachembechembe za kinyaruanda, watz hatuko hivyo babu.Ndugai endelea kupiga spana hizi nyumbu hadi akili iingie vema.