Je, Spika Ndugai asaidiwe kisaikolojia au aachwe?

Hasira za Halima kuwa bungeni huku mbowe akiwa nje ya bunge ni mbaya sana- mmeamua kufa na Ndugai
 
Mwanasheria aliyemdanganya mama akatutangazia siku za maombolezo za uongo sina ham naye kabisa
 
Hili ndilo tatizo la kuwazia kupitia mlango wa fahamu wa nyuma.
Yaan ww unaona kawaida tu watu 19 ambao hawana sifa ya ubunge kulipwa tsh 11 per month. Kwa nn hizo pesa zisisaidie wahitaji ? Bora zinunue madawa wagonjwa wapate kupona.

Huo sasa ni wivu wa maendeleo tu
Katika pesa zote za Tanzania ww Umeona hizo za watu 19 tu ndio za kununua madawa?
 

 
Hata Kama anajua, bado anapangiwa namna ya kufanyia kazi anachojua na wasiojua. Kwahiyo ajuacho ni useless.

Ndio shida yako ww sasa
Yan kama mtu hana mawazo kama yako basi anakuwa anapangiwa

So Lisu na Mbowe wanapangiwa na nani?
 
Ni mambo matatu tu.
1. Katibu mkuu wenu aandike barua nzuri ya kueleza kwa nini wabunge wafukuzwe.
2. Barua hiyo iambatishwe na katiba yenu yenye kueleza kifungu gani wabunge hao wamekiuka.
3. Ambatisho la muhtasari wa kikao cha juu chenue mamlaka ya kuwafukuza wabunge hao.
Simple.
 
Ndio shida yako ww sasa
Yan kama mtu hana mawazo kama yako basi anakuwa anapangiwa

So Lisu na Mbowe wanapangiwa na nani?

Hapo ni suala la kisheria, na sio mtu anawaza nini. Kama sheria iko wazi na haifuatwi, hapo kuna mwanasheria au sanamu la mwanasheria bungeni?
 
Hapo ni suala la kisheria, na sio mtu anawaza nini. Kama sheria iko wazi na haifuatwi, hapo kuna mwanasheria au sanamu la mwanasheria bungeni?

Sheria inasema, chadema wapeleke viti maalum swali ni je walipeleka? Na kama hawakupeleka walifuata sheria au walivunja sheria?
 
Sheria inasema, chadema wapeleke viti maalum swali ni je walipeleka? Na kama hawakupeleka walifuata sheria au walivunja sheria?

Uchaguzi ulikuwa ni wa kishenzi kupita maelezo, ni mwendawazimu tu atakayeongelea sheria kwenye uchaguzi wa kihayawani vile.
 
Uchaguzi ulikuwa ni wa kishenzi kupita maelezo, ni mwendawazimu tu atakayeongelea sheria kwenye uchaguzi wa kihayawani vile.

Kama ulikuwa wa kishenzi sasa makelele ya wakina mdee ya nn? Coz nyie hamtambui anything
 
Ndugai ameachiwa mikoba ya uchawi na Magu so lazima aendelee kuloga kulinda ligasi
 
Kama ulikuwa wa kishenzi sasa makelele ya wakina mdee ya nn? Coz nyie hamtambui anything

Unapoona kundi la wezi wakichanganyikana na washenzi, kelele lazima ziwe kama zote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…