Katikati ya nyakati hizi maprofessor na madokta waliomo kwenye mifumo mingi ya Taifa hili wametoa mbongo zao kichwani zmeamia tumboni. Sasa zimebadili functionalities zake!! Haingii akilini Taifa letu viongozi wanatoa maamuz na matamko yanayovunja Katiba na sheria mchana kuepe Bila aibu haiwezekani asilani!! Maamuzi yao yameanza kuharibu mstakabar wa umoja wetu!!
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Hakika nchi hii imeingia kwenye laana kubwa sana, kwa viongozi wake kutotaka kabisa kuheshimu Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na sheria nyingine za nchiHii nchi imejaa na wavuta bangi watupu...kuanzia bungeni..mahakamani ..mpaka serikali kuu.watu ambao hawaheshimu katiba na utawala wa sheria ni uhuni uhuni tu
Tunakoelekea ni pabaya zaidi tunahitaji mabadiliko ya uongozi haraka iwezekananvyo..eeh mwenyezi mungu tunusuru na hawa wabakaji wa demokrasia yetu!
natoka hapaMsomi wa kitanzania linapokuja suala la tumbo ndio unaweza kuona elimu yetu ni takataka tu.
Mtu mzima, mwili mkubwa, afya nzuri, mcheshi, muelewa lakini anaweza kufanya jambo la kipumbavu mpaka ukaona hakuna maana ya mwanao kwenda shule.
Mbona unajiuliza harafu unajipa majibu mwenyewe, one man show !Nimesoma kitu kinachoitwa TAARIFA KWA UMMA iliyotolewa na Tume ya Taifa ya uchaguzi, iliyosainiwa na Mkurugenzi wake Dkt Mahera, tarehe 27/11/2020, naomba maswali yafuatayo uyajibu Dkt Mahera:-
1. Katika taarifa yako kwa Umma umedai kuwa ulipokea majina hayo ya wabunge wa viti maalum, toka kwa Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika, tarehe 19/11/2020, je taarifa hiyo ilikuwaje iwe na jina la Nasrat Hanje, ambaye alitolewa gerezani rumande, usiku wa tarehe 23/11/2020 kwa amri ya DPP, Biswalo Mganga, ambako Jeshi lenu la Polisi lilimbambikia kesi ya kukusanyika bila kibali na kutompa dhamana pasipo halali, ambapo alikaa rumande kwa siku 133?
2. Tunakuomba Mkurugenzi wa uchaguzi, Dkt Maheta uutangazie Ulimwengu kuwa kauli tuliyosikia kutoka kwa Katibu Mkuu wa Chadema aliyoitoa kwenye kikao na waandishi wa habari hapo tarehe 25/11/2020 kuwa form zenu za Tume ya uchaguzi, alikuwa nazo ofisini kwake zikiwa hazijajazwa hata kidogo na kuwa form hizo hazijatumwa kwenye Tume yenu ya uchaguzi, kuwa ilikuwa ni kauli ya uwongo?
3. Iweje Bunge la Jamhuri la Muungano, chini ya Spika wake Job Ndugai na Katibu wake, Kigaigai, wakiuke kanuni zake yenyewe na kuwaapisha "kisiri siri" tena kwenye eneo nje ya Bunge wabunge hao wa viti maalum, wakati kanuni zinawataka ni LAZIMA tendo hilo lifanyike rasmi ndani ya Jengo la Bunge, kwa kuwa tendo hilo siyo la unyago, ambalo lingehitaji usiri mkubwa?
4. Iweje Spika wa Bunge, Job Ndugai anukuliwe kwa kutoa taarifa kuwa Bunge lake litawalinda kwa gharama zozote wabunge hao wa viti maalum wa Chadema, kama ambaye anajua kuwa uapishwaji wao ulikuwa batili?
5. Iweje Mkurugenzi wa uchaguzi Dkt Mahera usitoe taarifa hiyo nyeti mapema, hadi ungojee sakata hilo la wabunge wa viti maalum wa Chadema, li-trend sana kwenye social media na usubiri chama kikuu cha upiinzani nchini Chadema, kiitishe kikao chao cha dharura cha Kamati Kuu ya Chama chao kuwajadili hao ambao mmewahalalisha kuwa wabunge wateule wa viti maalum!
Kama Dkt Mahera amethubutu kutupa taarifa za uongo kuhusiana na suala la kuapishwa kwa wabunge wa viti maalum wa Chadema, tunawezaje kumuamini kwa taarifa aliyotupa ya matokeo ya uchaguzi mkuu uliopita, ambayo kwa mujibu wake kuwa Rais Magufuli alipata ushindi wa kishindo wa zaidi ya kura milioni 12 ambayo ni zaidi ya asilimia 84 ya kura zote zilizopigwa nchini?
Naomba hayo maswali machache unijibie Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt Mahera ili kuondoa huu utata mkubwa uliogubika zoezi hili zima la kuwaapisha hao wabunge wa viti maalum wa Chadema.
Nijadiri nini wakati wewe umetunga maswali na majibu.Wewe ulitakaje?
Jibu hoja na usilete vioja!
Sijui ni hivyo vipesa wanavyopewa, mdee namsikitikia sana maana jimbo ndo limepotea mazimaKwisha habari yao,why huwa awajifunzi kwa wenzao
Pesa na ahadi Kama waliung juhudi kwa mkopo itakula kwao Kama Julius KalangaSijui ni hivyo vipesa wanavyopewa, mdee namsikitikia sana maana jimbo ndo limepotea mazima
Tamaa ya pesa imemponza mpare hawezi vumilia njaa 5 yrs aje ashibe milele.Sijui ni hivyo vipesa wanavyopewa, mdee namsikitikia sana maana jimbo ndo limepotea mazima
Halafu Mdee alikamata Kura feki anapokea zawadi ya Ubunge feki. Halima umetuangusha.Papy ndombe
Hii ni pressure kubwa kutoka kwa mabeberu, wanaosema kuwa uchaguzi haukuwa huru na haki, madai yanayotiwa nguvu na chama kikuu cha upinzani nchini cha Chadema..........
Sasa hao maccm yanataka kujikosha kwa mabeberu ili waendelee kupokea misaada yao kwa kuwaambia hao mabeberu kuwa mbona "tumewazawadia" hizo nafasi 19 za ubunge wa viti maalum wabunge wao wa Chadema?
Hakika ni kweli kabisa.Tamaa ya pesa imemponza mpare hawezi vumilia njaa 5 yrs aje ashibe milele.
Zile pesa za kuimarisha demokrasia ni bora mabeberu wawape chadema zitakuwa salama
KAULI ZA WALIOPITA BILA KUPINGWA ..........YANGU MACHO KWENYE LIGI HII..MUNGU NISAIDIE HASIRA YANGU ITUWE KWA SHETWANI....Nimesoma kitu kinachoitwa TAARIFA KWA UMMA iliyotolewa na Tume ya Taifa ya uchaguzi, iliyosainiwa na Mkurugenzi wake Dkt Mahera, tarehe 27/11/2020, naomba maswali yafuatayo uyajibu Dkt Mahera:-
1. Katika taarifa yako kwa Umma umedai kuwa ulipokea majina hayo ya wabunge wa viti maalum, toka kwa Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika, tarehe 19/11/2020, je taarifa hiyo ilikuwaje iwe na jina la Nasrat Hanje, ambaye alitolewa gerezani rumande, usiku wa tarehe 23/11/2020 kwa amri ya DPP, Biswalo Mganga, ambako Jeshi lenu la Polisi lilimbambikia kesi ya kukusanyika bila kibali na kutompa dhamana pasipo halali, ambapo alikaa rumande kwa siku 133?
2. Tunakuomba Mkurugenzi wa uchaguzi, Dkt Maheta uutangazie Ulimwengu kuwa kauli tuliyosikia kutoka kwa Katibu Mkuu wa Chadema aliyoitoa kwenye kikao na waandishi wa habari hapo tarehe 25/11/2020 kuwa form zenu za Tume ya uchaguzi, alikuwa nazo ofisini kwake zikiwa hazijajazwa hata kidogo na kuwa form hizo hazijatumwa kwenye Tume yenu ya uchaguzi, kuwa ilikuwa ni kauli ya uwongo?
3. Iweje Bunge la Jamhuri la Muungano, chini ya Spika wake Job Ndugai na Katibu wake, Kigaigai, wakiuke kanuni zake yenyewe na kuwaapisha "kisiri siri" tena kwenye eneo nje ya Bunge wabunge hao wa viti maalum, wakati kanuni zinawataka ni LAZIMA tendo hilo lifanyike rasmi ndani ya Jengo la Bunge, kwa kuwa tendo hilo siyo la unyago, ambalo lingehitaji usiri mkubwa?
4. Iweje Spika wa Bunge, Job Ndugai anukuliwe kwa kutoa taarifa kuwa Bunge lake litawalinda kwa gharama zozote wabunge hao wa viti maalum wa Chadema, kama ambaye anajua kuwa uapishwaji wao ulikuwa batili?
5. Iweje Mkurugenzi wa uchaguzi Dkt Mahera usitoe taarifa hiyo nyeti mapema, hadi ungojee sakata hilo la wabunge wa viti maalum wa Chadema, li-trend sana kwenye social media na usubiri chama kikuu cha upiinzani nchini Chadema, kiitishe kikao chao cha dharura cha Kamati Kuu ya Chama chao kuwajadili hao ambao mmewahalalisha kuwa wabunge wateule wa viti maalum!
Kama Dkt Mahera amethubutu kutupa taarifa za uongo kuhusiana na suala la kuapishwa kwa wabunge wa viti maalum wa Chadema, tunawezaje kumuamini kwa taarifa aliyotupa ya matokeo ya uchaguzi mkuu uliopita, ambayo kwa mujibu wake kuwa Rais Magufuli alipata ushindi wa kishindo wa zaidi ya kura milioni 12 ambayo ni zaidi ya asilimia 84 ya kura zote zilizopigwa nchini?
Naomba hayo maswali machache unijibie Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt Mahera ili kuondoa huu utata mkubwa uliogubika zoezi hili zima la kuwaapisha hao wabunge wa viti maalum wa Chadema.
Yaani umtose babu tale,na Fa?,..kama pesa sio lazima tutumie za wazungu,,hawa wanamziki watabaki..Hili la viti maalumu limebuma, ccm ikubali kuwavua ubunge wabunge wake 40 iwape cdm angalau hata robo tu maana waliiba kupitiliza wawatose kina baby tale, mwana FA na wapya wapya wapewe cdm ili column itimie Kama lengo ni kuzipata pesa za mabeberu
Ili litimie neno kuwa; "pataingia ukengeufu katika nchi ile, patakuwa na uongozi mbulule usio na mvuto utajipandikiza juu ya wananchi".Hivi hawa CCM katika watu wote makini walionao, ilikuwaje wakamuweka huyu Zinjathropus Ikulu? Jamaa anaishi zama za mawe katika zama za taarifa
Ni aibu kwa serikali ku operate on principles ambazo zina dalili ya forgery.Nimesoma kitu kinachoitwa TAARIFA KWA UMMA iliyotolewa na Tume ya Taifa ya uchaguzi, iliyosainiwa na Mkurugenzi wake Dkt Mahera, tarehe 27/11/2020, naomba maswali yafuatayo uyajibu Dkt Mahera:-
1. Katika taarifa yako kwa Umma umedai kuwa ulipokea majina hayo ya wabunge wa viti maalum, toka kwa Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika, tarehe 19/11/2020, je taarifa hiyo ilikuwaje iwe na jina la Nasrat Hanje, ambaye alitolewa gerezani rumande, usiku wa tarehe 23/11/2020 kwa amri ya DPP, Biswalo Mganga, ambako Jeshi lenu la Polisi lilimbambikia kesi ya kukusanyika bila kibali na kutompa dhamana pasipo halali, ambapo alikaa rumande kwa siku 133?
2. Tunakuomba Mkurugenzi wa uchaguzi, Dkt Maheta uutangazie Ulimwengu kuwa kauli tuliyosikia kutoka kwa Katibu Mkuu wa Chadema aliyoitoa kwenye kikao na waandishi wa habari hapo tarehe 25/11/2020 kuwa form zenu za Tume ya uchaguzi, alikuwa nazo ofisini kwake zikiwa hazijajazwa hata kidogo na kuwa form hizo hazijatumwa kwenye Tume yenu ya uchaguzi, kuwa ilikuwa ni kauli ya uwongo?
3. Iweje Bunge la Jamhuri la Muungano, chini ya Spika wake Job Ndugai na Katibu wake, Kigaigai, wakiuke kanuni zake yenyewe na kuwaapisha "kisiri siri" tena kwenye eneo nje ya Bunge wabunge hao wa viti maalum, wakati kanuni zinawataka ni LAZIMA tendo hilo lifanyike rasmi ndani ya Jengo la Bunge, kwa kuwa tendo hilo siyo la unyago, ambalo lingehitaji usiri mkubwa?
4. Iweje Spika wa Bunge, Job Ndugai anukuliwe kwa kutoa taarifa kuwa Bunge lake litawalinda kwa gharama zozote wabunge hao wa viti maalum wa Chadema, kama ambaye anajua kuwa uapishwaji wao ulikuwa batili?
5. Iweje Mkurugenzi wa uchaguzi Dkt Mahera usitoe taarifa hiyo nyeti mapema, hadi ungojee sakata hilo la wabunge wa viti maalum wa Chadema, li-trend sana kwenye social media na usubiri chama kikuu cha upiinzani nchini Chadema, kiitishe kikao chao cha dharura cha Kamati Kuu ya Chama chao kuwajadili hao ambao mmewahalalisha kuwa wabunge wateule wa viti maalum!
Kama Dkt Mahera amethubutu kutupa taarifa za uongo kuhusiana na suala la kuapishwa kwa wabunge wa viti maalum wa Chadema, tunawezaje kumuamini kwa taarifa aliyotupa ya matokeo ya uchaguzi mkuu uliopita, ambayo kwa mujibu wake kuwa Rais Magufuli alipata ushindi wa kishindo wa zaidi ya kura milioni 12 ambayo ni zaidi ya asilimia 84 ya kura zote zilizopigwa nchini?
Naomba hayo maswali machache unijibie Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt Mahera ili kuondoa huu utata mkubwa uliogubika zoezi hili zima la kuwaapisha hao wabunge wa viti maalum wa Chadema.
Labda ile 'KARMA' ya Pascal ndivyo inavyofanya kazi.Halafu Mdee alikamata Kura feki anapokea zawadi ya Ubunge feki. Halima umetuangusha.