Uchaguzi 2020 Je, taarifa iliyotolewa kwa Umma na Dkt. Mahera wa Tume ya Uchaguzi ni ya uongo?

Uchaguzi 2020 Je, taarifa iliyotolewa kwa Umma na Dkt. Mahera wa Tume ya Uchaguzi ni ya uongo?

Angekuwa na account huku tunge mtag atupe majibu, kwavile hana account haya maswai tuulizane wenyewe na tupeane majibu wenyewe maana hakuna namna

kazi na siasa
Hata kama hana account, lakini "wambeya" watamfikishia taarifa
 
Atusaidie kukanusha au kukubali hii taarifa ya ITV.
tapatalk_1606537706073.jpeg
 
Hata kama hana account, lakini "wambeya" watamfikishia taarifa
Kama hana account humu yenye jina lake basi anayo yenye jina 'feki', kwa kifupi huu uzi keshaupitia wote. Huyu mtu anapata tabu sana wakati akiwa amelala, dhamiri itakuwa inamtesa sana!!
 
Ukisoma taarifa ya Dr. Mahera utashangaa sana, kwenye taauma ya uandishi wa habari, kwa waee waiokaa chumba cha habari, ukiandika habari kama hiyo Mhariri hapitishi atakuita atakwambia hajajitosheeza piga yaani haina 'nyama' aitakiwa atoe majina hayo ayaonyeshe pamoja na hiyo barua anayodai pia. Kwa kufikiria tuu CDM amepeeka fomu za wagombea hiyo angeonyesha hizo fomu tena 19 zimejazwa na mahakimu na saini ya Mnyika kama katibu Mkuu ingejenga hoja hapo. Kusema tuu amepeekewa na barua wakati Nov 8/2020 Mnyika aiidai kuna njama za kuforge saini yake si rahisi hiyo Dr. Mahera akaaminika.

Kwa nini anaogopa kuitisha Press Conference anaandika tuu, anaogopa kuuizwa maswaii hapo na ayajibu kwa kina. Aipitishaje jina mtu yupo mahabusu.
 
Nimesoma kitu kinachoitwa TAARIFA KWA UMMA iliyotolewa na Tume ya Taifa ya uchaguzi, iliyosainiwa na Mkurugenzi wake Dkt Mahera, tarehe 27/11/2020, naomba maswali yafuatayo uyajibu Dkt Mahera:-

1. Katika taarifa yako kwa Umma umedai kuwa ulipokea majina hayo ya wabunge wa viti maalum, toka kwa Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika, tarehe 19/11/2020, je taarifa hiyo ilikuwaje iwe na jina la Nasrat Hanje, ambaye alitolewa gerezani rumande, usiku wa tarehe 23/11/2020 kwa amri ya DPP, Biswalo Mganga, ambako Jeshi lenu la Polisi lilimbambikia kesi ya kukusanyika bila kibali na kutompa dhamana pasipo halali, ambapo alikaa rumande kwa siku 133?

2. Tunakuomba Mkurugenzi wa uchaguzi, Dkt Mahera uutangazie Ulimwengu "kama ubavu huo utakuwa nao" kuwa kauli tuliyosikia kutoka kwa Katibu Mkuu wa Chadema aliyoitoa kwenye kikao na waandishi wa habari hapo tarehe 25/11/2020 kuwa form zenu za Tume ya uchaguzi, alikuwa nazo ofisini kwake zikiwa hazijajazwa hata kidogo na kuwa form hizo hazijatumwa kwenye Tume yenu ya uchaguzi, kuwa ilikuwa ni kauli ya uwongo?

3. Iweje Bunge la Jamhuri la Muungano, chini ya Spika wake Job Ndugai na Katibu wake, Kigaigai, wakiuke kanuni zake yenyewe na kuwaapisha "kisiri siri" tena kwenye eneo nje ya Bunge wabunge hao wa viti maalum, wakati kanuni zinawataka ni LAZIMA tendo hilo lifanyike rasmi ndani ya Jengo la Bunge, kwa kuwa tendo hilo siyo la unyago, ambalo lingehitaji usiri mkubwa?

4. Iweje Spika wa Bunge, Job Ndugai anukuliwe kwa kutoa taarifa kuwa Bunge lake litawalinda kwa gharama zozote wabunge hao wa viti maalum wa Chadema, kama ambaye anajua kuwa uapishwaji wao ulikuwa batili?

5. Iweje Mkurugenzi wa uchaguzi Dkt Mahera usitoe taarifa hiyo nyeti mapema, hadi ungojee sakata hilo la wabunge wa viti maalum wa Chadema, li-trend sana kwenye social media na usubiri chama kikuu cha upiinzani nchini Chadema, kiitishe kikao chao cha dharura cha Kamati Kuu ya Chama chao kuwajadili hao ambao mmewahalalisha kuwa wabunge wateule wa viti maalum?

Kama Dkt Mahera amethubutu kutupa taarifa za uongo kuhusiana na suala la kuapishwa kwa wabunge wa viti maalum wa Chadema, tunawezaje kumuamini kwa taarifa aliyotupa ya matokeo ya uchaguzi mkuu uliopita, ambayo kwa mujibu wake kuwa Rais Magufuli alipata ushindi wa kishindo wa zaidi ya kura milioni 12 ambayo ni zaidi ya asilimia 84 ya kura zote zilizopigwa nchini?

Naomba hayo maswali machache unijibie Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt Mahera ili kuondoa huu utata mkubwa uliogubika zoezi hili zima la kuwaapisha hao wabunge wa viti maalum wa Chadema.
Siku ya kufa nyani miti yote huteleza naomba na msagaji atujibie haya maswali.
 
CCM Kujinasua katika hili labda wafungue kesi za kupinga matokeo ya baadhi ya majimbo waliyoshinda wao wenyewe halafu wawapitishe wapinzani ili wapate wanachotaka. As long as wapinzani hawaamini vyombo vya dola na hawaezi kufungua kesi hizo, basi hizo Tilion 2 wasahau
 
Nimesoma kitu kinachoitwa TAARIFA KWA UMMA iliyotolewa na Tume ya Taifa ya uchaguzi, iliyosainiwa na Mkurugenzi wake Dkt Mahera, tarehe 27/11/2020, naomba maswali yafuatayo uyajibu Dkt Mahera:-

1. Katika taarifa yako kwa Umma umedai kuwa ulipokea majina hayo ya wabunge wa viti maalum, toka kwa Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika, tarehe 19/11/2020, je taarifa hiyo ilikuwaje iwe na jina la Nasrat Hanje, ambaye alitolewa gerezani rumande, usiku wa tarehe 23/11/2020 kwa amri ya DPP, Biswalo Mganga, ambako Jeshi lenu la Polisi lilimbambikia kesi ya kukusanyika bila kibali na kutompa dhamana pasipo halali, ambapo alikaa rumande kwa siku 133?

2. Tunakuomba Mkurugenzi wa uchaguzi, Dkt Mahera uutangazie Ulimwengu "kama ubavu huo utakuwa nao" kuwa kauli tuliyosikia kutoka kwa Katibu Mkuu wa Chadema aliyoitoa kwenye kikao na waandishi wa habari hapo tarehe 25/11/2020 kuwa form zenu za Tume ya uchaguzi, alikuwa nazo ofisini kwake zikiwa hazijajazwa hata kidogo na kuwa form hizo hazijatumwa kwenye Tume yenu ya uchaguzi, kuwa ilikuwa ni kauli ya uwongo?

3. Iweje Bunge la Jamhuri la Muungano, chini ya Spika wake Job Ndugai na Katibu wake, Kigaigai, wakiuke kanuni zake yenyewe na kuwaapisha "kisiri siri" tena kwenye eneo nje ya Bunge wabunge hao wa viti maalum, wakati kanuni zinawataka ni LAZIMA tendo hilo lifanyike rasmi ndani ya Jengo la Bunge, kwa kuwa tendo hilo siyo la unyago, ambalo lingehitaji usiri mkubwa?

4. Iweje Spika wa Bunge, Job Ndugai anukuliwe kwa kutoa taarifa kuwa Bunge lake litawalinda kwa gharama zozote wabunge hao wa viti maalum wa Chadema, kama ambaye anajua kuwa uapishwaji wao ulikuwa batili?

5. Iweje Mkurugenzi wa uchaguzi Dkt Mahera usitoe taarifa hiyo nyeti mapema, hadi ungojee sakata hilo la wabunge wa viti maalum wa Chadema, li-trend sana kwenye social media na usubiri chama kikuu cha upiinzani nchini Chadema, kiitishe kikao chao cha dharura cha Kamati Kuu ya Chama chao kuwajadili hao ambao mmewahalalisha kuwa wabunge wateule wa viti maalum?

Kama Dkt Mahera amethubutu kutupa taarifa za uongo kuhusiana na suala la kuapishwa kwa wabunge wa viti maalum wa Chadema, tunawezaje kumuamini kwa taarifa aliyotupa ya matokeo ya uchaguzi mkuu uliopita, ambayo kwa mujibu wake kuwa Rais Magufuli alipata ushindi wa kishindo wa zaidi ya kura milioni 12 ambayo ni zaidi ya asilimia 84 ya kura zote zilizopigwa nchini?

Naomba hayo maswali machache unijibie Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt Mahera ili kuondoa huu utata mkubwa uliogubika zoezi hili zima la kuwaapisha hao wabunge wa viti maalum wa Chadema.
kuna "shetani " na "ibilisi sasa pima mwenyewe , na wote ni waovu, na hata kumwaga damu hawajali!
 
Papy ndombe
Hii ni pressure kubwa kutoka kwa mabeberu, wanaosema kuwa uchaguzi haukuwa huru na haki, madai yanayotiwa nguvu na chama kikuu cha upinzani nchini cha Chadema..........

Sasa hao maccm yanataka kujikosha kwa mabeberu ili waendelee kupokea misaada yao kwa kuwaambia hao mabeberu kuwa mbona "tumewazawadia" hizo nafasi 19 za ubunge wa viti maalum wabunge wao wa Chadema?
Wamwite Mrema Lyatonga agustino mzee wa kiraracha, alete COVID-19 wapewe viti maalum, why CHADEMA?
 
kuna "shetani " na "ibilisi sasa pima mwenyewe , na wote ni waovu, na hata kumwaga damu hawajali!
Mtu ambaye hajali kumwaga damu za wanadamu wenzie ambao hawana hatia, tunamuita kuwa shetani
 
Mbona unajiuliza harafu unajipa majibu mwenyewe, one man show !
Vipi kuhusu hoja yenyewe inayoulizwa na kutolewa majibu. Wenzako wanapita kimyakimya, umejitahidi angalau kutoa neno. Watu wamepigwa sindano ya ganzi hawana hoja. Mlisema hamtaki kuchanganyiwa, hayo ndiyo matokeo sasa.
 
Nimesoma kitu kinachoitwa TAARIFA KWA UMMA iliyotolewa na Tume ya Taifa ya uchaguzi, iliyosainiwa na Mkurugenzi wake Dkt Mahera, tarehe 27/11/2020, naomba maswali yafuatayo uyajibu Dkt Mahera:-

1. Katika taarifa yako kwa Umma umedai kuwa ulipokea majina hayo ya wabunge wa viti maalum, toka kwa Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika, tarehe 19/11/2020, je taarifa hiyo ilikuwaje iwe na jina la Nasrat Hanje, ambaye alitolewa gerezani rumande, usiku wa tarehe 23/11/2020 kwa amri ya DPP, Biswalo Mganga, ambako Jeshi lenu la Polisi lilimbambikia kesi ya kukusanyika bila kibali na kutompa dhamana pasipo halali, ambapo alikaa rumande kwa siku 133?

2. Tunakuomba Mkurugenzi wa uchaguzi, Dkt Mahera uutangazie Ulimwengu "kama ubavu huo utakuwa nao" kuwa kauli tuliyosikia kutoka kwa Katibu Mkuu wa Chadema aliyoitoa kwenye kikao na waandishi wa habari hapo tarehe 25/11/2020 kuwa form zenu za Tume ya uchaguzi, alikuwa nazo ofisini kwake zikiwa hazijajazwa hata kidogo na kuwa form hizo hazijatumwa kwenye Tume yenu ya uchaguzi, kuwa ilikuwa ni kauli ya uwongo?

3. Iweje Bunge la Jamhuri la Muungano, chini ya Spika wake Job Ndugai na Katibu wake, Kigaigai, wakiuke kanuni zake yenyewe na kuwaapisha "kisiri siri" tena kwenye eneo nje ya Bunge wabunge hao wa viti maalum, wakati kanuni zinawataka ni LAZIMA tendo hilo lifanyike rasmi ndani ya Jengo la Bunge, kwa kuwa tendo hilo siyo la unyago, ambalo lingehitaji usiri mkubwa?

4. Iweje Spika wa Bunge, Job Ndugai anukuliwe kwa kutoa taarifa kuwa Bunge lake litawalinda kwa gharama zozote wabunge hao wa viti maalum wa Chadema, kama ambaye anajua kuwa uapishwaji wao ulikuwa batili?

5. Iweje Mkurugenzi wa uchaguzi Dkt Mahera usitoe taarifa hiyo nyeti mapema, hadi ungojee sakata hilo la wabunge wa viti maalum wa Chadema, li-trend sana kwenye social media na usubiri chama kikuu cha upiinzani nchini Chadema, kiitishe kikao chao cha dharura cha Kamati Kuu ya Chama chao kuwajadili hao ambao mmewahalalisha kuwa wabunge wateule wa viti maalum?

Kama Dkt Mahera amethubutu kutupa taarifa za uongo kuhusiana na suala la kuapishwa kwa wabunge wa viti maalum wa Chadema, tunawezaje kumuamini kwa taarifa aliyotupa ya matokeo ya uchaguzi mkuu uliopita, ambayo kwa mujibu wake kuwa Rais Magufuli alipata ushindi wa kishindo wa zaidi ya kura milioni 12 ambayo ni zaidi ya asilimia 84 ya kura zote zilizopigwa nchini?

Naomba hayo maswali machache unijibie Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt Mahera ili kuondoa huu utata mkubwa uliogubika zoezi hili zima la kuwaapisha hao wabunge wa viti maalum wa Chadema.
Awamu hii Ina vichaa wa Hali ya juu sana , yaani Chadema ambao hawana dola walipeleka Jina la Nusrat Hanje aliyekuwa jela kwa makosa yasiyokuwa na dhamana ? Kama vile wanajua atatoka ? Mkuu Mahera na udokta wake Hana uwezo wa kujibu haya maswali .
 
Kama mpaka leo bado unaamini anachoongea huyu tahira anayeitwa mahera basi tena!!
 
Back
Top Bottom