Uchaguzi 2020 Je, taarifa iliyotolewa kwa Umma na Dkt. Mahera wa Tume ya Uchaguzi ni ya uongo?

Huwezi kua na kichwa kikubwa ukawa na akili,hiki kichwa kimejaa topeee
 
Activity za MATAGA zimepungua ghafla kwenye mitandao baada ya kelele nyingi.
Msukuma alikua na press conference jana, akatukana tuna, mara oh CHADEMA ni wahuni, tuone kama wana ubavu wa kuwatimua wabunge 19! Leo yeye ndo muhuni na hoja zake za kuhalalisha bangi na mirungi!
 
Nilikuwa najiuliza, kitengo cha Utawala Bora kinafanya nini?
 
Ninaamini amelishwa hayo maneno na mhutu. Ambaye huwa anajimwabafai kwamba yuko juu ya sheria.
 
Jamani watanzania wenzangu. Kwanini huyo Rais amekuwa vurugu kila mahali? Kuna Nini? Tanzania hatuna wasomi au na wasomi wanaingia kwenye mkumbo huo wa kugushi? Tatizo ni katiba au Sheria za maelekezo na ujanja ujanja. Wasomi na wanasheria hawaoni Kama wanadalilisha taaluma yao?

Kumbuka dhambi au kudhalilika huyaiona wakati huo huo Ila inakuja yenyewe baadae.
 
Inaonyesha dhahili kuwa madai ya CDM kuwa waliiba Kura na kujaza Kura fake kwenye mabox, maana time hi ya Dr Mahera hawana aibu wanaiba Hadi wabunge wa vitimaalum ili kuharalisha dhuluma zao!!
Watanzania wanahitaji majibu sio ubabe na Udikteta, Kama walivyo zoea, dhuluma wizi na mauwaji!!
 
CCM wanakutumia alafu wanakuacha unashangaa, ndivyo itakavyokuwa kwa hao akina Halima na wenzake
Mimi nina mashaka kuwa hawa Wamama kuna uwezekano wameshinikizwa kwa vitisho dhidi ya uhai wao kuyatenda waliyoyatenda. Haingii akilini eti wameshasahau Watz walivyochanga buku buku zao na kuwanusuru kwenye kifungo. Mbaya zaidi eti wamekwenda kuungana na wale waliowabambikizia kesi.

Wamekuwa wakidhalilishwa na hata kutolewa nje ya Bunge na huyu anaewaona leo kuwa wanafaa na atawalinda.
 
Ccm wanalinda maslahi yao, hawana muda na maisha ya hao wamama. Ndugai alisema atakuwa nyuma ya mdee, mdee ageuke nyuma kama ndugai bado yupo au ameshasepa
 
Mtu unakuwa phd holder alfu uchezewenawana siasa Kama wan yomcheze dkt mahela ....naye bila aibu anakimbia kuwaita wahadishi wa hbr kuzungumzia upuuzi namzarau Sanaa. Hyu mzeee
 
Hili Mahera ni POPOMPO LA KISHINDO KUTOKEA NCHINI MWETU TOKA UHURU WA TANZANIA, SIJUI HATA KANISANI ANASALI WANAMCHUKULIAJE WAKIMWONA IBADANI JINGA KWELIKWELI
 
Yawezekana kabisa wameshindwa kuwanunua akina mbowe
Mbowe, Mnyika na mbeba MAONO hawana bei.
Wamekataa kuwa bizaa, wanaheshimu utu wao., na Mungu awabariki viongozi wangu wa CHADEMA.
 
Awamu hii Ina vichaa wa Hali ya juu sana , yaani Chadema ambao hawana dola walipeleka Jina la Nusrat Hanje aliyekuwa jela kwa makosa yasiyokuwa na dhamana ? Kama vile wanajua atatoka ? Mkuu Mahera na udokta wake Hana uwezo wa kujibu haya maswali .
Ni ajabu na kweli!

Ndiyo utendaji wa serikali hii ya kishindo cha awamu ya tano!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…