Je, taarifa ya ndege ya Air Tanzania kuanguka ziwani Victoria ni ya kweli?

Je, taarifa ya ndege ya Air Tanzania kuanguka ziwani Victoria ni ya kweli?

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Najiandaa kwenda airport Dar kumpokea mgeni wangu napigiwa simu sasa hivi ndege iliyokuwa iwalete Dar imeanguka ziwa Victoria, uokowaji unaendelea.

Mwenye taarifa zaidi tujurishane maana Jiji zima la Dar na Zanzibar halina umeme.

=====
UPDATE
======

Ndege za Air Tanzania ziko salama hakuna ajali yoyote.

Ila leo asubuhi, Mamlaka ya viwanja vya ndege Uwanja wa Bukoba waliendesha zoezi la kuonyesha utayari endapo ajali ikitokea. Zoezi hilo ni la kawaida na ufanyika mara kwa mara katika viwanja vingi duniani na ni kati ya taratibu zilizo ndani ya sheria za usafiri wa anga wala halina madhara yoyote.

Poleni kwa taharuki iliyojitokeza.

=====

UPDATES KUTOKA BUKOBA

=====
Taarifa ya Zoezi la Uokoaji wa Ajali ya Ndege Ziwa Victoria.wl Waliojeruhiwa 21, Majeraha makubwa 5 majeraha ya Watani 15 na aliyefariki ni mmoja. Chanzo cha ajali bado hakijafahamika. Haikuwa ajali bali ilikuwa ni Zoezi ya kawaida
 
Najiandaa kwenda airport Dar kumpokea mgeni wangu napigiwa simu sasa hivi ndege iliyokuwa iwalete Dar imeanguka ziwa Victoria, uokowaji unaendelea.

Mwenye taarifa zaidi tujurishane maana Jiji zima la Dar na Zanzibar halina umeme.
Daaaah naendelea kuomba sana hiii taarifa iwe tetesi na kamwe isije kuwa tukio la kweli. Naombea Heri Watanzania wenzangu abiria wa Ndege inayosemekana.
 
Daaaah naendelea kuomba sana hiii taarifa iwe tetesi na kamwe isije kuwa tukio la kweli. Naombea Heri Watanzania wenzangu abiria wa Ndege inayosemekana.
Hii ni taarifa ya kweli, wageni wangu wapo airport Mwanza walikuwa wapande ndege hiyo kuja nayo Dar.

Wametangaziwa hivyo hapo airport, ni taarifa nisizo na chembe ya shaka nazo.

Sijui kuhusu vifo, naambiwa uowokowaji ziwani unaendelea.
 
Najiandaa kwenda airport Dar kumpokea mgeni wangu napigiwa simu sasa hivi ndege iliyokuwa iwalete Dar imeanguka ziwa Victoria, uokowaji unaendelea.

Mwenye taarifa zaidi tujurishane maana Jiji zima la Dar na Zanzibar halina umeme.
Duh! Nadhani labda ni nchi nzima hakuna umeme.
 
Niwaombe Ndugu zangu mambo kama haya tufanye subira tupate taarifa ya uhakika na ILIYO kamili kutoka SERIKALINI.
Tutajazana uwongo na umbeya na kuwekana khofu bila sababu...TUSUBIRI SEEIKALI ITOE TAARIFA.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Wewe ni mgeni JF, hapa siyo mitandao ya Meta.

Serikali huwa inachukuwa taarifa hapa, JF be the first to know.
 
Sababu ilikuwa inatua ikaelekea ziwani naamini abiria watakuwa wako salama
 
Back
Top Bottom