Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wazi nchi imewashinda hawa viumbe.Dar, Mwanza, Bagamoyo, Moshi kote hakuna umeme!
Miaka 60 ya uhuru umeme hakuna?Najiandaa kwenda airport Dar kumpokea mgeni wangu napigiwa simu sasa hivi ndege iliyokuwa iwalete Dar imeanguka ziwa Victoria, uokowaji unaendelea.
Mwenye taarifa zaidi tujurishane maana Jiji zima la Dar na Zanzibar halina umeme.
Safi sanaDar, Mwanza, Bagamoyo, Moshi kote hakuna umeme!
Mmh.. sitaki kuongea mengi kuhusu uwezo wetu ktk swala la uokoaji. Mungu tu aingilie kati 🙏Sijui kuhusu vifo, naambiwa uowokowaji ziwani unaendelea.
Safi sana!Ni wazi nchi imewashinda hawa viumbe.
NyambaffMvua hakuna,ndege imeanguka. inaweza kuwa utawala umelaanika
Kwa huu uhuni wa kubambikia watu vyesi hakuna Mungu wa kusikiliza kilio chenu, halafu bado mnashupaza shingo kwa kuleta vitu mtumba bado treni la SGR litachinja mpaka akili ziwakae sawa.Duh! Mwenyezi Mungu aiponye ardhi yetu.
Miaka 60 ya uhuru umeme hakuna?
Niko dar hapa ubungo hakuna umemeNajiandaa kwenda airport Dar kumpokea mgeni wangu napigiwa simu sasa hivi ndege iliyokuwa iwalete Dar imeanguka ziwa Victoria, uokowaji unaendelea.
Mwenye taarifa zaidi tujurishane maana Jiji zima la Dar na Zanzibar halina umeme.
LibinafsishweMungu nusuru hili lile la kawaida.
Back to TANESCO hivi hili shirika tulifanyaje 😕 jana mimi nimelala giza mpaka asubuhi umeme ulikuwa low voltage ya hatari halafu unawaka na kuzima.
Kama una ndugu aliyeko mwanza anaweza kukuambia ukweli, mpigie simu ata confirmHayo mambo yako yasiasa hayasaidiisis tunataka habari ya uhakika bro
Nipo mwanza maeneo ya Tunza Beach Resort. Hakuna hiyo kitu. Acheni kushtua watuKama una ndugu aliyeko mwanza anaweza kukuambia ukweli, mpigie simu ata confirm