Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,986
Tanesco wenyewe wamesema hakutakua na umeme Dar na Zanzibar, wewe unasema sio kweli.Hii sio kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanesco wenyewe wamesema hakutakua na umeme Dar na Zanzibar, wewe unasema sio kweli.Hii sio kweli.
Unaweza kuainisha hizo kasoro?Hizi ndege za magufuli zina kasoro nyingi sana nadhani hii ajali iwe ni alarm kwa mamlaka husika kuzifanyia uchunguzi hizi korokoro halafu kwa nini ile ya chief hiyanga haianguki
Mamba wapo baadhi ya maeneo kwanza wenyewe watashangaa na kukimbiaWako salama na kuna mamba mle? Ushafikiria?
Hilo jamaa chiziUnaweza kuainisha hizo kasoro?
Ujuaji mwingi.Hizi ndege za magufuli zina kasoro nyingi sana nadhani hii ajali iwe ni alarm kwa mamlaka husika kuzifanyia uchunguzi hizi korokoro halafu kwa nini ile ya chief hiyanga haianguki
Kumbe we mkazi mwenzangu wa bagamoyo.Moshi hapa umeme pia tehena
Hii inawahusu watu wa DSM na Zanzibat tu. Mikoa mingine vipi?SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)
Desemba 15, 2021
TAARIFA YA KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA UMEME DAR ES SALAAM NA ZANZIBAR
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linaskitika kuwatangazia wateja wake, kuwa kumetokea hitilafu kwenye kituo cha kupokea na kupoza umeme cha Ubungo leo Desemba 15, 2021 saa 3:18 asubuhi.
Mafundi wanaendelea na jitihada za kutatua tatizo hilo, kufikia saa 5:00 asubuhi huduma ya umeme itakuwa imerejea maeneo yote.
Tunaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza .
Facebook Bei Facebook anmelden
IMETOLEWA NA;
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO MAKAO MAKUU.
Najiandaa kwenda airport Dar kumpokea mgeni wangu napigiwa simu sasa hivi ndege iliyokuwa iwalete Dar imeanguka ziwa Victoria, uokowaji unaendelea.
Mwenye taarifa zaidi tujurishane maana Jiji zima la Dar na Zanzibar halina umeme.
Nimemcheki jamaa yangu wa mwanza anadai hajasikia hizo taarifaDaaaah naendelea kuomba sana hiii taarifa iwe tetesi na kamwe isije kuwa tukio la kweli. Naombea Heri Watanzania wenzangu abiria wa Ndege inayosemekana.
Ajali ipi!"?Hizi ndege za magufuli zina kasoro nyingi sana nadhani hii ajali iwe ni alarm kwa mamlaka husika kuzifanyia uchunguzi hizi korokoro halafu kwa nini ile ya chief hiyanga haianguki
Nakuheshimu Bro ila hizo taarifa kuhusu Umeme sio za kweli mimi hapa nilipo Umeme unawaka na sitanii.Tanesco wenyewe wamesema hakutakua na umeme Dar na Zanzibar, wewe unasema sio kweli.
Atasikia wapi wakati yeye yuko Usagara!Nimemcheki jamaa yangu wa mwanza anadai hajasikia hizo taarifa
Na Mwanza umeme upo kwa upande wao anadai wanapata mgao
Alafu anasubiri kusoma habari millad ayo!Atasikia wapi wakati yeye yuko Usagara!
Mpaka sasa naona bado haijafutwa.Daaaah naendelea kuomba sana hiii taarifa iwe tetesi na kamwe isije kuwa tukio la kweli. Naombea Heri Watanzania wenzangu abiria wa Ndege inayosemekana.
Dar gani?Ni kweli dar hakuna umeme
Kumbe na wewe unaishi tabataHapa Tbt umeme umezingua toka asubuhi