Je, taarifa ya ndege ya Air Tanzania kuanguka ziwani Victoria ni ya kweli?

Je, taarifa ya ndege ya Air Tanzania kuanguka ziwani Victoria ni ya kweli?

Hizi ndege za magufuli zina kasoro nyingi sana nadhani hii ajali iwe ni alarm kwa mamlaka husika kuzifanyia uchunguzi hizi korokoro halafu kwa nini ile ya chief hiyanga haianguki
Unaweza kuainisha hizo kasoro?
 
Hizi ndege za magufuli zina kasoro nyingi sana nadhani hii ajali iwe ni alarm kwa mamlaka husika kuzifanyia uchunguzi hizi korokoro halafu kwa nini ile ya chief hiyanga haianguki
Ujuaji mwingi.
Umekunywa chai kweli?
 
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)

Desemba 15, 2021

TAARIFA YA KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA UMEME DAR ES SALAAM NA ZANZIBAR

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linaskitika kuwatangazia wateja wake, kuwa kumetokea hitilafu kwenye kituo cha kupokea na kupoza umeme cha Ubungo leo Desemba 15, 2021 saa 3:18 asubuhi.

Mafundi wanaendelea na jitihada za kutatua tatizo hilo, kufikia saa 5:00 asubuhi huduma ya umeme itakuwa imerejea maeneo yote.

Tunaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza .

Facebook Bei Facebook anmelden

IMETOLEWA NA;
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO MAKAO MAKUU.
Hii inawahusu watu wa DSM na Zanzibat tu. Mikoa mingine vipi?
 
Najiandaa kwenda airport Dar kumpokea mgeni wangu napigiwa simu sasa hivi ndege iliyokuwa iwalete Dar imeanguka ziwa Victoria, uokowaji unaendelea.

Mwenye taarifa zaidi tujurishane maana Jiji zima la Dar na Zanzibar halina umeme.

Ni kweli dar hakuna umeme
 
Daaaah naendelea kuomba sana hiii taarifa iwe tetesi na kamwe isije kuwa tukio la kweli. Naombea Heri Watanzania wenzangu abiria wa Ndege inayosemekana.
Nimemcheki jamaa yangu wa mwanza anadai hajasikia hizo taarifa

Na Mwanza umeme upo kwa upande wao anadai wanapata mgao
 
Mwanzo nilijua umeme ni huku mtaani tu, daah na kuhusu hiyo ndege naona kama kuna haja ya kuweka maboya (life jacket) incase ikianguka sehemu za majini itasaidia kunusuru uhai wa abiria
 
2019 nilsafiri na ndege ya ATCL ilipofika Lake Victoria nilihofu sana haswa wakati inatua Mwanza.

Hofu yangu ilijengeka Kwenye msingi wa historia ya ununuzi wa hizi ndege na uzoefu wa ndege zenyewe.

Mungu awaponye tu
 
Back
Top Bottom