Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
- Thread starter
- #81
Mrejesho kuhusu katizo la Umeme.Mkuu leta uthibitisho umeme kukatiaka sio habari
Ndugu wateja poleni kwa katizo la umeme lililopo hadi sasa.
Awali katika tangazo letu, matarajio ilikuwa umeme kurudi katika hali ya kawaida kuanzia majira saa tano asubuhi.
Kwa Bahati mbaya baada ya uchunguzi wa kina katika kituo chetu za Ubungo ambako tatizo limetokea, Imegundulika tatizo ni kubwa tofauti na ilivyoonekana hapo mwanzo.
Tunaomba sana radhi kwa kadhia hii
Mafundi wetu wapo eneo la tukio ili kuhakikisha umeme unarudi mapema iwezekanavyo katika vituo vingine vya kupokea na kupooza umeme.