Je, taarifa ya ndege ya Air Tanzania kuanguka ziwani Victoria ni ya kweli?

Je, taarifa ya ndege ya Air Tanzania kuanguka ziwani Victoria ni ya kweli?

Tukio la ndege kuanguka sio issue ndogo BBC, Al Jazeera, CNN, Reuters, France 24 wangekuwa washa rusha breaking news hapa chap kwa haraka Maana hata tukio la Lori kuwaka Moto pale Morogoro Al Jazeera waliruka nayo fasta within a minutes


Usikute hapo airport ya MWZ wanafanya fire drill Leo Basi ili kuwapa elimu ya majanga ya Moto
nakuunga mguu mkuu haiwezekani ndege ianguke halafu isitangazwe hata kipindi cha yule dikteta wa mortuary wasingefanya hivi
 
Hizi ndege za magufuli zina kasoro nyingi sana nadhani hii ajali iwe ni alarm kwa mamlaka husika kuzifanyia uchunguzi hizi korokoro halafu kwa nini ile ya chief hiyanga haianguki
Ujuaji tu! Huna ujualo..
 
Tatizo hata iwe ni kweli hawatasema labda ruhusa itoke mawinguni
 
Najiandaa kwenda airport Dar kumpokea mgeni wangu napigiwa simu sasa hivi ndege iliyokuwa iwalete Dar imeanguka ziwa Victoria, uokowaji unaendelea.

Mwenye taarifa zaidi tujurishane maana Jiji zima la Dar na Zanzibar halina umeme.

=====
UPDATE ;
======

Ndege za Air Tanzania ziko salama hakuna ajali yoyote.

Ila leo asubuhi, Mamlaka ya viwanja vya ndege Uwanja wa Bukoba waliendesha zoezi la kuonyesha utayari endapo ajali ikitokea. Zoezi hilo ni la kawaida na ufanyika mara kwa mara katika viwanja vingi duniani na ni kati ya taratibu zilizo ndani ya sheria za usafiri wa anga wala halina madhara yoyote.

Poleni kwa taharuki iliyojitokeza.
Kwenye mazoezi wako vizuri lakini kwenye uhalisia wako hovyo kabisa soko linawaka moto wao wako kilomita moja toka kwenye tukio lakini hawana maji, ukiuliza hilo zoezi la leo limegharimu fedha nyingi kuliko gharama ya kuchota maji mto msimbazi bonde la jangwani, hao ndiyo sisi
 
Mods hawajalala, wewe ndio hujitambui, anza kusoma upya kuanzia page one ndio utajuwa wewe na Mods mjinga nani.
Siku nyengine usikimbilie kutoa habari huna hakika nayo,uzushi wako uache pale mtaa wa ufipa
 
Niwaombe Ndugu zangu mambo kama haya tufanye subira tupate taarifa ya uhakika na ILIYO kamili kutoka SERIKALINI.
Tutajazana uwongo na umbeya na kuwekana khofu bila sababu...TUSUBIRI SEEIKALI ITOE TAARIFA.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app


serikali ilituambia zile sampuli za papai zilikuwa na corona,wenye akili ndogo wakaelewa na akili kubwa wote wakaelewa vilevile, tuwasubiri tena na hili
 
Tatizo hata iwe ni kweli hawatasema labda ruhusa itoke mawinguni
Mnafikiri ndege ni kama Sauli lianguke kienyeji mkauze chuma chakavu! Ndege iko regulated na international bodies. Ikianguka watakuja watu kutoka hadi Kwa watengenezaji wa ndege sasa utaficha vipi?
 
Najiandaa kwenda airport Dar kumpokea mgeni wangu napigiwa simu sasa hivi ndege iliyokuwa iwalete Dar imeanguka ziwa Victoria, uokowaji unaendelea.

Mwenye taarifa zaidi tujurishane maana Jiji zima la Dar na Zanzibar halina umeme.

=====
UPDATE ;
======

Ndege za Air Tanzania ziko salama hakuna ajali yoyote.

Ila leo asubuhi, Mamlaka ya viwanja vya ndege Uwanja wa Bukoba waliendesha zoezi la kuonyesha utayari endapo ajali ikitokea. Zoezi hilo ni la kawaida na ufanyika mara kwa mara katika viwanja vingi duniani na ni kati ya taratibu zilizo ndani ya sheria za usafiri wa anga wala halina madhara yoyote.

Poleni kwa taharuki iliyojitokeza.
Dar nzima haina umeme?
 
Back
Top Bottom