imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Hii sio kweli.Jiji zima la Dar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii sio kweli.Jiji zima la Dar
Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Uslaama ya Mkoa kama kuna hiyo hali yeye ndiye atatoa taarifaHakuna mwenye habari kamili mpaka sasa, baadala yake topic imehamia kwenye umeme.
Soon utasikia JPM awamu ya tano, awami ya sita mara JM mara CDM na CCM..
Aliyeko Mwanza atupe habari za uhakika...
Nchi imejamba hiiMwenye taarifa zaidi tujurishane maana Jiji zima la Dar na Zanzibar halina umeme.
yeeuwiiiiPole kwa wafiwa wote, chanzo changu kinaniambia ni kweli
Hairuhusiwi kusema . Tutanunua nyingine na pesa za TOZONajiandaa kwenda airport Dar kumpokea mgeni wangu napigiwa simu sasa hivi ndege iliyokuwa iwalete Dar imeanguka ziwa Victoria, uokowaji unaendelea.
Mwenye taarifa zaidi tujurishane maana Jiji zima la Dar na Zanzibar halina umeme.
Hapa Tbt umeme umezingua toka asubuhiDuh! Nadhani labda ni nchi nzima hakuna umeme.
Wako salama na kuna mamba mle? Ushafikiria?Sababu ilikuwa inatua ikaelekea ziwani naamini abiria watakuwa wako salama
Duh! Nadhani labda ni nchi nzima hakuna umeme.
Sawa mkuu,tunasubiriNaelekea airport mwanza ntawaletea mrejesho kwa niliyo yaona
Sio kweli mimi nipo mwanza na hakuna hizo habarimmmmh hii habari ngumu kidogo..... mliokuwa karibu ingieni kazini mtuhabarishe..
Usiwe ukweli jamani.Najiandaa kwenda airport Dar kumpokea mgeni wangu napigiwa simu sasa hivi ndege iliyokuwa iwalete Dar imeanguka ziwa Victoria, uokowaji unaendelea.
Mwenye taarifa zaidi tujurishane maana Jiji zima la Dar na Zanzibar halina umeme.
Tusubiri mamlaka zinazohusika ndo zije na majibu tusihukumu hivyoPole kwa wafiwa wote, chanzo changu kinaniambia ni kweli
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)Hii sio kweli.