Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kaswali kangu kwako, kachapati ka karafuu unako ukipewa michuzi utaimwaga?Hivi CCM haina watu wengine ? kwanini inang'ang'ania watoto wa viongozi ambao hawana uwezo ?
Huyu Zahara Michuzi amehamishiwa Ifakara badala ya kufurumushwa kutokana na tuhuma lukuki zilizomkabili , hii maana yake ni kwamba Rais aliyemteua haamini DC aliyemchongea wala haamini TAKUKURU , hii ina maana gani kwenye mambo ya Utawala bora ?
Sasa yule DC na TAKUKURU katika hali hii wanajionaje ?
Wazalendo tumeanza kuitwa Wachawi !Bado degree moja tu uwe Mchawii
Hapana kunasheria zipo na taratibu zipo kama mifumo imeamua hana hatia ujue kwel hana hatiaWazalendo tumeanza kuitwa Wachawi !
Hii Nchi ndio basi tena .
Waliomsingizia wanaachwaje ?Hapana kunasheria zipo na taratibu zipo kama mifumo imeamua hana hatia ujue kwel hana hatia
Inaonekana huyo dada yupo karibu na Rostam au JK hakuna mtu anaweza kumgusaHivi CCM haina watu wengine? kwanini inang'ang'ania watoto wa viongozi ambao hawana uwezo?
Huyu Zahara Michuzi amehamishiwa Ifakara badala ya kufurumushwa kutokana na tuhuma lukuki zilizomkabili, hii maana yake ni kwamba Rais aliyemteua haamini DC aliyemchongea wala haamini TAKUKURU, hii ina maana gani kwenye mambo ya Utawala bora?
Sasa yule DC na TAKUKURU katika hali hii wanajionaje ?
=======
Mifumo ipi? hakuna loloteHapana kunasheria zipo na taratibu zipo kama mifumo imeamua hana hatia ujue kwel hana hatia
PIcha na Muhiddini Michuzi?zahara Muhiddini michuzi hivyo michuzi glob ndio huyo huyo!Hivi CCM haina watu wengine? kwanini inang'ang'ania watoto wa viongozi ambao hawana uwezo?
Huyu Zahara Michuzi amehamishiwa Ifakara badala ya kufurumushwa kutokana na tuhuma lukuki zilizomkabili, hii maana yake ni kwamba Rais aliyemteua haamini DC aliyemchongea wala haamini TAKUKURU, hii ina maana gani kwenye mambo ya Utawala bora?
Sasa yule DC na TAKUKURU katika hali hii wanajionaje ?
=======
Baba yake ni mpiga picha maarufu wa Ikulu enzi za JK.Inaonekana huyo dada yupo karibu na Rostam au JK hakuna mtu anaweza kumgusa
Mara kadhaa, Rais ametamka maneno haya- Nimetumia njia zangu kujua haya...... Pengine na hapo napo katumia njia zake na kupata taarifa nyingine kabisa.Hivi CCM haina watu wengine? kwanini inang'ang'ania watoto wa viongozi ambao hawana uwezo?
Huyu Zahara Michuzi amehamishiwa Ifakara badala ya kufurumushwa kutokana na tuhuma lukuki zilizomkabili, hii maana yake ni kwamba Rais aliyemteua haamini DC aliyemchongea wala haamini TAKUKURU, hii ina maana gani kwenye mambo ya Utawala bora?
asante kwa ufafanuziPIcha na Muhiddini Michuzi?zahara Muhiddini michuzi hivyo michuzi glob ndio huyo huyo!
Majina yale yale yanazunguka.Hivi CCM haina watu wengine? Kwanini inang'ang'ania watoto wa viongozi ambao hawana uwezo?
Huyu Zahara Michuzi amehamishiwa ifakara badala ya kufurumushwa kutokana na tuhuma lukuki zilizomkabili, hii maana yake ni kwamba Rais aliyemteua haamini DC aliyemchongea wala haamini TAKUKURU, hii ina maana gani kwenye mambo ya Utawala Bora?
Sasa yule DC na TAKUKURU katika hali hii wanajionaje?
=======
Noma sana !Majina yale yale yanazunguka.
πππππBaba yake Issa Michuzi ni mpiga picha maarufu wa Ikulu enzi za JK.