Je, TAKUKURU iendelee kumchunguza Zahara Michuzi au iache?

Je, TAKUKURU iendelee kumchunguza Zahara Michuzi au iache?

Siku watanzania wenyewe wakiamka watadai kila haki na matokeo yake yanaweza kuwa mabaya kama yale ya Sudani au Misri.

CCM na watu wake bado hawataki kukubaliana na hesabu, dunia na mambo yamebadirika sana kiasi cha wao kubadili system za kiutawala... WATU KWA SASA MAENDELEO KWA KASI KULINGANA NA RASIMALI ZILIZOKUWEPO NA SI BLAH BLAH... siku wananchi watakapopata akili na hasira za kudai matunda ya wao kuwa WATANZANIA HALI INAWEZA KUWA MBAYA SANA.
Na hawaamki mpaka siku mwenge ukizimika
 
Siku watanzania wenyewe wakiamka watadai kila haki na matokeo yake yanaweza kuwa mabaya kama yale ya Sudani au Misri.

CCM na watu wake bado hawataki kukubaliana na hesabu, dunia na mambo yamebadirika sana kiasi cha wao kubadili system za kiutawala... WATU KWA SASA MAENDELEO KWA KASI KULINGANA NA RASIMALI ZILIZOKUWEPO NA SI BLAH BLAH... siku wananchi watakapopata akili na hasira za kudai matunda ya wao kuwa WATANZANIA HALI INAWEZA KUWA MBAYA SANA.
Binafsi natamani sana kuishuhudia hii siku. Siku zote nimekuwa nikimuomba Mwenyezi Mungu anijalie afya na uzima tele.
 
Kumzungumzia Zahara = kumzungumzia Mhidini Michuzi
Kumzunguzia Mhidini Michuzi = kumzungumzia JK mzee wa fitina na ukigeugeu
Huyo Zahara ajue za kuambiwa achanganye na zake ipo siku isiyojulikana JK atamgeuka
 
Back
Top Bottom