Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]fala sana wewe bwanamdogo mm nilijua unakunywa kwa ajili ya CORONAWakuu umofia kwenu? Nauliza iwapo nikichemsha tangawizi km dakika 5 hivi , je inaeza kupungua nguvu au virutubisho vyake?
Maana nataka niinywe then nikamsugue demu
[emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]fala sana wewe bwanamdogo mm nilijua unakunywa kwa ajili ya CORONA
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh!Wakuu umofia kwenu? Nauliza iwapo nikichemsha tangawizi km dakika 5 hivi , je inaeza kupungua nguvu au virutubisho vyake?
Maana nataka niinywe then nikamsugue demu
OkyTafuna ikiwa mbichi kama mm unaweka hapo chumvi kidogo tu unatafuta ukimaliza unasikia kifua kimepona kabisa.
Yan namaanisha baadhi ya vyakula vikipikwa hupoteza nguvu yake kuliko vikiliwa vibichiNguvu ni nini?
Tangawizi ni nouma mkuuBADALA UNYWE AL KASUSU WEWE WANYWA TANGAWIZI YAKHEE
Yan namaanisha baadhi ya vyakula vikipikwa hupoteza nguvu yake kuliko vikiliwa vibichi
Hata pweza kula bila kupikwa wala kukaangwa, utaona majibu yake kwa huyo demu wako mkuu.Yan namaanisha baadhi ya vyakula vikipikwa hupoteza nguvu yake kuliko vikiliwa vibichi
Tafuna ikiwa mbichi kama mm unaweka hapo chumvi kidogo tu unatafuta ukimaliza unasikia kifua kimepona kabisa.
Wakuu umofia kwenu? Nauliza iwapo nikichemsha tangawizi km dakika 5 hivi , je inaeza kupungua nguvu au virutubisho vyake?
Maana nataka niinywe then nikamsugue demu