Je, Tanzania imewahi kuwa na Rais mwizi?

Je, Tanzania imewahi kuwa na Rais mwizi?

Inawezekana Samia si katika hao na ndio ikawa shida kwa viongozi wa serikali ambao wameota mizizi ndani ya serikali tokea tupate Uhuru na hata maraisi wastaafu wanaonekana wakijichomeka kung'ang'ania serikali na sio serikali bali Raisi mpya anaeingia madarakani.

Hisia zinaonyesha kuna magenge ambayo mazoea yao yanaonekana kukatika au kukatwa na sasa wanafanya juu chini ili kutafuta mbadala wa Samia ili wizi uendelee kama kawaida.

Ndio nikauliza Tanzania imewahi kuwa na Raisi kibaka ?
Wizi unaanzia kwenye kura kuvuruga uchaguzi na kupanga matokeo ya uchaguzi kwakifupi ccm ni wezi wa pesa zetu kwasabu wamepanga matokeo ya uchaguzi
 
Ndiyo
  1. Alifilisi pesa zote katika mashirika ya hifadhi ya jamii
  2. Alianza kuchungulia katika account za watu na kuchota pesa zao
  3. Wakuu wa wiaya wengine nao walianza kuwa wezi akawa anawaangalia tu hadi wengine wamekamatwa na kufikishwa mahakamani na kufungwa
  4. Alitaifisha michango ya wananchi kwa wananchi wenzao waliopatwa na maafa ya tetemeko la ardhi huko Bukoba alizipeleka fedha hizo kusikojulikana
  5. Mkaguzi na mdhibiti wa fedha za serikali alikuta kuna upotevu wa shs tillion maja na nusu alivyotoa taarifa aliondolewa madarakani kinyume na taratibu
Hapo tunasema ni ule weledi was kwetu ulitumika.
 
Nimeona watajwa na walio wasafi ni Nyerere na Ali Hassan Mwinyi ,kuna sehemu majina hayakudhihirishwa.

Maraisi 1) R.Nyerere 2) R.Ali Hassan 3) R.Mkapa 4) R.Kikwete 5) R.Magufuli 6) R.Samia.

Ila uwizi waliotuhumiwa nao hauna ushahidi unakuwepo kwenye dhana tu,inawezekana ipo siku wakafikishwa mahakamani akipatikana Mtemi mwengine kama Magufuli.

kama yeye aliwahi kuwafikisha mawaziri kizimbani kama sikosei huenda akatokea raisi akawafikisha maraisi wastaafu mahakamani. Maana mambo kangaja.


SIjui kama Mawaziri wetu waliopita na waliopo wanaweza kuwa ni vibaka au tuseme ni waizi ,maana unakuta mishahara yao mikubwa sidhani kama mtu anafikiria hata jambo la kuiba.
 
Mimi Rais mwizi namjua!😁😁😁
 
Ndiyo
  1. Alifilisi pesa zote katika mashirika ya hifadhi ya jamii
  2. Alianza kuchungulia katika account za watu na kuchota pesa zao
  3. Wakuu wa wiaya wengine nao walianza kuwa wezi akawa anawaangalia tu hadi wengine wamekamatwa na kufikishwa mahakamani na kufungwa
  4. Alitaifisha michango ya wananchi kwa wananchi wenzao waliopatwa na maafa ya tetemeko la ardhi huko Bukoba alizipeleka fedha hizo kusikojulikana
  5. Mkaguzi na mdhibiti wa fedha za serikali alikuta kuna upotevu wa shs tillion maja na nusu alivyotoa taarifa aliondolewa madarakani kinyume na taratibu
mwendazake huyu
 
Ndiyo
  1. Alifilisi pesa zote katika mashirika ya hifadhi ya jamii
  2. Alianza kuchungulia katika account za watu na kuchota pesa zao
  3. Wakuu wa wiaya wengine nao walianza kuwa wezi akawa anawaangalia tu hadi wengine wamekamatwa na kufikishwa mahakamani na kufungwa
  4. Alitaifisha michango ya wananchi kwa wananchi wenzao waliopatwa na maafa ya tetemeko la ardhi huko Bukoba alizipeleka fedha hizo kusikojulikana
  5. Mkaguzi na mdhibiti wa fedha za serikali alikuta kuna upotevu wa shs tillion maja na nusu alivyotoa taarifa aliondolewa madarakani kinyume na taratibu
Tuliona kazi sio siasa
 
Swali ilibidi liwe, je tanzania imewahi kupata raisi ambae SI MWIZI?
 
Yule aliyeuza viwanda vyetu imefikia hadi ajira haipo tena ndo nina hasira naye.

Heri anayeiba pesa kuliko aliyeiba hadi viwanda

Tena akaishia kumwambia baba katibiwe huko ulaya na akaishia huko huko.

Huyo ijapokuwa hayupo humu tena ila bado nina hasira naye
 
Awamu ya nne tulipigwa dole na mabeberu...
 
Yule bwana wa msoga alikuwa ni mwizi mpaka sasa anaemdelea nyuma ya pazia.
 
Basi Raisi Samia nae ajitahidi asiondoke patupu kama ,Nyererex2, hakuwa na mkono mkono
 
Ndiyo
  1. Alifilisi pesa zote katika mashirika ya hifadhi ya jamii
  2. Alianza kuchungulia katika account za watu na kuchota pesa zao
  3. Wakuu wa wiaya wengine nao walianza kuwa wezi akawa anawaangalia tu hadi wengine wamekamatwa na kufikishwa mahakamani na kufungwa
  4. Alitaifisha michango ya wananchi kwa wananchi wenzao waliopatwa na maafa ya tetemeko la ardhi huko Bukoba alizipeleka fedha hizo kusikojulikana
  5. Mkaguzi na mdhibiti wa fedha za serikali alikuta kuna upotevu wa shs tillion maja na nusu alivyotoa taarifa aliondolewa madarakani kinyume na taratibu
Maneno yalijaa unafiki, uzushi chuki na uzandiki kutoka kwa aliyetumbuliwa vyeti feki, ufisadi, wizi, uhujumu uchumi, aliyejenga barabarani kimakosa, wadhulumaji
 
Maraisi wawili tu ukimtoa huyu aliyepo sasa, walioongoza nchi yetu na nimeona uongozi wao na nikiwa na akili timamu ya kuchanganua mambo, yule wa awamu ya NNE,

Huyo anabeba

Sifa hizo zoote za uwizi na ndiye anayeongoza kwa kuruhusu nchi yetu iibiwe na kuliwa sana, kiasi hata cha wanyama wetu kupelekwa ughaibuni wakiwa hai hivihivi
Ukitaka rais mkamilifu cha muhimu umba nchi yako mwenyewe hivyo inakuwa rahisi kuumba rais wa kwako pia.

Hakuna rais asiye na mazuri yake iwapo anayo mabaya yake, na kila rais ukiwa unamtoa kasoro basi tambua tatizo la msingi ni wewe na wala marais hawana matatizo.
 
Ndiyo
  1. Alifilisi pesa zote katika mashirika ya hifadhi ya jamii
  2. Alianza kuchungulia katika account za watu na kuchota pesa zao
  3. Wakuu wa wiaya wengine nao walianza kuwa wezi akawa anawaangalia tu hadi wengine wamekamatwa na kufikishwa mahakamani na kufungwa
  4. Alitaifisha michango ya wananchi kwa wananchi wenzao waliopatwa na maafa ya tetemeko la ardhi huko Bukoba alizipeleka fedha hizo kusikojulikana
  5. Mkaguzi na mdhibiti wa fedha za serikali alikuta kuna upotevu wa shs tillion maja na nusu alivyotoa taarifa aliondolewa madarakani kinyume na taratibu
Umesahau kaiba hela za korosho
manunuzi ya ndege mbovu eti kwa cash!! alikula cha juu!
wafanya kazi hewa na wengine kupigwa mitama humohumo ila ale hela!
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Inawezekana Samia si katika hao na ndio ikawa shida kwa viongozi wa serikali ambao wameota mizizi ndani ya serikali tokea tupate Uhuru na hata marais wastaafu wanaonekana wakijichomeka kung'ang'ania serikali na sio serikali bali Raisi mpya anaeingia madarakani.

Hisia zinaonyesha kuna magenge ambayo mazoea yao yanaonekana kukatika au kukatwa na sasa wanafanya juu chini ili kutafuta mbadala wa Samia ili wizi uendelee kama kawaida.

Ndio nikauliza Tanzania imewahi kuwa na Raisi kibaka?
Waite wezi tu isipokuwa JK N
 
Ndio. Marais wote waliopita walikuwa vibaka. Wizi wao haukuwa wa kutumia nguvu au kuvunja nyumba bali ni wizi wa kutumia saikolojia ya hali ya juu. Yaani wote wameweza kujilumbikizia mamilioni ilhali watanzania wanashangiria. Kiufupi wamekuwa wakiiba kweupe na wananchi wanaona na hakuna anaethubutu kuwazuia. Wamejipatia majumba, mashamba, viinua migogo, pensheni, na machopo chopo mengi ya kuondoka madarakani kilaini kabisa.
 
Back
Top Bottom