Je, Tanzania ingefikia huku kama Guinea ya Ikweta? Familia na madaraka

Je, Tanzania ingefikia huku kama Guinea ya Ikweta? Familia na madaraka

chrome

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2011
Posts
401
Reaction score
426
37148541_302.jpg

Teodoro Nguema Obiang Mangue ni makamu wa pili wa rais wa Guinea ya Ikweta - na wakati huo huo ni mtoto wa rais. Baba yake, Teodoro Obiang Nguema Mbasogo, ametawala nchi hiyo tangu mwaka 1979.

Wakati huo huo mtoto wake wa kufikia, Gabriel Mbega Obiang, ni Waziri wa mafuta. Kampuni ya mafuta ya GEPetrol iliongozwa na ndugu wa Rais, Nsue Okomo hapo awali.
 
Tz tuna ukoo wa familia ccm unatawala tangu uhuru.Yapo mengi mazuri wamefanya yapo pia madhaifu kama dhuluma Katiba bora hivyo kupelekea Watanzania kutawaliwa kwa mfumo dola wa ccm wenye madhila lukuki.
 
View attachment 1692475
Teodoro Nguema Obiang Mangue ni makamu wa pili wa rais wa Guinea ya Ikweta - na wakati huo huo ni mtoto wa rais. Baba yake, Teodoro Obiang Nguema Mbasogo, ametawala nchi hiyo tangu mwaka 1979. Wakati huo huo mtoto wake wa kufikia, Gabriel Mbega Obiang, ni Waziri wa mafuta. Kampuni ya mafuta ya GEPetrol iliongozwa na ndugu wa Rais, Nsue Okomo hapo awali.
Ila nguema obiang kaijenga equatorial guinea. Hadi Wananch wake wanapokea social money bure kila mwezi. Kwa kipindi cha miaka ishirini tu kabadilisha nchi kutoka porini. Raia wa equatorial guinea wanasafiri ulaya Canada na Marekani bila visa na hawaendi huko kuhamia bali kusoma na utalii na kurudi. Tatizo wamekuwa wachoyo kwa ndugu zao wa Cameroon ambao wanashare kabila moja kwa kufunga mipaka wakidai wakiwaruhusu watawaibia kazi na pesa.
 
Ila nguema obiang kaijenga equatorial guinea. Hadi Wananch wake wanapokea social money bure kila mwezi. Kwa kipindi cha miaka ishirini tu kabadilisha nchi kutoka porini. Raia wa equatorial guinea wanasafiri ulaya Canada na Marekani bila visa na hawaendi huko kuhamia bali kusoma na utalii na kurudi. Tatizo wamekuwa wachoyo kwa ndugu zao wa Cameroon ambao wanashare kabila moja kwa kufunga mipaka wakidai wakiwaruhusu watawaibia kazi na pesa.
pia ni moja ya nchi ndogo Afrika .. watu hata 2mill hawafiki . na iko na utajiri nafikiri ni rahisi hata kuitawala
 
Ila nguema obiang kaijenga equatorial guinea. Hadi Wananch wake wanapokea social money bure kila mwezi. Kwa kipindi cha miaka ishirini tu kabadilisha nchi kutoka porini. Raia wa equatorial guinea wanasafiri ulaya Canada na Marekani bila visa na hawaendi huko kuhamia bali kusoma na utalii na kurudi. Tatizo wamekuwa wachoyo kwa ndugu zao wa Cameroon ambao wanashare kabila moja kwa kufunga mipaka wakidai wakiwaruhusu watawaibia kazi na pesa.
Umeishafika Guinea Mkuu?

Au ndio zile habari kama za Muammar Gaddafi
 
Ila nguema obiang kaijenga equatorial guinea. Hadi Wananch wake wanapokea social money bure kila mwezi. Kwa kipindi cha miaka ishirini tu kabadilisha nchi kutoka porini. Raia wa equatorial guinea wanasafiri ulaya Canada na Marekani bila visa na hawaendi huko kuhamia bali kusoma na utalii na kurudi. Tatizo wamekuwa wachoyo kwa ndugu zao wa Cameroon ambao wanashare kabila moja kwa kufunga mipaka wakidai wakiwaruhusu watawaibia kazi na pesa.
Equitorial Guniea ni nchi masikini kupindukia
 
pia ni moja ya nchi ndogo Afrika .. watu hata 2mill hawafiki . na iko na utajiri nafikiri ni rahisi hata kuitawala
Swali la kujiuza, je? Uchumi wa hiyo ukoje na pato la mtu mmoja mmoja.
 
Equitorial Guniea ni nchi masikini kupindukia
Sijajua hilo. Ila majirani zao wanaisifia sana. Wanasema miaka 20 iliyopita ilikuwa hovyo sana hamna kitu. Ila licha udikteta wa Rais wao na ile portion ya uchimbaji wa mafuta aliyokuwa anaipata ameitransform Equatorial Guinea hasa wakati bei ya mafuta ilikuwa juu. Kwa miaka ishirini imepiga hatua zaidi na zaidi ukilinganisha nkabla
 
View attachment 1692475
Teodoro Nguema Obiang Mangue ni makamu wa pili wa rais wa Guinea ya Ikweta - na wakati huo huo ni mtoto wa rais. Baba yake, Teodoro Obiang Nguema Mbasogo, ametawala nchi hiyo tangu mwaka 1979. Wakati huo huo mtoto wake wa kufikia, Gabriel Mbega Obiang, ni Waziri wa mafuta. Kampuni ya mafuta ya GEPetrol iliongozwa na ndugu wa Rais, Nsue Okomo hapo awali.
Na huyu alimpindua mjomba wake mwaka 1979 aliyekuwa anaitwa Mathias Nguema
 
Sijajua hilo. Ila majirani zao wanaisifia sana. Wanasema miaka 20 iliyopita ilikuwa hovyo sana hamna kitu. Ila licha udikteta wa Rais wao na ile portion ya uchimbaji wa mafuta aliyokuwa anaipata ameitransform Equatorial Guinea hasa wakati bei ya mafuta ilikuwa juu. Kwa miaka ishirini imepiga hatua zaidi na zaidi ukilinganisha nkabla
Wamekudanganya.
 
Basi mkuu inabidi ufanye mpago ukajionee mwenye mambo hayako ivyo kama hao jamaa zako wanavyo kwambia,


Mimi nilikuepo huko 2019
Hawawezi kunidanganya. Ninachojua nchi yeyote Africa ambayo inatoa social benefits na pesa kila mwezi kwa wananchi wao na ni visa free ulaya Marekani na Canada wako vizuri kulingana na hali yao ya maisha. Na hizo nchi Africa ni Equatorial Guinea, Mauritius, Namibia na Botswana.

Usitudanganye wewe ulipitia Chad kuelekea Darfur kikazi zingine umeokoteza mtandaoni Wikipedia
 
Back
Top Bottom