Je, Tanzania ingefikia huku kama Guinea ya Ikweta? Familia na madaraka

Je, Tanzania ingefikia huku kama Guinea ya Ikweta? Familia na madaraka

Yaani Afrika utasema tumerogwa kubwa la wachawi ulimwenguni!!! Na kwa kweli kwa ukubwa wa Equitoria Guienea na utajiri wa mafuta iliyonayo, ile nchi ilitakiwa angalau angalau iwe na viwango vya nchi za South East Asia.
Ile ni Mali binafsi ya familia ya nguema,ni Kama ilivyo uganda ni Mali ya M7.
 
Angalau afrika ya weupe wao Wana nafuu sababu ya dini imesaidia kuwaunganisha watawala na watawaliwa.Watawala awawaumizi Sana watawaliwa.
Huku afrika mashariki si ajabu mtawala kumiliki ikulu tatu Hali nje ya ikulu mamilioni wanalala nje, watoto wanakaa chini.
 
Ile ni Mali binafsi ya familia ya nguema,ni Kama ilivyo uganda ni Mali ya M7.
Pale Equitorial Guinea akiingia rais "kichaa" anaweza kufanya kama walivyofanya Angola waliopokonya mali za binti wa Edwardo dos Santos!
 
PUTIN: AFRIKA HAITOKAA IWE HURU

Adui wa Mwafrika ni Mwafrika. Mwafrika mpe silaha, pesa au ahadi ya madaraka madogo tu kwa sharti moja tu la kumuua Mwafrika mwenzake, atamuua kinyama kuliko ulivyotarajia. Adui wa Mwafrika sio mzungu, sio Mmarekani wala sio mchina. Adui wa Mwafrika ni AKILI na fikra zake na ndio maana leo Wazungu, Wamarekani, Waarabu na Wachina wameitawala tena Afrika kwa kutumia dini, Elimu, uchumi, teknolojia, siasa na utamaduni.

Waafrika ni watu wanaochukiana na wasioaminiana na ndio maana Afrika haiwezi kuungana na haitokaa iungane kuwa na dola imara. Chuki ya wenyewe kwa wenyewe na utengano ndio inayowapa wakoloni wao nguvu ya kuendelea kunyonya rasilimali za Afrika."

Je unakubaliana na Rais Vladmir Putin?
Je ni kipi unaweza kuongeza kuhusu Afrika?

Quote
Nafikiri shetani huwa anajifunza baadhi ya skills kutoka kwa Mwafrika
 
Nafikiri shetani huwa anajifunza baadhi ya skills kutoka kwa Mwafrika
Huwa nashangaa Sana mtu kusema eti mamlaka zote zimetoka kwa Mungu.Ina maana Mungu atupendi waafrika why tangu Uhuru afrika haijawahi pata watawala wa maana ni vichomi,bogus mwanzo mwisho ambao wamesababisha mateso makubwa Sana kwa mwafrika kuliko hata ya mkoloni kwa kuuwa,kuteka, kuleta umasikini,njaa, maradhi na KILA tabu baada ya Uhuru.
 
Back
Top Bottom