Uchaguzi 2020 Je, Tanzania tuna upinzani makini, upinzani wa kweli wa kuing'oa CCM madarakani au bado sana? Nilichoshuhudia leo uzinduzi CHADEMA, kiukweli...

Kweli umejitoa ufahamu, Siku zote nasema kuitetea ccm inakupasa uwe na akili mwendawazimu
 
Mie naona Sawa tu mkutano Ni wa chadema wanao Uhuru wa kusema wewe ondoka wewe Baki, hata angeenda makonda wangemwambia toka na akatii, chamsingi wasije lalamika kuwa TBC hawarushi taarifa zao
 
Na nyinyi CCM na waserikali, msiitumie TBC as if ni TV yenu
Sisi ccm tuna channel ten na redio Uhuru,usituingize huko
Vyombe vya habari vinapaswa vigomee mikutano yote ya chadema kuonesha mshikamano,ingekua suala hili limefanywa na ccm kwa chombo binafsi tungesikia kelele nyingi sana
 

Kwa kweli watu wa jinsi ya Mayalla wanakera sana!
 
Hakuna kitu kibaya Kama kumwamin mtu halafu akakuangusha.
Chadema nimeanza kuwadharau. Pumbav kabisa
 
Nilidhani kuwa huu ndio mtazamo wako.
'You are not supposed to be so blind with patriotism that you can't face reality. Wrong is wrong no matter who says it'. Malcom X
Hivi hii 'quote' inaendanaje na uliyobwabwaja juu?

Tena sana

Umetumia neno bwabwaja

Ni kuwa hauko comfortable kabisa na moyo wako, kuna kitu kinakusuta, ila hauwezi kuongea

Rudi nyuma naongea lolote lenye ukweli wowote ule
 
Suppose ni kweli Watanzania wakiamua kuipumzisha CCM, kwa maoni yako, ni chama gani kinaweza kukabidhiwa Ikulu yetu kikaendesha nchi?.
P
Chama cha Mboe.
Nadhani siasa ya vyama vingi itaanza rasmi baada ya chama kimojawapo cha upinzani kushinda.Tutapata NEC mpya na katiba mpya na maendeleo ya haraka zaidi.
 
Suppose ni kweli Watanzania wakiamua kuipumzisha CCM, kwa maoni yako, ni chama gani kinaweza kukabidhiwa Ikulu yetu kikaendesha nchi?.
P
Vyama vyote vina mechanisms vinaweza kuongoza nchi, wanasiasa ni wachache kuliko Raia wa ujumla, wataalam wapo wa kila sekta sio lazima wawe ktk vyama, kikubwa ni kutengeneza sera zinazoeleweka, kutekelezeka na kuzisimamia
 
Vyama vyote vina mechanisms vinaweza kuongoza nchi, wanasiasa ni wachache kuliko Raia wa ujumla, wataalam wapo wa kila sekta sio lazima wawe ktk vyama, kikubwa ni kutengeneza sera zinazoeleweka, kutekelezeka na kuzisimamia
Chama gani hicho chenye hizo sera zinazoeleweka, kutekelezeka na kuzisimamia ?
P
 
Mgombea wetu wa CCM akiwa Zanzibar anawaeleza Wazanzibar kuwa wasiondoke uwanjani hapo maana akimaliza hotuba bado Kuna show kabambe kutoka kwa wasanii na watamuona nae akicheza.... Wazenji nao viburi wakaondoka wakati anazungumza. Aisee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…