Uchaguzi 2020 Je, Tanzania tuna upinzani makini, upinzani wa kweli wa kuing'oa CCM madarakani au bado sana? Nilichoshuhudia leo uzinduzi CHADEMA, kiukweli...

Uchaguzi 2020 Je, Tanzania tuna upinzani makini, upinzani wa kweli wa kuing'oa CCM madarakani au bado sana? Nilichoshuhudia leo uzinduzi CHADEMA, kiukweli...

Mkuu Nguruvi3, kama kuna mtu anaunga mkono kitendo kilichofanywa na TBC kwa namna yoyote ile, mimi namhesabu kama mpuuzi waahed asiyelitakia mema taifa letu, period. Ni heri hata wasingetangaza au hata kuhudhuria huo mkutano wa Chadema kuliko kitendo walichofanya TBC ambacho mimi nakiita cha hujuma katika siku muhimu kama hiyo kwa Watanzania na wana Chadema popote waliko.

TBC ni ya wote na si chombo cha CCM cha kuhujumu mikutano ya vyama vya upinzani. Kwa muda wote toka awamu hii iingie madarakani TBC imekuwa mshiriki wa serikali inayoundwa na CCM ikitetea vitendo vyake vya ukatili dhidi ya Watanzania wanaoikosoa. Kwa maneno mengine, TBC imetumika kuhalalisha utekaji, uteswaji na mauaji yaliyotokea katika kipindi hiki dhidi ya Watanzania wasio wana CCM.

Kama kuna baadhi ya Watanzania wenzangu ambao nimeanza kuwachukia, wako makundi matatu...wanafiki, wachonganishi na ndumilakuwili. Bila kumung'unya maneno TBC wanawakilisha makundi hayo yote matatu, ni wanafiki, wachonganishi na ndumilakuwili. Kilichowapeleka kwenye mkutano wa uzinduzi wa chama cha Chadema ni kufanikisha njama hizo wakisahau kuwa TBC ni chombo cha Umma.

CCM kama chama kikishambulia kwa hoja chama cha upinzani na hata kutafuta namna ya kukidhoofisha kwa mikakati inyoruhusiwa kikatiba hiyo ni rukhsa. Lakini chombo kama TBC, polisi, TCRA na vingine kama hivyo vinapotumika kukandamiza demokrasia na kuwaumiza wasiokubaliana nao, hiyo si rukhsa. TBC badala ya kulialia, iwaombe radhi Watanzania na wapinzani kwa ujumla wao na watende haki kwa wote.
 
Nyoki la chadema mbagala leo...
Hata wananchi wamekisusa hiki chama na msipobadilika chadema mtabakia viongozi pekee wa chadema....
View attachment 1550920
Achana na Picha ya TBC iliyopigwa saa tano asubuhi. Tumia picha hii iliyopigwa saa tisa alasiri.
Screenshot_20200829_070343.jpg
 
TBC walichokuwa wanafanya pale ni hujuma, sasa kama ukimkuta kibaka anazurula kwenye eneo lako utamkaribisha ndani au utamfukuza tena kwa kumpigia kelele za mwizi. TBC walifanya hujuma mchana kweupeeeeee.
Ndio maana hata wakina YESU walitangaza injili kwa hekima mtu alikupiga shavu la kulia mgeuzie na la kushoto
Maneno yenye hekima na busara yanambadilisha mtu kuuona ukweli
Lakini kibuli kama cha CDM kinawabomoa wenyewe
Juzi mlipokea ujumbe kutoka Baraza la wahariri MCT
leo mnafanya tena utoto tena utoto huo anaufanya mwenyekiti mwenyewe wa chama
Mkipata kura zikizidi mil 3 fanyeni sherehe ya mwezi mzima
Lakini kwa ile jana CDM mpo uchi katika fikra na matumizi mazuri ya demokrasia
 
Wakwende huko. Wanatoa matangazo na kukatakata ndio wamesaidia Chadema? Chadema ina nguvu ya umma. Sisi wananchi ndio tunamuweka Tundu Lissu madarakani -kwenye kiti cha Urais. Hao CCM pamoja na wewe mbaki na TBC yenu. Tumechoka manyanyaso, hatuvumilii tena ujinga ujinga.

#TunduLissu2020 #NiYeye #SasaBasi
. Nani kakunyanyasa
 
Wanabodi,

Kipenga cha kuanza kwa kampeni za Uchanguzi Mkuu ujao kimepulizwa leo na fungua dimba amekuwa Chadema.
Nimeangalia kidogo kupitia live ya TBC, kiukweli nilichoshuhudia, ndicho kimenipelekea mimi kuanzisha huu uzi ambao ni swali.

Je, Tanzania tuna upinzani wa kweli, upinzani makini, wenye the ability, the capacity and the capabilities za kuleta upinzani wa kweli wenye uwezo wa kuing'oa CCM madarakani?, au upinzani wetu hapa Tanzania ni bado sana?.

Nimeuliza hivi kufuatia nilichokishuhudia leo, kwenye uzinduzi kampeni za Chadema, pale uwanja wa Mbagala Zakhem, kiukweli ...
kwa vile na mimi siku hizi ni kada, kuna vitu naomba nisiviseme nikaonekana ni kupiga siasa!.

Kwanza natoa hongera kwa Television ya Taifa, TBC kutangaza live uzinduzi huo wa kampeni za Chadema!. Japo matangazo yenyewe ni kwa kukata kata, lakini something is better than nothing!.

Je, kitendo alichofanya M/Kiti Mbowe, kuwafukuza live TBC, huku wakiwa live ni sawa?!.

Nimetoa pongezi na hongera kwa TBC kutangaza live matangazo ya uzinduzi kampeni za Chadema!, ile tuu TBC kukubali kutangaza live uzinduzi wa Chadema huku unajua kabisa watu wa type yao ni wasemji wa namna gani!, huku Mbowe, huku Lissu, huku Lema, na bado TBC ikakubali kuwapa live, hatua hii pekee, inastahili pongezi.

Lakini Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Mbowe aliposimama kuzungumza, aliwafukuza live TBC huku wakiwa live hewani!. Kitendo alichofanya Mwenyekiti Mbowe, cha kuwafukuza TBC, sio sawa, it is not right, hajaitendea haki TBC, hajaitendea haki media, hajaitendea haki Chadema, hajawatendea haki Watanzania kukosa kusikia sera za Chadema.

Hasira za Mkizi kwenye siasa, kiukweli kabisa hazisaidii kitu!.

Wakati Mhe Mbowe anasema TBC wamekata matangazo, TBC ilikuwa iko live wakati Mhe. Mbowe akitangaza kuwafukuza na kuwasingizia kuwa TBC wamekata matangazo, ilikuwa sii kweli kwasababu TBC walikuwa live kabisa na hawajakata matangazo!, kitendo cha Mwenyekiti Mbowe kuwafukuza TBC na kuwaambia TBC waondoke, sio kitendo cha kistaarabu, hakikubaliki, vyama vya habari tusilinyamazie hili, Mhe. Mbowe akemewe, Chadema ikemewe, na TBC ipongezwe kwa kujaribu.

Kitu ambacho ni kweli nilikiona ni TBC kuwa na kibarua kigumu cha kufanya censorship matamshi yoyote hatarishi na ya kichochezi. Sii wengi wanajua kuwa kwenye matangazo ya live, mtu ambaye yuko responsible na kinachorushwa hewani, sio yule msemaji, bali ni mrusha matangazo, yaani TBC, hivyo mwanasiasa anapoibuka na kutoa kauli za kiajabu ajabu, ambazo ni za uchochezi au kuhatarisha amani, utulivu na mshikamano wetu, then TBC wanakuwa hawana jinsi zaidi ya kufanya censorship, ndio maana matangazo yalikuwa yanakatwa katwa na kurudishwa studio.

NB. Ikitokea Chadema ikashindwa kwenye uchaguzi, isilalamike kuwa CCM imebebwa na TBC ndio maana ikashinda, Chadema wamepewa fursa ya kuitumia TBC, Chadema wenyewe ndio wamekataa na kuwafukuza TBC, hivyo sasa wanategemea nini?.

Hizi ni Hasira za Mkizi!

Hata hivyo, TBC tunapoelekea kwenye uchaguzi wa vyama vingi, TBC inatakiwa iji redifine its role kwenye uchaguzi, wengi wanaidhania TBC kuwa ni TV ya serikali!, kiukweli, TBC japo inagharimiwa na serikali sio kama TV yake, TBC sio TV ya serikali, TBC na RTD ni Public Broadcasting Stations, ambayo ni TV ya umma na Redio ya umma ambayo is paid by taxpayers money kutoka serikalini lakini inatakiwa kuwatumikia Watanzania wote , wa vyama vyote kwa haki sawa na kwa usawa bila upendeleo unaoonekana kwa CCM kupendelewa zaidi!.

TBC inabidi iwatumikie watu wote ikiwemo serikali na sio kuitumikia serikali as if kwasababu ni malí yake, TBC sio mali ya serikali ni mali ya umma kwa udhamini wa serikali kama ilivyo BBC!. Vyombo vya habari vya serikali ni gazeti la Daily News, Habari Leo, Idara ya Habari Maelezo, na The Government Gazzette.

Kwa hali ya siasa ilivyo sasa, TBC is as if inaipendelea sana serikali na CCM kwa kurusha matukio ya serikali au ya CCM bila any censorship lakini kwenye mikutano ya upinzani kwa kufanya censorship ya kiana kwa kurejea studio.

Viongozi wa TBC na viongozi serikali wanapaswa kuiwezesha TBC kwa rasilimali watu na rasilimali fedha kuweza kuwatumikia wananchi wote Watanzania kikamilifu na hata kuisaidia serikali kwa kuweka vipindi critical kwa serikali ambavyo vitafanya a constructive criticism kwa lengo la kujenga na sio kubomoa na huko ndiko kuisaidia serikali kiukweli.

Na nyinyi CCM na waserikali, msiitumie TBC as if ni TV yenu tuu au ni mali yenu. TBC ni TV yetu sisi sote Watanzania, tuna wajibu wa kuhakikisha Watanzania wote, tunapata excess ya kuitumia TBC kwa manufaa ya taifa na sio kama ilivyo sasa, kutumika zaidi kwa manufaa ya serikali mpaka wengi wakiidhania TBC ni TV ya Serikali, kitu ambacho sio cha kweli!. TBC ifungue zaidi milango yake ya vipindi kwa kuruhusu vipindi kutoka outside kwa independent producers na production houses ili kupata diversity na good mix from the society.

Wito kwa wapinzani, mnapapata fursa za kuwa coved live, mna wajibu wa kuwa wastaarabu kwa kutangaza sera, na kutumia lugha za staha na sio lugha za kuudhi.

Ndio maana nimeuliza, kama upinzani wenyewe ndio huu tuliouona kwa Chadema, halafu hawa ndio watu wanaotaka Watanzania tuwape Ikulu yetu watutawale, kama hata kujitawala wenyewe tuu ni issue, hili la kuwapa nchi, itakuwaje?

Namalizia kwa lile swali la msingi la bandiko hili, jee Tanzania tuna upinzani wa kweli, upinzani makini, wenye the ability, the capacity and the capabilities za kuleta upinzani wa kweli wenye uwezo wa kuing'oa CCM madarakani na wenyewe kutawala nchi yetu?, au upinzani wetu hapa Tanzania kiukweli kabisa ni bado sana?

Paskali


Mkuu sindano imeingia hii, ukiona reaction basi ujue wamekula hii dawa

1.mbowe kakurupuka, hajagundua impact yake
2.kafuata mkumbo
3.kama TBC walifanya ili afanye alichofanya wamefanikiwa sana, hii ni ile unamtemea mate kijanja adui yako uwanjani au kumtusi aki react kwa kukupiga ngumi ndio anaonekana na kupewa kadi nyekundu, kama tes tka fail

4. Same scenario CCM wataibeba na kuutangazia umma wa nje ya nchi, hakuna atakayejua kuwa yalikatwa katwa? How? Kwani kila mmoja kaona?

It was good baada ya hapo alalamike kuwa TBC walikatakata then angesubiri next time!!!!!


Sawa hawa vipofu wa humu ambao kwao mbowe ni saint hawana akili yako ya kuona haya

Pia ndio ujue tuna wengi IQ ya reality ni ndogo mno japo wana degree, diploma na nafasi nzuri makazini mwao. Kwao emotion imetawala brains zao

Ndio hawa ambao wanaamini kabisa Lissu anashinda urais? Then upate shida nao? Huzunika kama unakuwa challenged na watu wenye upeo kama wako

Keep on smiling
 
Ndio maana hata wakina YESU walitangaza injili kwa hekima mtu alikupiga shavu la kulia mgeuzie na la kushoto
Maneno yenye hekima na busara yanambadilisha mtu kuuona ukweli
Lakini kibuli kama cha CDM kinawabomoa wenyewe
Juzi mlipokea ujumbe kutoka Baraza la wahariri MCT
leo mnafanya tena utoto tena utoto huo anaufanya mwenyekiti mwenyewe wa chama
Mkipata kura zikizidi mil 3 fanyeni sherehe ya mwezi mzima
Lakini kwa ile jana CDM mpo uchi katika fikra na matumizi mazuri ya demokrasia

Zikizidi laki tatu

Sio 3m
 
Wanabodi,

Kipenga cha kuanza kwa kampeni za Uchanguzi Mkuu ujao kimepulizwa leo na fungua dimba amekuwa Chadema.
Nimeangalia kidogo kupitia live ya TBC, kiukweli nilichoshuhudia, ndicho kimenipelekea mimi kuanzisha huu uzi ambao ni swali.

Je, Tanzania tuna upinzani wa kweli, upinzani makini, wenye the ability, the capacity and the capabilities za kuleta upinzani wa kweli wenye uwezo wa kuing'oa CCM madarakani?, au upinzani wetu hapa Tanzania ni bado sana?.

Nimeuliza hivi kufuatia nilichokishuhudia leo, kwenye uzinduzi kampeni za Chadema, pale uwanja wa Mbagala Zakhem, kiukweli ...
kwa vile na mimi siku hizi ni kada, kuna vitu naomba nisiviseme nikaonekana ni kupiga siasa!.

Kwanza natoa hongera kwa Television ya Taifa, TBC kutangaza live uzinduzi huo wa kampeni za Chadema!. Japo matangazo yenyewe ni kwa kukata kata, lakini something is better than nothing!.

Je, kitendo alichofanya M/Kiti Mbowe, kuwafukuza live TBC, huku wakiwa live ni sawa?!.

Nimetoa pongezi na hongera kwa TBC kutangaza live matangazo ya uzinduzi kampeni za Chadema!, ile tuu TBC kukubali kutangaza live uzinduzi wa Chadema huku unajua kabisa watu wa type yao ni wasemji wa namna gani!, huku Mbowe, huku Lissu, huku Lema, na bado TBC ikakubali kuwapa live, hatua hii pekee, inastahili pongezi.

Lakini Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Mbowe aliposimama kuzungumza, aliwafukuza live TBC huku wakiwa live hewani!. Kitendo alichofanya Mwenyekiti Mbowe, cha kuwafukuza TBC, sio sawa, it is not right, hajaitendea haki TBC, hajaitendea haki media, hajaitendea haki Chadema, hajawatendea haki Watanzania kukosa kusikia sera za Chadema.

Hasira za Mkizi kwenye siasa, kiukweli kabisa hazisaidii kitu!.

Wakati Mhe Mbowe anasema TBC wamekata matangazo, TBC ilikuwa iko live wakati Mhe. Mbowe akitangaza kuwafukuza na kuwasingizia kuwa TBC wamekata matangazo, ilikuwa sii kweli kwasababu TBC walikuwa live kabisa na hawajakata matangazo!, kitendo cha Mwenyekiti Mbowe kuwafukuza TBC na kuwaambia TBC waondoke, sio kitendo cha kistaarabu, hakikubaliki, vyama vya habari tusilinyamazie hili, Mhe. Mbowe akemewe, Chadema ikemewe, na TBC ipongezwe kwa kujaribu.

Kitu ambacho ni kweli nilikiona ni TBC kuwa na kibarua kigumu cha kufanya censorship matamshi yoyote hatarishi na ya kichochezi. Sii wengi wanajua kuwa kwenye matangazo ya live, mtu ambaye yuko responsible na kinachorushwa hewani, sio yule msemaji, bali ni mrusha matangazo, yaani TBC, hivyo mwanasiasa anapoibuka na kutoa kauli za kiajabu ajabu, ambazo ni za uchochezi au kuhatarisha amani, utulivu na mshikamano wetu, then TBC wanakuwa hawana jinsi zaidi ya kufanya censorship, ndio maana matangazo yalikuwa yanakatwa katwa na kurudishwa studio.

NB. Ikitokea Chadema ikashindwa kwenye uchaguzi, isilalamike kuwa CCM imebebwa na TBC ndio maana ikashinda, Chadema wamepewa fursa ya kuitumia TBC, Chadema wenyewe ndio wamekataa na kuwafukuza TBC, hivyo sasa wanategemea nini?.

Hizi ni Hasira za Mkizi!

Hata hivyo, TBC tunapoelekea kwenye uchaguzi wa vyama vingi, TBC inatakiwa iji redifine its role kwenye uchaguzi, wengi wanaidhania TBC kuwa ni TV ya serikali!, kiukweli, TBC japo inagharimiwa na serikali sio kama TV yake, TBC sio TV ya serikali, TBC na RTD ni Public Broadcasting Stations, ambayo ni TV ya umma na Redio ya umma ambayo is paid by taxpayers money kutoka serikalini lakini inatakiwa kuwatumikia Watanzania wote , wa vyama vyote kwa haki sawa na kwa usawa bila upendeleo unaoonekana kwa CCM kupendelewa zaidi!.

TBC inabidi iwatumikie watu wote ikiwemo serikali na sio kuitumikia serikali as if kwasababu ni malí yake, TBC sio mali ya serikali ni mali ya umma kwa udhamini wa serikali kama ilivyo BBC!. Vyombo vya habari vya serikali ni gazeti la Daily News, Habari Leo, Idara ya Habari Maelezo, na The Government Gazzette.

Kwa hali ya siasa ilivyo sasa, TBC is as if inaipendelea sana serikali na CCM kwa kurusha matukio ya serikali au ya CCM bila any censorship lakini kwenye mikutano ya upinzani kwa kufanya censorship ya kiana kwa kurejea studio.

Viongozi wa TBC na viongozi serikali wanapaswa kuiwezesha TBC kwa rasilimali watu na rasilimali fedha kuweza kuwatumikia wananchi wote Watanzania kikamilifu na hata kuisaidia serikali kwa kuweka vipindi critical kwa serikali ambavyo vitafanya a constructive criticism kwa lengo la kujenga na sio kubomoa na huko ndiko kuisaidia serikali kiukweli.

Na nyinyi CCM na waserikali, msiitumie TBC as if ni TV yenu tuu au ni mali yenu. TBC ni TV yetu sisi sote Watanzania, tuna wajibu wa kuhakikisha Watanzania wote, tunapata excess ya kuitumia TBC kwa manufaa ya taifa na sio kama ilivyo sasa, kutumika zaidi kwa manufaa ya serikali mpaka wengi wakiidhania TBC ni TV ya Serikali, kitu ambacho sio cha kweli!. TBC ifungue zaidi milango yake ya vipindi kwa kuruhusu vipindi kutoka outside kwa independent producers na production houses ili kupata diversity na good mix from the society.

Wito kwa wapinzani, mnapapata fursa za kuwa coved live, mna wajibu wa kuwa wastaarabu kwa kutangaza sera, na kutumia lugha za staha na sio lugha za kuudhi.

Ndio maana nimeuliza, kama upinzani wenyewe ndio huu tuliouona kwa Chadema, halafu hawa ndio watu wanaotaka Watanzania tuwape Ikulu yetu watutawale, kama hata kujitawala wenyewe tuu ni issue, hili la kuwapa nchi, itakuwaje?

Namalizia kwa lile swali la msingi la bandiko hili, jee Tanzania tuna upinzani wa kweli, upinzani makini, wenye the ability, the capacity and the capabilities za kuleta upinzani wa kweli wenye uwezo wa kuing'oa CCM madarakani na wenyewe kutawala nchi yetu?, au upinzani wetu hapa Tanzania kiukweli kabisa ni bado sana?

Paskali
Kiukweli jana nimesikitika sana kwa kitendo cha TBC kufukuzwa na Mweneykiti wa Chadema Mh. Mbowe. Nilijitahidi kutoka kazini mapema ili nipate wasaa mzuri wa kuwashuhudia Chadema wakifanya uzinduzi wa kampeni zao ili niweze kupata ushawishi wa kuwachagua lakini nilichoambulia kukisikia ni kufukuzwa kwa TBC kutoka hapo viwanjani ikabidi nibadili ratiba nikagonge bia tu. Leo ni siku ya CCM tutawasikiliza na tutaendelea kuwasikiliza. Technically kwa picha ya jana ya Chadema kuwafukuza TBC imejenga taswira mbaya sana dhidi yao toka kwa wapiga kura, hata wale waliokuwa pale viwanjani Mbagala wengi wali-withdraw usikivu kwa viongozi wa Chadema na kuanza kuwaangalia TBC wakiwa wanajiandaa kuondoka wakati huo matangazo yakiwa LIVE. Kwa kweli niliboreka kwa kile alichokifanya Mbowe.
 
Paskali
Huu unao uona udhaifu wa wapinzani umetokana na yafuatayo
-Kwa miaka 5 ccm na jpm walifanya siasa watakavyo lakini wapinzani marufuku
-Uchaguzi serikali za mitaa tume ilikata wagombea asilimia 90+ ya wagombea wa upinzani na ccm kupata ushindi wa mezani
-Vyombo vyote vya habari vinatangaza habari za upande mmoja tu ccm.....ukileta kiherehere cha kutangaza upinzani unakula kitanzi mazima
-Wana harakati wa upinzani ama wako jela au wamepotea kusiko julikana
-Uchaguzi huu tayari ccm imeisha fanya figisu na kujitangulizia ushindi wa mezani kwa wabunge wa upinzani kuengeliwa na wa ccm kupita bila hata kupigiwa kura wabuge zaidi ya 100 na madiwani zaidi ya 500 nchi nzima
- Halafu tbc wanakuja kurusha matangazo live lakini wanachofanya ni kuweka watangazaji studio wanaokata kata matangazo ya live na kuanza kuponda kinachoendelea

Sasa katika mazingira haya ni haki yako kudhani wapinzani ni dhaifu
Anajua yote tena vizuri sana ila kaamua kujitoa ufahamu ili akidhi vigezo vya kuwa mwanaccm
IMG-20200627-WA0015.jpg
 
Wanabodi,

Kipenga cha kuanza kwa kampeni za Uchanguzi Mkuu ujao kimepulizwa leo na fungua dimba amekuwa Chadema.
Nimeangalia kidogo kupitia live ya TBC, kiukweli nilichoshuhudia, ndicho kimenipelekea mimi kuanzisha huu uzi ambao ni swali.

Je, Tanzania tuna upinzani wa kweli, upinzani makini, wenye the ability, the capacity and the capabilities za kuleta upinzani wa kweli wenye uwezo wa kuing'oa CCM madarakani?, au upinzani wetu hapa Tanzania ni bado sana?.

Nimeuliza hivi kufuatia nilichokishuhudia leo, kwenye uzinduzi kampeni za Chadema, pale uwanja wa Mbagala Zakhem, kiukweli ...
kwa vile na mimi siku hizi ni kada, kuna vitu naomba nisiviseme nikaonekana ni kupiga siasa!.

Kwanza natoa hongera kwa Television ya Taifa, TBC kutangaza live uzinduzi huo wa kampeni za Chadema!. Japo matangazo yenyewe ni kwa kukata kata, lakini something is better than nothing!.

Je, kitendo alichofanya M/Kiti Mbowe, kuwafukuza live TBC, huku wakiwa live ni sawa?!.

Nimetoa pongezi na hongera kwa TBC kutangaza live matangazo ya uzinduzi kampeni za Chadema!, ile tuu TBC kukubali kutangaza live uzinduzi wa Chadema huku unajua kabisa watu wa type yao ni wasemji wa namna gani!, huku Mbowe, huku Lissu, huku Lema, na bado TBC ikakubali kuwapa live, hatua hii pekee, inastahili pongezi.

Lakini Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Mbowe aliposimama kuzungumza, aliwafukuza live TBC huku wakiwa live hewani!. Kitendo alichofanya Mwenyekiti Mbowe, cha kuwafukuza TBC, sio sawa, it is not right, hajaitendea haki TBC, hajaitendea haki media, hajaitendea haki Chadema, hajawatendea haki Watanzania kukosa kusikia sera za Chadema.

Hasira za Mkizi kwenye siasa, kiukweli kabisa hazisaidii kitu!.

Wakati Mhe Mbowe anasema TBC wamekata matangazo, TBC ilikuwa iko live wakati Mhe. Mbowe akitangaza kuwafukuza na kuwasingizia kuwa TBC wamekata matangazo, ilikuwa sii kweli kwasababu TBC walikuwa live kabisa na hawajakata matangazo!, kitendo cha Mwenyekiti Mbowe kuwafukuza TBC na kuwaambia TBC waondoke, sio kitendo cha kistaarabu, hakikubaliki, vyama vya habari tusilinyamazie hili, Mhe. Mbowe akemewe, Chadema ikemewe, na TBC ipongezwe kwa kujaribu.

Kitu ambacho ni kweli nilikiona ni TBC kuwa na kibarua kigumu cha kufanya censorship matamshi yoyote hatarishi na ya kichochezi. Sii wengi wanajua kuwa kwenye matangazo ya live, mtu ambaye yuko responsible na kinachorushwa hewani, sio yule msemaji, bali ni mrusha matangazo, yaani TBC, hivyo mwanasiasa anapoibuka na kutoa kauli za kiajabu ajabu, ambazo ni za uchochezi au kuhatarisha amani, utulivu na mshikamano wetu, then TBC wanakuwa hawana jinsi zaidi ya kufanya censorship, ndio maana matangazo yalikuwa yanakatwa katwa na kurudishwa studio.

NB. Ikitokea Chadema ikashindwa kwenye uchaguzi, isilalamike kuwa CCM imebebwa na TBC ndio maana ikashinda, Chadema wamepewa fursa ya kuitumia TBC, Chadema wenyewe ndio wamekataa na kuwafukuza TBC, hivyo sasa wanategemea nini?.

Hizi ni Hasira za Mkizi!

Hata hivyo, TBC tunapoelekea kwenye uchaguzi wa vyama vingi, TBC inatakiwa iji redifine its role kwenye uchaguzi, wengi wanaidhania TBC kuwa ni TV ya serikali!, kiukweli, TBC japo inagharimiwa na serikali sio kama TV yake, TBC sio TV ya serikali, TBC na RTD ni Public Broadcasting Stations, ambayo ni TV ya umma na Redio ya umma ambayo is paid by taxpayers money kutoka serikalini lakini inatakiwa kuwatumikia Watanzania wote , wa vyama vyote kwa haki sawa na kwa usawa bila upendeleo unaoonekana kwa CCM kupendelewa zaidi!.

TBC inabidi iwatumikie watu wote ikiwemo serikali na sio kuitumikia serikali as if kwasababu ni malí yake, TBC sio mali ya serikali ni mali ya umma kwa udhamini wa serikali kama ilivyo BBC!. Vyombo vya habari vya serikali ni gazeti la Daily News, Habari Leo, Idara ya Habari Maelezo, na The Government Gazzette.

Kwa hali ya siasa ilivyo sasa, TBC is as if inaipendelea sana serikali na CCM kwa kurusha matukio ya serikali au ya CCM bila any censorship lakini kwenye mikutano ya upinzani kwa kufanya censorship ya kiana kwa kurejea studio.

Viongozi wa TBC na viongozi serikali wanapaswa kuiwezesha TBC kwa rasilimali watu na rasilimali fedha kuweza kuwatumikia wananchi wote Watanzania kikamilifu na hata kuisaidia serikali kwa kuweka vipindi critical kwa serikali ambavyo vitafanya a constructive criticism kwa lengo la kujenga na sio kubomoa na huko ndiko kuisaidia serikali kiukweli.

Na nyinyi CCM na waserikali, msiitumie TBC as if ni TV yenu tuu au ni mali yenu. TBC ni TV yetu sisi sote Watanzania, tuna wajibu wa kuhakikisha Watanzania wote, tunapata excess ya kuitumia TBC kwa manufaa ya taifa na sio kama ilivyo sasa, kutumika zaidi kwa manufaa ya serikali mpaka wengi wakiidhania TBC ni TV ya Serikali, kitu ambacho sio cha kweli!. TBC ifungue zaidi milango yake ya vipindi kwa kuruhusu vipindi kutoka outside kwa independent producers na production houses ili kupata diversity na good mix from the society.

Wito kwa wapinzani, mnapapata fursa za kuwa coved live, mna wajibu wa kuwa wastaarabu kwa kutangaza sera, na kutumia lugha za staha na sio lugha za kuudhi.

Ndio maana nimeuliza, kama upinzani wenyewe ndio huu tuliouona kwa Chadema, halafu hawa ndio watu wanaotaka Watanzania tuwape Ikulu yetu watutawale, kama hata kujitawala wenyewe tuu ni issue, hili la kuwapa nchi, itakuwaje?

Namalizia kwa lile swali la msingi la bandiko hili, jee Tanzania tuna upinzani wa kweli, upinzani makini, wenye the ability, the capacity and the capabilities za kuleta upinzani wa kweli wenye uwezo wa kuing'oa CCM madarakani na wenyewe kutawala nchi yetu?, au upinzani wetu hapa Tanzania kiukweli kabisa ni bado sana?

Paskali
Njaa yako ilikuletea uoga, uoga wako ukakufanya mnafiki.
Unafiki umekufanya mtumwa.
Inabidi uendelee kushangilia chochote kitokacho kwa 'BWANA', hata kama ni kibaya vilevile na hata kuzidi alichotufanyia MKOLONI mweupe.
 
Hoja ujibiwa kwa hoja sio matusi , ni kweli TBC awatendi haki lakini ni sahihi kuwafukuza.

Labda nadhani mwenyekiti angemwambia Ayoub lyoba hicho unachofanya si haki kwa nini unakata kata matangazo.

Labda Ayoub anacho cha kujitetea lakini Sasa unapeleka ujumbe kwa media zingine waone katika mikutano ya CDM Usalama hakuna
Leo mmewafukuza ipo siku mtawapiga kabisa waandishi wa habari msiowataka.

Hapa CDM mmejibomoa wenyewe kwa jazba zenu

Japo najua mwenyekiti uwenda alipiga ile chupa ya faru John,,
Amueleze Mkurugenzi ili matangazo yarudiwe au iweje! Ile mkutano umekwishapita na TBC wametimiza lengo lao waliloendea na CCM itawapongeza, ila tuliokuwepo kwenye mkutano TBC hatuwapendi wala hamhitajiki kwenye mkutano ya Chadema, Mhe. Mbowe nawe haukufanya busara kuwapa muda mrefu vile wa kuondoka, dakika zisizozidi kumi zingewatosha na hizo waya zao wangekwenda kunjia ofisini kwao.
 
Mkuu sindano imeingia hii, ukiona reaction basi ujue wamekula hii dawa

1.mbowe kakurupuka, hajagundua impact yake
2.kafuata mkumbo
3.kama TBC walifanya ili afanye alichofanya wamefanikiwa sana, hii ni ile unamtemea mate kijanja adui yako uwanjani au kumtusi aki react kwa kukupiga ngumi ndio anaonekana na kupewa kadi nyekundu, kama tes tka fail

4. Same scenario CCM wataibeba na kuutangazia umma wa nje ya nchi, hakuna atakayejua kuwa yalikatwa katwa? How? Kwani kila mmoja kaona?

It was good baada ya hapo alalamike kuwa TBC walikatakata then angesubiri next time!!!!!


Sawa hawa vipofu wa humu ambao kwao mbowe ni saint hawana akili yako ya kuona haya

Pia ndio ujue tuna wengi IQ ya reality ni ndogo mno japo wana degree, diploma na nafasi nzuri makazini mwao. Kwao emotion imetawala brains zao

Ndio hawa ambao wanaamini kabisa Lissu anashinda urais? Then upate shida nao? Huzunika kama unakuwa challenged na watu wenye upeo kama wako

Keep on smiling
Nilidhani kuwa huu ndio mtazamo wako.
'You are not supposed to be so blind with patriotism that you can't face reality. Wrong is wrong no matter who says it'. Malcom X
Hivi hii 'quote' inaendanaje na uliyobwabwaja juu?
 
Professor Baregu sijui anafanya nini muda wote aliokuwa chadema ameshindwa kuwafundisha siasa za kistaarabu au amewafundisha lakini hawamsikilizi wakati wa kampeni wananchi wanataka kujua mtafanya nini swala la wabunge linaweza kufatiliwa huku kampeni zinaendelea na sio kulazimisha
 
Back
Top Bottom