Je, Tanzania tunahitaji Gen Z?

Je, Tanzania tunahitaji Gen Z?

Mmekuwa kama wajinga jana mlisema jeshi lipo barabarani hawataonekana leo mnasema ukabila 🤣🤣.
Mkuu sio lazima kila wanachofanya muige kama wao wanataka raisi atoke madarakani nyie mumshinikize huyu wenu watendaji wawajibishwe lakini pia akomeshe utekaji nyara ma mauwaji ya raiya mkaishia hapo...sio lazima kila kitu mfanye kama wao
 
Mmekuwa kama wajinga jana mlisema jeshi lipo barabarani hawataonekana leo mnasema ukabila 🤣🤣.
Mkuu sio lazima kila wanachofanya muige kama wao wanataka raisi atoke madarakani nyie mumshinikize huyu wenu watendaji wawajibishwe lakini pia akomeshe utekaji nyara ma mauwaji ya raiya mkaishia hapo...sio lazima kila kitu mfanye kama wao
Sawa
 
Kwa mtazamo wangu Tanzania hatuhitaji hicho kizazi hata kidogo,,kwa wengine wanaona hiyo generation ni babu kubwa na kutamani nasi tungekuwa nayo

Jirani zetu wakenya huenda wanastahili kuwa nayo kutokana na back ground yao,,kwa sababu ukabila ni sehemu ya maisha yao ya kila siku,hata siasa zao kwa mlengo mkubwa zina chagizwa sana na ukabila

Si ajabu hata hali hiyo kufikia sasa imehamasishwa sana na ukabila,,,tukio la hivi karibuni pamoja na raisi wao kutoamua kusaini huo mswada na kutaka urejeshwe bungeni lakini bado hiyo gen z inakuja na matakwa mengine ya kutaka kumtoa raisi wao madarakani

Hapa ndipo unapojiuliza je,kuna nini nyuma ya pazia? Unapata picha kwamba kuna ajenda kubwa ambayo imejificha nyuma yake,,,je vijana wataendelea kutumika kama daraja ili wenye ajenda zao wafanikishe mpango wao?

Hapa ndipo ambapo kijana unatakiwa utumie ule msemo wa Jk "akili za kuambiwa changanya na zako" mwisho wa kunukuu.

Mpaka sasa tumeona maafa makubwa yametokea,,kuna ambao wamepoteza uhai wao na kuacha majonzi katika familia,ndugu jamaa na marafiki.

Natambua kwamba ili mabadiliko yapatikane wakati mwengine baadhi yetu inatakiwa tujitoe mhanga ili kizazi kijacho kifurahie matunda yetu kama ambavyo wafanyakazi wa viwandani zamani walivyojitoa mhanga mpaka leo haki za wafanyakazi zinatambulika na kuheshimika kimataifa.

Kwanini nasema Tanzania hatuhitaji gen z? Kwasababu ukitaka kujifunza mambo kutoka kwa watu basi jifunze kupitia makosa yao,,kwani utapata kujifunza kuyaepuka makosa yao na kufuata yale ambayo yataleta tija zaidi .

Yaliyotokea kwa wenzetu tumeyaona tena sio mara ya kwanza,tuliwahi kuona vurugu kama hizi miaka ya nyuma na maafa mengi yalitokea, je nasi tunataka maafa kama hayo kwa kivuli cha gen z?


Hapana Tanzani tuna namna yetu ya kudili na mambo yetu,,kikubwa tutumie nguvu ya ballot box kuonyesha malengo yetu ni nini? Na pili ni kupaza sauti na kukosoa serikali kwa ustaarabu pale inapo bidi,,huu ndio ustaarabu wa taifa letu pendwa

Tusidhani kuingia barabarani na kuvunja amani ya nchi njia pekee ya kutatua kero zetu,,na siku zote njia ya mazumgumzo ndio njia muafaka katika kufikia maelewano,,wewe angalia hata katika historia,watu watanyanyua mitutu lakini mwisho wa siku watakaa mezani na kuyazungumza. Je kuna haja gani ya kuanzisha vurugu na kupata athari kubwa kisha baadae ndio tuje kuzungumza?

Mwisho Viongozi wa nchi hii,yanayo tokea kwa majirani nadhani mnayaona,,msingoje ikatokea gen z kama ya wenzetu ndio mje kusema lau tungejua,,nikiwa kama mtu aliye somea Sayansi ya Siasa nafahamu kwamba Kiongozi anatakiwa kunusa viashiria vya migogoro vikiwa katika hatua ya mwanzo kabisa kabla havijawa vikubwa na kuwa bomu ambalo kulishughulikia itachukua nguvu kubwa sana.

Viashiria tayar vipo hapa nchini kwetu tena vingi tu,basi tusiwe vyura kwani itafika kipindi watu watachoka na watasema kama mbwai mbwai,,sipendi tufikie huko,,hii nchi ni kisiwa cha amani na utulivu basi na iwe hivyo siku zote.

Gracias

Ni hayo tu!
We sijui kama ni mtanzania kweli hata mababu zetu waliuwawa ili sisi tuwe huru kwa hyo gharama haziepukiki waambie watawala wako waendelee kutumia mabavu na kuwadharau wananchi ipo siku yao inakuja.
 
Kwani mkuu nimekosea kuelezea?
Hii dhana ya kugawa vizazi kwenye generations, ilianzia marekani, waligawanya vizazi vyao kulingana na mabadiliko ya kijamii ,kiuchumi na kisiasa kwa vipindi maalumu vya nyakati , kulingana na muonekano wa mabadiliko kwenye vizazi vyao .

Kwa dhana hii , kulinganisha na mabadiliko ya kiuchumi na kisiasa na kijamii kwa Tanzania bado haijakidhi vigezo vya kuwa na kizazi z generations kwa mujibu wa waasisi wa hizi generations.
 
Hii dhana ya kugawa vizazi kwenye generations, ilianzia marekani, waligawanya vizazi vyao kulingana na mabadiliko ya kijamii ,kiuchumi na kisiasa kwa vipindi maalumu vya nyakati , kulingana na muonekano wa mabadiliko kwenye vizazi vyao .

Kwa dhana hii , kulinganisha na mabadiliko ya kiuchumi na kisiasa na kijamii kwa Tanzania bado haijakizi vigezo vya kuwa na kizazi z generations kwa mujibu wa waasisi wa hizi generations.
Ok nimekuelewa
Kwa US wanasema ni late 1990's hadi 2010's lakini kwa Africa sidhani...

Tukiachana na waasisi, naona kwetu hio ndio Gen Z yetu.

we si unaelewa huku January Makamba anaitwa kijana😀, na Mo Dewji anaitwa tajiri kijana.
 
Kwa mtazamo wangu Tanzania hatuhitaji hicho kizazi hata kidogo,,kwa wengine wanaona hiyo generation ni babu kubwa na kutamani nasi tungekuwa nayo

Jirani zetu wakenya huenda wanastahili kuwa nayo kutokana na back ground yao,,kwa sababu ukabila ni sehemu ya maisha yao ya kila siku,hata siasa zao kwa mlengo mkubwa zina chagizwa sana na ukabila

Si ajabu hata hali hiyo kufikia sasa imehamasishwa sana na ukabila,,,tukio la hivi karibuni pamoja na raisi wao kutoamua kusaini huo mswada na kutaka urejeshwe bungeni lakini bado hiyo gen z inakuja na matakwa mengine ya kutaka kumtoa raisi wao madarakani

Hapa ndipo unapojiuliza je,kuna nini nyuma ya pazia? Unapata picha kwamba kuna ajenda kubwa ambayo imejificha nyuma yake,,,je vijana wataendelea kutumika kama daraja ili wenye ajenda zao wafanikishe mpango wao?

Hapa ndipo ambapo kijana unatakiwa utumie ule msemo wa Jk "akili za kuambiwa changanya na zako" mwisho wa kunukuu.

Mpaka sasa tumeona maafa makubwa yametokea,,kuna ambao wamepoteza uhai wao na kuacha majonzi katika familia,ndugu jamaa na marafiki.

Natambua kwamba ili mabadiliko yapatikane wakati mwengine baadhi yetu inatakiwa tujitoe mhanga ili kizazi kijacho kifurahie matunda yetu kama ambavyo wafanyakazi wa viwandani zamani walivyojitoa mhanga mpaka leo haki za wafanyakazi zinatambulika na kuheshimika kimataifa.

Kwanini nasema Tanzania hatuhitaji gen z? Kwasababu ukitaka kujifunza mambo kutoka kwa watu basi jifunze kupitia makosa yao,,kwani utapata kujifunza kuyaepuka makosa yao na kufuata yale ambayo yataleta tija zaidi .

Yaliyotokea kwa wenzetu tumeyaona tena sio mara ya kwanza,tuliwahi kuona vurugu kama hizi miaka ya nyuma na maafa mengi yalitokea, je nasi tunataka maafa kama hayo kwa kivuli cha gen z?


Hapana Tanzani tuna namna yetu ya kudili na mambo yetu,,kikubwa tutumie nguvu ya ballot box kuonyesha malengo yetu ni nini? Na pili ni kupaza sauti na kukosoa serikali kwa ustaarabu pale inapo bidi,,huu ndio ustaarabu wa taifa letu pendwa

Tusidhani kuingia barabarani na kuvunja amani ya nchi njia pekee ya kutatua kero zetu,,na siku zote njia ya mazumgumzo ndio njia muafaka katika kufikia maelewano,,wewe angalia hata katika historia,watu watanyanyua mitutu lakini mwisho wa siku watakaa mezani na kuyazungumza. Je kuna haja gani ya kuanzisha vurugu na kupata athari kubwa kisha baadae ndio tuje kuzungumza?

Mwisho Viongozi wa nchi hii,yanayo tokea kwa majirani nadhani mnayaona,,msingoje ikatokea gen z kama ya wenzetu ndio mje kusema lau tungejua,,nikiwa kama mtu aliye somea Sayansi ya Siasa nafahamu kwamba Kiongozi anatakiwa kunusa viashiria vya migogoro vikiwa katika hatua ya mwanzo kabisa kabla havijawa vikubwa na kuwa bomu ambalo kulishughulikia itachukua nguvu kubwa sana.

Viashiria tayar vipo hapa nchini kwetu tena vingi tu,basi tusiwe vyura kwani itafika kipindi watu watachoka na watasema kama mbwai mbwai,,sipendi tufikie huko,,hii nchi ni kisiwa cha amani na utulivu basi na iwe hivyo siku zote.

Gracias

Ni hayo tu!
Kizazi hiki hapa Tanzania kipo, yaani "Zoomers", kwani hawa ni vijana wazaliwa wa kati ya mwaka 1995 hadi 2009.

"Generation Z (often shortened to Gen Z), colloquially known as Zoomers, is the demographic cohort succeeding Millennials and preceding Generation Alpha. Researchers and popular media use the mid-to-late 1990s as starting birth years and the early 2010s as ending birth years. Most members of Generation Z are the children of Generation X or older Millennials" - Source Wikipedia.
 

Attachments

  • IMG_20240627_165719.jpg
    IMG_20240627_165719.jpg
    48.8 KB · Views: 5
Kwa mtazamo wangu Tanzania hatuhitaji hicho kizazi hata kidogo,,kwa wengine wanaona hiyo generation ni babu kubwa na kutamani nasi tungekuwa nayo

Jirani zetu wakenya huenda wanastahili kuwa nayo kutokana na back ground yao,,kwa sababu ukabila ni sehemu ya maisha yao ya kila siku,hata siasa zao kwa mlengo mkubwa zina chagizwa sana na ukabila

Si ajabu hata hali hiyo kufikia sasa imehamasishwa sana na ukabila,,,tukio la hivi karibuni pamoja na raisi wao kutoamua kusaini huo mswada na kutaka urejeshwe bungeni lakini bado hiyo gen z inakuja na matakwa mengine ya kutaka kumtoa raisi wao madarakani

Hapa ndipo unapojiuliza je,kuna nini nyuma ya pazia? Unapata picha kwamba kuna ajenda kubwa ambayo imejificha nyuma yake,,,je vijana wataendelea kutumika kama daraja ili wenye ajenda zao wafanikishe mpango wao?

Hapa ndipo ambapo kijana unatakiwa utumie ule msemo wa Jk "akili za kuambiwa changanya na zako" mwisho wa kunukuu.

Mpaka sasa tumeona maafa makubwa yametokea,,kuna ambao wamepoteza uhai wao na kuacha majonzi katika familia,ndugu jamaa na marafiki.

Natambua kwamba ili mabadiliko yapatikane wakati mwengine baadhi yetu inatakiwa tujitoe mhanga ili kizazi kijacho kifurahie matunda yetu kama ambavyo wafanyakazi wa viwandani zamani walivyojitoa mhanga mpaka leo haki za wafanyakazi zinatambulika na kuheshimika kimataifa.

Kwanini nasema Tanzania hatuhitaji gen z? Kwasababu ukitaka kujifunza mambo kutoka kwa watu basi jifunze kupitia makosa yao,,kwani utapata kujifunza kuyaepuka makosa yao na kufuata yale ambayo yataleta tija zaidi .

Yaliyotokea kwa wenzetu tumeyaona tena sio mara ya kwanza,tuliwahi kuona vurugu kama hizi miaka ya nyuma na maafa mengi yalitokea, je nasi tunataka maafa kama hayo kwa kivuli cha gen z?


Hapana Tanzani tuna namna yetu ya kudili na mambo yetu,,kikubwa tutumie nguvu ya ballot box kuonyesha malengo yetu ni nini? Na pili ni kupaza sauti na kukosoa serikali kwa ustaarabu pale inapo bidi,,huu ndio ustaarabu wa taifa letu pendwa

Tusidhani kuingia barabarani na kuvunja amani ya nchi njia pekee ya kutatua kero zetu,,na siku zote njia ya mazumgumzo ndio njia muafaka katika kufikia maelewano,,wewe angalia hata katika historia,watu watanyanyua mitutu lakini mwisho wa siku watakaa mezani na kuyazungumza. Je kuna haja gani ya kuanzisha vurugu na kupata athari kubwa kisha baadae ndio tuje kuzungumza?

Mwisho Viongozi wa nchi hii,yanayo tokea kwa majirani nadhani mnayaona,,msingoje ikatokea gen z kama ya wenzetu ndio mje kusema lau tungejua,,nikiwa kama mtu aliye somea Sayansi ya Siasa nafahamu kwamba Kiongozi anatakiwa kunusa viashiria vya migogoro vikiwa katika hatua ya mwanzo kabisa kabla havijawa vikubwa na kuwa bomu ambalo kulishughulikia itachukua nguvu kubwa sana.

Viashiria tayar vipo hapa nchini kwetu tena vingi tu,basi tusiwe vyura kwani itafika kipindi watu watachoka na watasema kama mbwai mbwai,,sipendi tufikie huko,,hii nchi ni kisiwa cha amani na utulivu basi na iwe hivyo siku zote.

Gracias

Ni hayo tu!
Wewe ni ignorant ila unataka kujifanya mjuaji.


1. Kwanza, Napinga suala la ukabila. Maandamano ya Kenya yamefanyika nchi nzima. Kuanzia Nairobi, Isiolo, Nyeri , Eldoret kwa Ruto, Mombasa etc. kule Eldoret kwa Ruto watu waliishusha alama ya mkokoteni wa UDA katikati ya mji, Nyeri kwa Gachagua Wakikuyu walishambulia Supermarket ya mbunge wa UDA na kufanyaaandano makubwa. Giturai 45 kwa Wakikuyu maandamano makubwa yalifanyika Hadi vijana kulimwa risasi na kufariki.

Swali linakuja Kama kwenye ngome ya Ruto na Gachagua maandamano yamefanyika sambamba na Kisumu, Mombasa na Kakamega je ukabila upo wapi hapo?.


2. Pili, Hakuna mkono wa mtu kwenye maandamano haya. Makamu wa Rais Gachagua amekiri Gen Z Wakenya hawakuwa na kiongozi ndio maana walifanikiwa azma yao ya kuingia bungeni na kuliharibu ili akili irudi Kwa wabunge wasiojitambua.

3. Tatu, naomba nikushauri, usipende kuangalia matokeo angalia chanzo Cha matokeo. Shida yako unaangalia matokeo ya maandamano ya Gen Z bila kuangalia chanzo Cha maandamano ya Gen Z. Chanzo ni wabunge kutoheshimu maoni ya wananchi na baadala yake kutaka kumfurahisha Ruto.

Siku nyingine tumia nguvu kubwa kujadili bajeti ya Tanzania.
 
Kinazungumziwa 'kizazi' mithili ya Kapelo au Kobazi za Kimasai.
Hizi shule zetu sijui huwa zinafundisha nini?
 
Kwa mtazamo wangu Tanzania hatuhitaji hicho kizazi hata kidogo,,kwa wengine wanaona hiyo generation ni babu kubwa na kutamani nasi tungekuwa nayo

Jirani zetu wakenya huenda wanastahili kuwa nayo kutokana na back ground yao,,kwa sababu ukabila ni sehemu ya maisha yao ya kila siku,hata siasa zao kwa mlengo mkubwa zina chagizwa sana na ukabila

Si ajabu hata hali hiyo kufikia sasa imehamasishwa sana na ukabila,,,tukio la hivi karibuni pamoja na raisi wao kutoamua kusaini huo mswada na kutaka urejeshwe bungeni lakini bado hiyo gen z inakuja na matakwa mengine ya kutaka kumtoa raisi wao madarakani

Hapa ndipo unapojiuliza je,kuna nini nyuma ya pazia? Unapata picha kwamba kuna ajenda kubwa ambayo imejificha nyuma yake,,,je vijana wataendelea kutumika kama daraja ili wenye ajenda zao wafanikishe mpango wao?

Hapa ndipo ambapo kijana unatakiwa utumie ule msemo wa Jk "akili za kuambiwa changanya na zako" mwisho wa kunukuu.

Mpaka sasa tumeona maafa makubwa yametokea,,kuna ambao wamepoteza uhai wao na kuacha majonzi katika familia,ndugu jamaa na marafiki.

Natambua kwamba ili mabadiliko yapatikane wakati mwengine baadhi yetu inatakiwa tujitoe mhanga ili kizazi kijacho kifurahie matunda yetu kama ambavyo wafanyakazi wa viwandani zamani walivyojitoa mhanga mpaka leo haki za wafanyakazi zinatambulika na kuheshimika kimataifa.

Kwanini nasema Tanzania hatuhitaji gen z? Kwasababu ukitaka kujifunza mambo kutoka kwa watu basi jifunze kupitia makosa yao,,kwani utapata kujifunza kuyaepuka makosa yao na kufuata yale ambayo yataleta tija zaidi .

Yaliyotokea kwa wenzetu tumeyaona tena sio mara ya kwanza,tuliwahi kuona vurugu kama hizi miaka ya nyuma na maafa mengi yalitokea, je nasi tunataka maafa kama hayo kwa kivuli cha gen z?


Hapana Tanzani tuna namna yetu ya kudili na mambo yetu,,kikubwa tutumie nguvu ya ballot box kuonyesha malengo yetu ni nini? Na pili ni kupaza sauti na kukosoa serikali kwa ustaarabu pale inapo bidi,,huu ndio ustaarabu wa taifa letu pendwa

Tusidhani kuingia barabarani na kuvunja amani ya nchi njia pekee ya kutatua kero zetu,,na siku zote njia ya mazumgumzo ndio njia muafaka katika kufikia maelewano,,wewe angalia hata katika historia,watu watanyanyua mitutu lakini mwisho wa siku watakaa mezani na kuyazungumza. Je kuna haja gani ya kuanzisha vurugu na kupata athari kubwa kisha baadae ndio tuje kuzungumza?

Mwisho Viongozi wa nchi hii,yanayo tokea kwa majirani nadhani mnayaona,,msingoje ikatokea gen z kama ya wenzetu ndio mje kusema lau tungejua,,nikiwa kama mtu aliye somea Sayansi ya Siasa nafahamu kwamba Kiongozi anatakiwa kunusa viashiria vya migogoro vikiwa katika hatua ya mwanzo kabisa kabla havijawa vikubwa na kuwa bomu ambalo kulishughulikia itachukua nguvu kubwa sana.

Viashiria tayar vipo hapa nchini kwetu tena vingi tu,basi tusiwe vyura kwani itafika kipindi watu watachoka na watasema kama mbwai mbwai,,sipendi tufikie huko,,hii nchi ni kisiwa cha amani na utulivu basi na iwe hivyo siku zote.

Gracias

Ni hayo tu!
Jifunze hapa kaka. Haiepukiki
IMG-20240627-WA0002.jpg
 
Umesema tutumie nguvu ya ballot box!? How?!... ballot box ina nguvu gani Tanzania?
Sisi watanzania wabinafsi sana.

Dawa ni kuliwasha tu kwa kina Mwigulu ndio tutaheshimiana.
 
Mtoa mada anamaanisha vijana wenye umri wa miaka 12 hadi 27 wote nchini Tz haiwahitaji wauliwe.
 
Back
Top Bottom