Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Yes kwasasa tunaviwanda vya kusoma SMS.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaa ...hivi aliropoka nini!!?Yes kwasasa tunaviwanda vya kusoma SMS.
hicho ulichosema kuwa hata wewe ulikisoma.
Hahaha chadema bhana, hata maana ya viwanda hamuelewi? Ukishawahi kusikia wakisema ,,the airline industry?”
kwani ndege zikija tunasema tunaenda kupokea ndege au kuzindua ndege? ndege imetoka kiwandani kutengenezwa halafu ikifika tz bado inaitwa kiwanda, acheni kuhamisha magoli kwahyo SGR nayo ni kiwanda?Hahaha chadema bhana, hata maana ya viwanda hamuelewi? Ukishawahi kusikia kitu kinaitwa ,,the airline industry?” Siyo ndege tu hata hoteli pia ni kiwanda!
Wee vipi! Ndege hizi haziwahusu mkitaka na nyie tafuteni hela zenu mnunue.kwani ndege zikija tunasema tunaenda kupokea ndege au kuzindua ndege? ndege imetoka kiwandani kutengenezwa halafu ikifika tz bado inaitwa kiwanda, acheni kuhamisha magoli kwahyo SGR nayo ni kiwanda?
we umetoa sh. ngapi kununua,?Wee vipi! Ndege hizi haziwahusu mkitaka na nyie tafuteni hela zenu mnunue.
kwani ndege zikija tunasema tunaenda kupokea ndege au kuzindua ndege? ndege imetoka kiwandani kutengenezwa halafu ikifika tz bado inaitwa kiwanda, acheni kuhamisha magoli kwahyo SGR nayo ni kiwanda?
Ahahahahahaha ndege mkuu nazo ndo viwanda vyenyewe ahahahahaha nadhani kwa jinsi ulivyosema chadema inainekana ndo vjina wa ccm mliooewa kaz machuoni mshambulie kwenye mitandao we utakua mwl nyerere we una akili ndo sana
Sent from my iPhone using JamiiForums
Uchademaism unakusumbua si kosa lako , Mungu mwenye rehema , akuhurumie.
Ha ha ha , mueleweshe , ufahamu wake unaweza kufunguka kutoka kwenye kifungo cha chademaisim.unaelewa maana ya ,,airline Industry?