Je, Taoism ni uchawi? Je, unaweza kutumia Taoism kutabiri mambo ya mbeleni? Nitajaribu kukuelewesha

Akili Kubwa sana
 
"Schrodinger's cat Hypothesis 🤣🤣🤣
 
"Kila kitu" ni nini kwanza?
Hapa sina Definition ya uhakika zaidi.

Binafsi labda niseme "Kila kitu" ni mambo yote yaliyomo duniani na chochote kilichopo kwenye universe.
Maana hatuwezi kujua kama kuna nguvu inayo control "kila kitu" kama hata hatujajua tunamaanisha nini tunaposema "kila kitu".
Hapa duniani kuna baadhi ya mambo hutokea ambayo sisi kama binadamu tunashindwa kuyadhibiti yasitokee.

Na mfano wa mambo haya ni kama majanga ya asili.

Sasa kinacho nitatiza, Je kuna nguvu yeyote au nguvu zozote zilizo nje ya uwezo wetu zinazo control mambo mengi zaidi yetu?

Je nguvu hizi ziliwezaje kutushinda sisi binadamu hadi hatuwezi kuzi control?

Kwa nini inalazimika sisi binadamu kufuata namna nguvu hizi zinavyo fanya kazi?

Kwa nini hatuwezi kwenda kinyume na nguvu hizi?
Je kuna uwezekano wa sisi binadamu kuzishinda nguvu hizi na kwenda kinyume na nguvu hizi jinsi zilivyo?

Mfano je kuna uwezekano wa binadamu kufanya mchana uendelee kuwa mchana na kudhibiti usiku usiingie?

Na kufanya chochote tujisikiacho bila kufuata taratibu za nguvu hizi?
 
1. Ni kweli. Lakini pia tuna gain zinazotufikia kutokanm kwenye jua, taa, mwezi, nyota, etcso it is a constant flux. And the amount is really negligible, I was more about making a philosophical point on the impossibility of measuring everything with perfect accuracy.

2. Ni kweli. Na hivyo ndivyo wanavyofanya kwenye astronomical observatories kama za Chike, Hawaii, Mount Wilson na hata tge space based kama Hubble na James Webb. The bigger the lens, the better the image kwa sababu kens kubwa ina uwezo wa kukusanya mwanga zaidi.

3. We emit radiation and photons anyway. Whether our photo is taken or not. The difference is, when our photo is taken, the photons are captured by the cameras lens, otherwise they just bounce of a wall or s9me other surface. My point was, it is hard to capture a person as that person really is at any instant, as the act of capturing the image (measuring) interfwres with what is being captured (the measured).
 
Mkuu huo mchoro una maana gani hapo?
 
I know, Ulikuwa unataka Kujustify kuhusu Measurements but Nilikuwa capture na interested in Photons na ndo maana nikaulza vingine vyote nilikuwa niko aware navyo na ndo maana sikuuliza..

So Additional Questions..
  • Point number 2 Brought alot Of QN Tena kwangu..So in those Telescopic Activities, Including satelite Capturing,Satelite imaging are they not capture alot of Energy from us?..
  • Najua tunanEmmit radiation (Infrared,Electromagnet na zingine)..Ila hatuoni kwamba harvesting ikiwa kubwa huenda inaweza kusababisha kutokwa na nyingi na kudisrupt the Frequency and wavelength as Ilivyokuwa Before the introduction ya hivyo vitu? (Nawaza tu "Ndo maana zaman walikuwa hawana magonjwa mengi kuliko Sasa cuz of Frequency disruptions)
 
Kwanza kabisa una maswali mazuri.

Binafsi ningependa kuachana na habari za "kila kitu". Hususan unapozidi kupanua wigo kwenda kwenye universe huko. Kuanza kuongelea "kila kitu" wakati kuna mambo mengi sana hatuyaelewi, ma singularity ya black holes yanafanya kazi vipi, ma worm holes yapo kweli au ni hesabu tu, dark energy inasababishwa na nini, dark matter ni nini, ulimwengu unavyo exoand utaendelea ku expand au utaacha, kwa nini?Tunayojua ni machache, tusiyojua ni mengi. Kwa hivyo naona kuongelea "kila kitu" ni kujimwambafy kwa hubris.

Yani hata huo ulimwengu unaousema, jina sahihi ni "the observable universe", kuna sehemu kubwa sana ya ulimwengu hata hatuwezi kuiona, na hatutaiona kamwe, kwa sababu expansion ya universe kati ya huko nabhuku ni kubwa kulikonspeed ya mwanga, kwa hivyo mwanga wa huko, electromagnetic waves za huko, habari zozoye za huko "unobservabke universe" haziwezi kutufikia kamwe, kwa mujibu wa fizikia tunayoijua leo.

Kwa nini tusianze kuongelea "vitu tunavyovijua" halafu polepole tuka branch out kuongeza wigo kadiri tunavyoongeza ujuzi? This way tutapunguza philosophizing na speculation, na tutajikita kwenye solid science zaidi.

Kuhusu maswali yako, nguvu kuu za kimsingi zipo nne. Gravity, electromagnetism. Strong nuclear force. Weak nuclear force. Pia kwenye karge scale kuna dark energy ambayo wana speculate kuwa ni the energy if space itself.

Kwa nini nguvu nyingine za asili zimetushinda kuzi control? Tunahitaji muda mrefu sana wa kusoma na ku experiment na kufanya research and development. Na hata hapo nina suspect kuna vitu vingine vina natural limit. Mfano, kwa Einstein's Relativity, kitu chochote chenye mass hakiwezi kurudi nyuma katika muda, hata ki atom kimoja, kikiwa na mass tu, kurudi nyuma katika muda inabidi kipite speed of light, na kadiri kinavyokaribia speed of light ndivyo mass yake inavyozidi kuongezeka na kukaribia infinity mass, which needs infinity energy to move it anywhere at any speed. Which means evennif you use the mass of the enyire universe as your energy source, you can't move one massive hydrogen atom a Planc Scale of length at the speed of light (as opposed to yhe usual room temperature speed if 1500 m/s).

So, going back in time seems out if the question. At keast according to Einstein's Relativity.

Ni muhimu kuelewa kuwa, complex tech ya kuweza ku control nguvu za asili inachukua muda. Watu kuwa na ubongo tulionao tu tumeupata just about 300,000 years ago, which is not very far ago.

Tumejitahidi ku control hizi forces. Gravity tumeiweza, tumerusha ndege hewani na roketi mpaka zimetoka kwenye solar system (Voyager 1).

Electromagnetism ndiyo huu umeme tunautumia kwenye vyombo vyote vya umeme.

Strong nuclear force tumecheza nayo kwenye nuclear power plants na nuclear weapons.

Weak nuclear force nuclear reacyors and MRI machines.

Kuna uwezekano wa kufanya mchana kuwa mchana na usiku usiingie?

Wachina washaanza kazi ya kutengeneza prototyoe ya artificial sun kwa sababu ya kuwapa energy, wamejipa goal kumaliza by 2035. Its not going to be as full of energy as the sun, but its a start.

In a way tulivyoanza kutengeneza taa za umeme tulianza hii safari ya kubadiki usiku kuwa mchana, kilichobaki ni ku scake up tu na kubotmresha teknolojia.


But do you really want to live in a world that has no night?

Kufanya chochite tujisikiacho is a complex proposition, kwa sababu kila mtu anajisikia vyake, na kutakuwa na sheria na miongozo kukataza vitu kama human cloning na vitu kama hivyo.
 
Ni kweli ulisema kuhusu mafundisho

Lakini sehemu ya "nguvu kuu" ndio ambayo inanitatiza mimi hapo.

Hoja yangu ni kwamba, kama kuna mtu anafanya kitu kisichohusiana na Taoisim halafu akapata outcome inayofanana na Taoisim je nayo utasema "nguvu kuu" ilihusika?

Kama kupitia Taoisim mtu anaweza kujua next moves na hiyo mechanism wewe umedai inahusisha mafunzo pamoja na "nguvu kuu " sasa vipi mtu mwingine anayeweza kubashiri next moves nje ya mfumo wa Taoisim huyu naye utamuelezeaje?

Kwa point hiyo huoni kama "nguvu kuu" imekuja kuchukua credit ambazo haistahili?
 
It is hugely negligible.I would be worried about the effects of x-ray and ultraviolet rays exposure, and especially nowadays, pollution and microplastics, than photon capture.
 
Wagunduzi wa ndege hawakupingana na nature walitazama nature ya ndege mnyama wakajifunza kanuni zake kupitia majaribio mbalimbali wakafaulu
 
Taonism nj elimi ya China lakini kila jamii ina namna yake ya kuitafsiri hio nguvu kuu.
 
Je kwa siku za mbeleni uwezekano wa binadamu kuja ku control nguvu zote hizi nne za gravity, eletromagnetism, strong nuclear force na weak nuclear force upo?

Pia je uwezekano wa kung'amua yaliyopo kwenye "unobservable universe" upo?

Kama kuna "Unobservable universe" huenda kuna viumbe wengine Unobservable creatures, Wenye uwezo zaidi yetu binadamu tuliopo kwenye observable universe?

Je akili na bongo zetu zipo limited kung'amua yaliyopo kwenye unobservable universe?

Kwa nini tushindwe kung'amua yaliyopo kwenye unobservable universe?

Kinachofanya vitu viwe na natural limit ni nini?

Pia kinachofanya sisi binadamu tushindwe kujua yote na kuweza kung'amua Unobservable universe ni nini?

Je kuna kitu kina Limit Bongo zetu kujua yote na kinatufanya tujue machache tu?

Kwa nini binadamu hatujui yote?

Je kuna kitu kina tufanya tushindwe kujua yote?
 
Huyo jamaa anachojuaga ni kupinga ana room ndogo sana ya kujifunza in short ni mjinga sana
 
Naye huyo anaujuaji na anapenda ligi za kitoto sana
Kamwe hatakaa akuelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…