Je, Taoism ni uchawi? Je, unaweza kutumia Taoism kutabiri mambo ya mbeleni? Nitajaribu kukuelewesha

Je, Taoism ni uchawi? Je, unaweza kutumia Taoism kutabiri mambo ya mbeleni? Nitajaribu kukuelewesha

Mtoa mada unaonesha wewe tayari umeshafungua ulimwengu wakiroho nandio maana unacho taka kukieleza hapa watu wanaona kama imagination tuu,au unataka kuchanganyikiwa ila ukweli haya mambo nielimu. Na elimu haina mwisho mimi nilipo anza kujifunza kuhusu uwezo tulio nao binadamu kwakupitia meditation ukweli nakiri hapa nikua nadhan nimambo yakipuzi ,utapeli+naniwatu walio feli maisha au elimu hawana kabisa.
Daaaaaaahh, nimambo mazito,yakushangaza nayasio weza kuelezeka.nachangia kwakusema kwamba unaweza kujua mambo ya 2099 naunaweza kujua mambo yaliopita miaka mingi sana ukiwa tumboni hata zaidi yahapo,unaweza kujua kifo chako kitakuaje nakila kitu kuhusu hilo ila bado nausiweze kuzuia kifo chako.
Hakuna ukweli kuhusu hili mkuu, tarzo lenu hamtaki kujua ila mnataka kuamini kwasababu kuamini ni rahisi kuliko kujua,
Kujua kunahitaji garama, ila kuamini kunahitaji akili na akili kila mmoja anayo ila garama sio kila mmoja anaweza kumudu,
Huu ni ujinga ambao inatupasa tuupige chini ili tuendelee na mambo mengine kama wenzetu .
 
Hakuna ukweli kuhusu hili mkuu, tarzo lenu hamtaki kujua ila mnataka kuamini kwasababu kuamini ni rahisi kuliko kujua,
Kujua kunahitaji garama, ila kuamini kunahitaji akili na akili kila mmoja anayo ila garama sio kila mmoja anaweza kumudu,
Huu ni ujinga ambao inatupasa tuupige chini ili tuendelee na mambo mengine kama wenzetu .
Unaowaita wenzetu, ni Mabingwa wa hizi mambo,

Tena mabingwa haswa.
 
Kwanza kabisa definitions, uchawi ni nini?
Kwakweli tunahitaji kufikiria tena si kwa nguvu sana, mambo mengi twaweza kuyabadilisha.
Mfano kuna member mmoja humu hizi aliwekwa uzi unaolaumu maskini kuwa ni wenye roho mbaya tena ni wachawi wanamroga. Ktk mambo mengi aliyoeleza, alidai kumwona jirani yake aliyekuwa uchi akiwa amesimama kwenye mpaka wa kiwanja chake. Mleta mada aliamini kuwa jirani yupo ktk process za kumroga!.
 
Navyojua mimi Taoism ni miongoni mwa dini za kichina katika maeneo ya tibet sasa sijui ww unazungumzia Taoism ipi
 
Hii Taoism inapatikana wapi hii haina tofauti na hadith za biblia na Quran kama kweli tuambueni 2024 kuna nini future vinginevyo haina tofauti na hadith za yesu au Mohamed
 
"In Taoism, nature is viewed as an integral part of the Tao, which is the fundamental force that flows through all things"

Hii sehemu yenyewe tu imekaa ambiguous.

Kwanza, inaanza kwa kutoeleza nature ni nini, inaanza kwa kueleza how nature is viewed in Taoism.

Hatuambiwi the essence of nature, tunaambiwa a Taoist interpretation of nature.

Halafu, tunaambiwa nature ni an integral part of the Tao. Which still does not tell us anything about the essence of nature. We are merely told of nature as a characteristic of the Tao.

Yani ni kama uambiwe kuwa "the atom is an integral part of matter". Hatujui characteristic za atom, hatujaambiwa ina spin, angular momentum, subatomic particles, how does it get to be an atom and not a molecule, tunajua characteristic za matter, you are telling us more about matter than the atom. Na hatujui kuwa kuna ma element na ma molecule nayo ni ma integral parts of matter.

You are telling us more about the Tao than about nature.

Halafu tunapata confusion zaidi tunapoambiwa "which is the fundamental force that flows through all things".

Which which is which?

Is the Tao the fundamental force that flows through all things? Or was this fundamental force which flows though all things part referring to nature?
Mkuu inavyoonekana unataka general definition ya nature, wakati huo mleta mada anakupa definition ya nature according to Taoism.
Kwa uelewa wangu kuna baadhi ya maneno yakawa yanaonekana yanafanana lakini yakapata definition tofauti kulingana na field husika inavyolitumia hilo neno, kwa mfano neno "POWER", ukienda kwenye physics watakuambia is tha study of matter in relations to energy.
Wakati neno hilohilo POWER ukienda kwenye Field ya International relations and Diplomacy watakwambia ni ability to influence others to act accordingly.
Kwahiyo usimlaumu kung'ang'ania maana ya nature kulingana na tafsiri ua Taoism maana kuna baadhi ya field uwa na uniqueness kwenye perception ya mambo ambayo wengi huyaona yana maana hii wao wakaja na maana tofauti ambayo ndiyo inafit kwenye matumizi yao.
 
Serikali inatumia pesa nyingi kusomesha watu wake ili wawe wajinga na Sio kuwa enlightenment
Kuna kiongozi mmoja aliwahi Kusema "Ujinga ni Mtaji mkubwa sana kwa Makanisa/Dini na watawala ili kuendelea akupata faida na Kutawala"
 
Back
Top Bottom