Je, Taoism ni uchawi? Je, unaweza kutumia Taoism kutabiri mambo ya mbeleni? Nitajaribu kukuelewesha

666
 
Utapoteza muelekeo sababu vyote vimewekwa kwenye mfumo maalumu ili vitende kazi
Kama binadamu tumeweza ku overcome Nature kwa baadhi ya mambo mfano kurusha ndege 🛫, kurusha satellites, kupeleka vyombo mwezini na anga za juu zaidi kwa kuweza ku overcome force of gravity, Je huoni kwamba siku za mbeleni tutaweza mambo mengi zaidi?
 
Wewe unataka kupewa majibu kulingana na kile unachofahamu tu na kutaka kila swali lifuate mrengo wa jibu unalotaka kusikia kama vile unavyo fahamu tu.

Ukisikia jibu tofauti na unalotaka kusikia unasema ni ubishi.
Umefanya nini kwenye world of science
Kwa sababu unatumia nguvu ya kubisha ili ushinde na sio hoja
 
Umefanya nini kwenye world of science
Kwa sababu unatumia nguvu ya kubisha ili ushinde na sio hoja
Sijafanya kitu.

Na hoji hiyo science inaweza kusolve vitu kwa kiwango kipi?

Maana kuna vitu vingi sana havina majibu licha ya sayansi kujaribu kutoa majibu ya muda tu.

Bado kuna maswali mengi kuliko majibu kwenye sayansi.
 
Tanzania vipimo vya akili ni vidogo
Hizo statement anazo-copy wikipedia ndo unamuona ana akili

Wewe mbona huleti sources zako za information?

Huelezi umefanya nini kwenye world of science?

Weka hapa researchs zako na tafiti zako za kisayansi tofauti na hizo za Wikipedia..
 
Daah ngoja nifatilie habari za chama na mondi 🤣🤣🤣
 
Wewe mbona huleti sources zako za information?

Huelezi umefanya nini kwenye world of science?

Weka hapa researchs zako na tafiti zako za kisayansi tofauti na hizo za Wikipedia..
Mimi sina ujuaji
Mimi taosim siijui ndo naisikia yaani kitu ambacho sikijui nianze kukipinga

Mimi sio wewe unapinga pinga tu hata mambo huyajui
 
Hakuna mapya yajayo yatakayoenda against nature
 
Wewe unataka kupewa majibu kulingana na kile unachofahamu tu na kutaka kila swali lifuate mrengo wa jibu unalotaka kusikia kama vile unavyo fahamu tu.

Ukisikia jibu tofauti na unalotaka kusikia unasema ni ubishi.
Nasaidia kumjibia uliyemuuliza.

Mimi nipo kujifunza hapa,

Sina nalofahamu kuhusu haya nayoyasoma hapa, sijatia neno lolote nipo natafakari ili badae katika tafakuri zangu nione kama ntapata maswali ya kumuuliza mtoa mada ili nielewe zaidi.


Hii ni tofauti na wewe, huwa unakuja juu na maswali ya kuonyesha wazi kuwa unapinga kwenye mada ambayo unaona hauielewi...

Ndio maana unaitwa kwa majina tofauti hapo, Mara kilaza and etc

Na kingine punguza pupa, Una pupa ya kujibu kila kitu ambacho hakitoshi kwenye uelewa wako ndio maana unaitwa mjuaji.

Wewe husomi ili uelewe unachokisoma, Unasoma haraka haraka ili uje kupinga unachokisoma.

Badilika.
 
What really is your point chief. Kama kuna maswal unaona hawajib sawa bas fanya wewe kuweka sawa na maelezo ya kutosha sote tujifunze. Ujue ukiuliza swal mara ya kwanza ukaluliza tena kwa njia nyine na tena na tena but hupat majibu, kwann usitoe wewe hiyo elimu ili kuwasaidoa unaowauliza maswali na hawakujibu?
 
Umefanya nini kwenye world of science
Kwa sababu unatumia nguvu ya kubisha ili ushinde na sio hoja
Yan mtu mbishi mbish huwa anakera sana.. kama unaona wewe una ufaham mpana huendan na watu but toa elimu au lah kaa kimya acha watu wajifunze..unapoona hapaend sawa badala ya kukosoa, elekeza!.
 
Mwamba unajua sana👍
 
Huyo alibahatika kutabiri na sio uchawi.
Sayansi ya uchawi ufanya KAZI kama ilivyo mfumo wa umeme lazima pawe na chanzo kupitia mawimbi nguvu ya uchawi inasafiri thus unaweza mloga mtu aliye marekani na akadhurika kupitia manuizi.
Naomba mniroge nipo Mwanza...mnitumie hayo manuizi yenu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…