Je, tatizo la Stroke linaweza kupona?

Je, tatizo la Stroke linaweza kupona?

Wakuu jana baada ya kurudi home nilivyotoka uwanjani taifa nilimkuta mzee wangu hawezi kutembea yaani upande wa kushoto haufanyi kazi nilipata maumivu mara mbili yaani nilifungwa kwenye timu na narudi home nakuta majanga je Stroke inaweza kupona maana jana nilifika kituo cha afya ili apime kipimo cha CitiScan majibu yakaja kuwa amepata damage upande wa ubongo hapa naongea huku natamani kulia mkono na mguu wake havifanyi kazi naomba kujua dawa au matibabu ya haraka yanayoweza kumfanya harudi katika Hali yake ya kawaida
Pole sanaa, tatizo hilo linapona mkuu chamsingi kupata tiba munasaba na chanzo cha tatizo hilo
 
Wakuu jana baada ya kurudi home nilivyotoka uwanjani taifa nilimkuta mzee wangu hawezi kutembea yaani upande wa kushoto haufanyi kazi nilipata maumivu mara mbili yaani nilifungwa kwenye timu na narudi home nakuta majanga je Stroke inaweza kupona maana jana nilifika kituo cha afya ili apime kipimo cha CitiScan majibu yakaja kuwa amepata damage upande wa ubongo hapa naongea huku natamani kulia mkono na mguu wake havifanyi kazi naomba kujua dawa au matibabu ya haraka yanayoweza kumfanya harudi katika Hali yake ya kawaida
anapona kuna jirani yangu kabisa kabisa kabisaa kijijini alikutana na hii issue mwaka jana mwez kama wa 5 hivi.. hadi sasahiv naandika hapa ni mzma anatembea, na kufany shughuli zake km kawaida
 
Wakuu jana baada ya kurudi home nilivyotoka uwanjani taifa nilimkuta mzee wangu hawezi kutembea yaani upande wa kushoto haufanyi kazi nilipata maumivu mara mbili yaani nilifungwa kwenye timu na narudi home nakuta majanga je Stroke inaweza kupona maana jana nilifika kituo cha afya ili apime kipimo cha CitiScan majibu yakaja kuwa amepata damage upande wa ubongo hapa naongea huku natamani kulia mkono na mguu wake havifanyi kazi naomba kujua dawa au matya haraka yanayoweza kumfanya harudi katika Hali yake ya kawaida
Pole
Wakuu jana baada ya kurudi home nilivyotoka uwanjani taifa nilimkuta mzee wangu hawezi kutembea yaani upande wa kushoto haufanyi kazi nilipata maumivu mara mbili yaani nilifungwa kwenye timu na narudi home nakuta majanga je Stroke inaweza kupona maana jana nilifika kituo cha afya ili apime kipimo cha CitiScan majibu yakaja kuwa amepata damage upande wa ubongo hapa naongea huku natamani kulia mkono na mguu wake havifanyi kazi naomba kujua dawa au matibabu ya haraka yanayoweza kumfanya harudi katika Hali yake ya kawaida
Pole sana mkuu tiba hii hapa mzee atakaa sawa cha kwanza huko hosptal wamcheki ubongo kama unahitaji kusafishwa kutoa damu kama zilifika huko alafu akitoka hosptal
1: awe anachemshiwa maganda ya karanga anakunywa kikombe kutwa mara 3 hii itaamsha ndani
2: asali mbichi awe anaosha eneo husika kama ni mkono na mguu alafu anapakaa asali anakaa nayo kwa muda wa saa moja anaosha tena
3:mafuta ya mzeituni [oliver oil] anachua nayo eneo husika baada ya kuosha kutoa asali hii itaamsha nje kutwa mara 2 afanye hivyo ndani ya wiki 3 ... Matokeo atayaona pole sana mkuu
 
Tatizo la kwanza mnawaacha wazee very alone, yaani anawaza tuuuu. mwisho moyo unazidiwa.

Pole.
 
S
Hii nakupa kutokana na uzoefu mkuu
Mwaka 2019 nilimuuguza mama akiwa na umri karibu na mzee wako ye alikuwa 65 kwa ugonjwa huo huo na Sasa amepona yuko sawa akiwa na 70 yake
Nilimpeleka regency wakampa dawa ya dharula Kisha Dr kisanga anakanipa number ya Dr Njenje yuko hapo muhimbili
Jamaa Wana hospital Yao pale nje ya muhimbili kama unaenda mbele kidogo ratiba zao huwa ni asubuhi na mapema sana
Jamaa akanishauri nikaenda kule kinondoni kwa wachina kufanya scan ikaonesha athari
Nikarejea akaniandika dawa mbili ambazo gharama ilifikia kama 2000000
Nikaenda pale Robby one kariakoo nikawa nazinunua kwa mafungu anameza hadi akawa sawa
Angalizo dogo
Jitahidi utumie private hospital kama hao na wale wachina wa kinondoni ili usikawie sana na mgonjwa asichoke na abadani usitumie mitishamba au dawa za asili zinaweza kufanya tatizo liwe kubwa zaidi
Mwisho naamini mzee atakuwa sawa sana
Awe anapata mda wa kupumzika na sio Kila saa kumuuliza unajisikiaje

Samahni kaka naweza pata namba za dkt njenje? Au namb za hapo hosptal ya wachina?
 
Back
Top Bottom