Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndioau wameshakuwa kama kuku kwamba bila kufugwa na watu hawawezi kustawi? karibuni kwa taarifa wajuzi!
Sema ahsante umefundishwa kitu kha ushamba na ubishi kwa wabongo ni jadiWabongo kwa ujuaji tuu. Tungekuwa na hii bidii ya ujuaji kwenye uchumi tungekuwa mbali.
Sawa mkuu turudi sasa kwenye swaliYule ndege haitwi tausi. Lakini watu wengi hawajui hilo. Yule anaitwa ndege mnana. Au ndege mwanana. Tausi ni jina la mkia wake na haswa pale anapouchanua na kutengeneza ua. Lile ua ndilo tausi.
Wanaishi porini. Kuna tausi wa aina tatu. Aina mbili zinapatikana Asia na nyingine Afrika, Congo. Ukienda maeneo ya bonde la Congo utakuta hao wa aina ya Afrika. Tembelea mbuga inaitwa Salonga National Park, utawaona.au wameshakuwa kama kuku kwamba bila kufugwa na watu hawawezi kustawi? karibuni kwa taarifa wajuzi!
Kimsingi, tausi (ndege mnana) wanaitwa Peafowl kwa kiingereza. Madume ndiyo huitwa Peacocks na majike huitwa Peahens japo watu wameshazoea kuwaita wote peacock.Bwana mdogo acha porojo ujuaji ujuaji mwingi ambao hauna tija
👇👇👇👇👇👇👇👇👇
View attachment 1829748View attachment 1829749
oh, kumbe!!!!Yule ndege haitwi tausi. Lakini watu wengi hawajui hilo. Yule anaitwa ndege mnana. Au ndege mwanana. Tausi ni jina la mkia wake na haswa pale anapouchanua na kutengeneza ua. Lile ua ndilo tausi.
Ahsante kwa elimu hiiKimsingi, tausi (ndege mnana) wanaitwa Peafowl kwa kiingereza. Madume ndiyo huitwa Peacocks na majike huitwa Peahens japo watu wameshazoea kuwaita wote peacock.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kama ni jamii ya wanaofugwa inakuwa ngumu ukimuweka porini ila kama ni wa porini anajiadapt kuishi porini hii ni kwenye jamii kubwa ya wanyama hata paka mfano kuna wa nje na wa ndani sasa yule wa nje ndo anakimbiza panya na kuwaua n.k lakini paka wa ndani ndo kwanza atacheza nae 😅😅 au atamuangalia akimbie yeye 🤣🤣🤣 kwasababu anakuwa hana survival skills kama za paka wa nje!
Hakuna mnyama wa nyumbani anapenda starehe kama paka. Yaani yeye muda wote anadeka tu, mara ajisogeze kwenye miguu yako..kupumzika hapumziki kwenye sakafu kama wenzake, yeye ni juu ya sofa.🤣🤣🤣🤣🤣🤣
paka wa ndani wanazingua sana......halafu wanajenga tabia ya kudeka kadiri wanavyokuzoea. niliachana kabisa na suala la kufuga paka
anhaa, ahsante sana kiongozi!!Wanaishi porini. Kuna tausi wa aina tatu. Aina mbili zinapatikana Asia na nyingine Afrika, Congo. Ukienda maeneo ya bonde la Congo utakuta hao wa aina ya Afrika. Tembelea mbuga inaitwa Salonga National Park, utawaona.
hahahahaaaa, ni kweli kabisa!Hakuna mnyama wa nyumbani anapenda starehe kama paka. Yaani yeye muda wote anadeka tu, mara ajisogeze kwenye miguu yako..kupumzika hapumziki kwenye sakafu kama wenzake, yeye ni juu ya sofa.
Rudi kwenye mada...acha ujuajiYule ndege haitwi tausi. Lakini watu wengi hawajui hilo. Yule anaitwa ndege mnana. Au ndege mwanana. Tausi ni jina la mkia wake na haswa pale anapouchanua na kutengeneza ua. Lile ua ndilo tausi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanazinguaHakuna mnyama wa nyumbani anapenda starehe kama paka. Yaani yeye muda wote anadeka tu, mara ajisogeze kwenye miguu yako..kupumzika hapumziki kwenye sakafu kama wenzake, yeye ni juu ya sofa.
Amenisaidia mimi nisiejua kama unajua unakaa kimya tuu...utajua vitu vyote Dunia hiiRudi kwenye mada...acha ujuaji
Acha kudeka, mpuuzi sana paka anaweza akakulia pose mjengoni kama mlipa kodi wanalinga sana.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
paka wa ndani wanazingua sana......halafu wanajenga tabia ya kudeka kadiri wanavyokuzoea. niliachana kabisa na suala la kufuga paka