unanitaka
JF-Expert Member
- Oct 7, 2014
- 2,178
- 1,045
Kumbeeeeee sasa povu la nini baabaa kama mshawah fikisha idadi yote hiyo. Hapo ndipo ninapowashangaa team domo.Uzi wa motooooo naona unatapatapa tu kama umekula tonge la moto.....pamoja na promo na kampen lote hilo jmn wimbo bado una view 4M mmmh aisee nakumbuk salome ndani wa week kama moja iv ilikuwa na 10M viewz bila nguvu kutoka nje.....je ingefanyiwa kampeni sasa kama ile ilofanywa kwa seduce me, si ingekuwa noma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app