Je, team Kiba mmechoka kukesha youtube

Kumbeeeeee sasa povu la nini baabaa kama mshawah fikisha idadi yote hiyo. Hapo ndipo ninapowashangaa team domo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haaaahaa kama umekufa thread ya nini team domo. By the way wiki hii vipi hamtoi nyingine??? Halaf msisahau kubadilisha mabango barabarani, ule wa tiwa savage umekaa sana bana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazee wa tandale chuki zenu huwq hazijifichi kuanzia kwa rais wenu hadi wafuta viatu. Mahaba kwa kiba yanawapagaisha haaaahaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Nahisi kama mond angekuwa na chuki sizani kama leo tungekuwa na mtu kama harmonize, rayvanny, queen darling alikuwa kashaisha lkn now kamtengeneza tena demu anapiga mkwanja kwa kwnd mbl....ila li domo bhana lina nyota ya ajibu achabti watu walichukie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe umesikia..oh ohhhhhh.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mtu ana majungu kama nyie. Mlichokoza mzinga wa nyuki sasa mnalialia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haaaahaa kama umekufa thread ya nini team domo. By the way wiki hii vipi hamtoi nyingine??? Halaf msisahau kubadilisha mabango barabarani, ule wa tiwa savage umekaa sana bana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maana nikakwambia wcb n brand kubwa siyo kitoto we use ower own power kupushi nyimbo na project zetu....hatulilii misaada kutok nje tunakufa kiume hatuhitaji kufanyiwa kampen ili project zetu zitusue,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ohhhhh kumbe mashabiki wa domo ndio wa kina rich oh oh, poleni sana. Sasa hapo umenena sawiaa team wcb vs team kiba inayojumuisha mange na kina lulu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo maana nikakwambia wcb n brand kubwa siyo kitoto we use ower own power kupushi nyimbo na project zetu....hatulilii misaada kutok nje tunakufa kiume hatuhitaji kufanyiwa kampen ili project zetu zitusue,

Sent using Jamii Forums mobile app
Na kweli team inayolipia matangazo ili watu waingie you tube[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ohhhhh kumbe mashabiki wa domo ndio wa kina rich oh oh, poleni sana. Sasa hapo umenena sawiaa team wcb vs team kiba inayojumuisha mange na kina lulu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mange ana team yake jokate ana team yake wema ana team yake tena ni strong team zenye ushawish zinaungana na team kiba kupigana na team wcb.....yaani ni kama yanga aungane na azam, mbeya city, stand utd, mbao fc kucheza na na simba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umesahau point moja. Zilipendwa wameungana wasanii wanne huku seduce me akiwa mmoja. Unganisha mashabiki wa wanne na mmoja. Ukirud tuambie mmetumia muda gani kumpiku jamaa

Sent using Jamii Forums mobile app

unakosa kitu kimoja! na ninataka nikwambie wewe na wenye mawazo kama yako! ukisema eti wasanii wa 4 sijui 6 hiyo ni weak point! WCB ile ni lable na ni kama kundi la mziki tayari so always asilimia 99.999999 wanashare mashabiki huo ndio ukweli na hilo halipingiki alie mfollow Diamond ndio kamfollow Harmonize kamfollow mavoko na wengine! Tofauti ni ndogo kuwa diamond ni international zaidi ndio maana wasanii wake wanapata exposure internationally! Show nyingi za vijana hawa za nje ya nchi ni sababu ya Diamond! acha hizo point zako eti watu wa 4! BY THE WAY TUNAWATAKIA MIZUNGUKO SALAMA YA FIESTA wasanii watafuta Show Dar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…