Je Teknolojia inatumika Tanzania?

Je Teknolojia inatumika Tanzania?

Kwenye miaka ya 1998-99 kuna dogo alikua at a hajui kusoma lkn aliunda mtambo wa redio na alikuwa na uwezo was kuzia matangazo ya radio station zingine . Nakumbuka Makuburi yote ubungo na sehem za tabata Dogo alizima mitambo ya redio zingine , ukiwasha redio hupat kitu ni hip redio take. Cjui aliishia wap
Yap matokeo haya ni ya kweli kabisa
 
Kwasababu wasomi wanapoteza mda kushabikia ujinga ujinga tu
 
Tz tuna magenius wanatengeneza adi maroboti, ndege, lakin serikali imefumbamacho kama haiwaoni vile miningependekeza wizara ya tecnolojia ingejitegemia kwa sababu ili ni swala mtambuka
 
Back
Top Bottom