Je, tendo la ndoa linafaa wakati gani?

Je, tendo la ndoa linafaa wakati gani?

PromiseLand

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2021
Posts
298
Reaction score
413
Salaam wana jukwaa.

Kama kichwa cha mada kinavyouliza, Je tendo la ndoa linafaa wakati gani?Je linafaa kabla ya ndoa au baada ya ndoa? Tukiachana na Imani za dini, Je mila na desturi zetu kama Waafrika au Watanzania zinasemaje?

Haya mambo ya kutikisa kabla ya kutumia huko mbeleni kutakuwa na vijana wanaofunga ndoa kweli?! Nini maoni yako juu ya jambo hili?.

1625989049447.png

 
Kuishi kama ilivyoamrishwa na mwenyezi Mungu kwa kuacha aliyoyakataza na kufanya aliyotuamrisha. Ndio solution ya hili tatizo otherwise huko mbele hali itakua mbaya sana.
 
Naona bora iendelee kama ilivyo saizi wa future watajiangaikia
 
Kijana fanya mambo mengine yote ila usisahau kufanya mapenzi.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Siku ya 10 na 11 toka siku umemaliza mzunguko hedhi au amemaliza....wazaliwe wakike wengi sana
 
Tigo wameamua kuteletea cha asubuhi kabisa, ukifunga ndoa cha asubuhi ndio pahala pake
 
Kwa sasa hata ukisema atakaefanya ngono kabla ya ndoa jela, wajuba wengi wataishia jela.
 
Oya ukikaa kiree eti unasubiri game mpaka ndoa unakuja kuuziwa mbuzi kwenye gunia kumbe fisi.

Ku test mitambo muhimu asee, hata gari lazima likaguliwe kabla ya safari. Tena safari ndefu kama ya ndoa inatakiwa ushushe hadi engine umwage na oil kabisa.
 
Salaam,Wana jukwaa. Kama kichwa Cha maada kinavyouliza,Je tendo la ndoa linafaa wakati gani?Je linafaa kabla ya ndoa au baada ya ndoa? Tukiachana na Imani za dini,he Mila na desturi zetu kama Waafrika au Watanzania zinasemaje? Haya mambo ya kutikisa kabla ya kutumia huko mbeleni kutakuwa na vijana wanaofunga ndoa kweli! Nini maoni yako juu ya jambo hili.
Wakati mmekasirikiana Sana na kununiana. Mnafanyana huku mnatukanana, mkikaribia kujokoa utasikia, 1. Mi nakupenda sema tu wee unaniudhi.
2. Hata mi nakupenda sana, Ila acha wivu, achana na simu yangu.
Mapenzi ya kiutu uzima Raha sana
 
Back
Top Bottom